Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,910
Ninavyoandika Mabomu yanasikika kutoka msikiti wa Mtambani Kinondoni. Barabara ya Kawawa kupitia kinondoni Imefungwa kwa Muda Vijana wa Kamanda Kova wanarusha mabomu huku wengine wako juu wanazunguka. Taharuki ni kubwa hasa kwa wanonunua na kuuza sokoni na wagonjwa kwa Dr Mvungi!! TUTAFIKA ?