Mwesiga Baruti Photo
Poleni sana wafiwa, ndugu na jamaa. Hii JF imekuwa kama kimji sasa.
Wengine wanazaliwa, wanaowa/kuolewa na wengine wanafariki.
Mwezi uliopita tulipoteza mwingine. Sasa leo nasoma kuwa mwingine tena...............
RIP Kandambilimbili aka Baruti, RIP Herman Nzowa............