Kandambilimbili ametutoka RIP

Kandambilimbili ametutoka RIP

Raha ya milele umpe ee bwana
na mwanga wa milele umwangazie,
apumzike kwa amani
amen
 
Dah......RIP Kandambilimbili..............poleni sana wafiwa
 
R.I.P kandambilimbili, Mungu awape nguvu wafiwa na wana jf wote
 
RIP KANDAMBILI
Nafanya kazi hapa Airport na juzi niliona tangazo la msiba but sikujua kabisa kama ndio yeye
 
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi; awafariji wafiwa katika wakati huu wa majonzi na machozi. Amen.
 
Poleni sana wafiwa, ndugu na jamaa. Hii JF imekuwa kama kimji sasa.

Wengine wanazaliwa, wanaowa/kuolewa na wengine wanafariki.

Mwezi uliopita tulipoteza mwingine. Sasa leo nasoma kuwa mwingine tena...............

RIP Kandambilimbili aka Baruti, RIP Herman Nzowa............
kamanda, herman alikua anaitwa nani JF
 
.......RIP Kandambili, kweli maisha yetu sisi wanadamu ni mafupi inabidi ujiandae kuondoka wakati wowote hapa duniani.
 
rip mwesiga baruti (a.k.a kanda2)

kuhusu marehemu herman nadhani sikonge alikwishaeleza
kwamba hawezi kutoa id husika.

sasa tatizo liko wapi kama tukimfahamu....ni ngumu sisi kutambua ni nani....kama tungejua ID ingetusaidia zaidi......akiwa kama mwenzetu tuliyekuwa tukishirikiana nae hapa
 
Ni ajabu sana hili jambo.
Ndio leo najua kuwa Baruti Mwesiga ndiye tuliyekuwa tunamwita Kandambilimbili!...
Kwa ufupi namfahamu vizuri sana huyu mkuu!...Alikuwa mhasibu kwa taaluma, na alikuwa mcheshi sana, ukiachilia mabandiko yake ya kusisimua.

Ama kweli dunia tunapita!..
Mungu ailaze roho ya Marehemu pahalapema peponi.

Kweli kuficha majina halisi kuna ladha yake. Huyu kijana namfahamu tangia akiwa mdogo na nilishiriki kikamilifu katika msiba wake. Cha ajabu sikuwahi kujua kwamba yeye ndiye alikuwa anatumia jina la Kandambilimbili!!!

RIP Mwesiga.

Tiba
 
Back
Top Bottom