Mwenzetu Kandambilimbili alitutoka tangu 26/12/2010 jumapili na amezikwa jana kwao Bukoba.
Alizaliwa mwaka 1971 hivyo ametutoka akiwa bado kijana. Alikuwa na tatizo la kisukari tangu muda mrefu lakini halikuwa kubwa sana na aliweza kulimudu vema kwa muda wa zaidi ya miaka 10. Wiki iliyopita sukari ilisumbua na kusababisha 'stroke' na akalazwa mikocheni hospital na ndipo umauti ukamkuta.
Poleni wana JF wote kwa kuondokewa na mmoja wetu.
RIP Kandambilimbili ( Real Name: Baruti, formely TAA member of staff).