Dah, Pole sana wafiwa, RIP Kandambilimbili.
Tunaweza pata picha yake? Only if that is allowed at this stage
Kwa google haipatikani...Kama unaiona mjomba si uweke picha yake tu?...Kwa sasa haitawezi kuleta usumbufu.Alikuwa na blog yake inaitwa Mwesy Baruti na kuna picha yake. Huyu ni Sylvester Mwesiga Baruti. Au fungua Google halafu andika Mwesy Baruti Photo utapata picha yake.
Poleni sana!!!