kyannala nabiso
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 645
- 143
madalaka gani mtapewa ikiwa shule hamna? yani ukawekwe tu wakati huna elimu maana waslam wengi hawana shule.Chaajabu wanany'any'ania madalaka. kazi kweli, na mnacho kitarajia hakitatokea.
haitakuwa na faida. Lkn najua endapo nchi ikachafuka, halafu maamuzi yakija kwamba waislam na wakiristo na wislam wagawane madaraka ndani ya nchi itakuwa pigo kwa wakiristo ambao kwa sasa kitu kama hicho hawataki kukisikia