Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Umri hauta kusaidia,Kazi ndio suluhu!!..Kafanye Kazi uweze kujisimamia (kujiongoza)Ningependa kujua umri wako kwanza?
Umri hauta kusaidia,Kazi ndio suluhu!!..Kafanye Kazi uweze kujisimamia (kujiongoza)Ningependa kujua umri wako kwanza?
kipindi chake kuna watu wamekuja mjini hawajui lolote ndio hawa sasa!!..Tunamkumbuka sana kwasababu kipindi watu wanaomba aweke mfumo wa uwazi na competitive kwenye sera ambao in return ungefanya haya mambo ya kujiamulia amulia tu kuongeza bei za vitu YASIWEPO yeye alikataa akajinasibu anajenga uchumi. Kama kuna mtu wa kulaumiwa sana basi ni yeye. Tunamkumbuka kwa kutufelisha kwake
Nani akumbukwe!!!? Kumkumbuka shetani huwa siyo rahisi."Mtanikumbuka" alisikika jamaa fulani watu wakamdharau
Vodacom na Tigo walikuwa na kifurushi cha @1000tsh dk 100, sms 100 na 1Gb 3days au kwa @1500 tsh kwa 7days.
Sasa hivi voda cha 3days wameweka 800MB na tigo 750MN.
Airtel ndio wameua zaidi in short jionee mwenyewe.
Najua serikali ina mkono au baraka zake hapa.
View attachment 1958946
View attachment 1958947
Huyu mama tumepigwa peupe hawezi kuongoza nchi, raisi mwanamke tuwaachie nchi za ulaya uko.
Hapo ni wamepandisha bei za vifurushKiswahili changu cha kijaluo. Wamepunguza au wamepunguza
Kama ndo hivyo,tumeishaaa.Wanauhasama kwa ndani ndani, Voda na tigo ni marafiki, Tigo na Zantel marafiki na Airtel na Ttcl ni marafiki
Nb, marafiki maana yake ni good terms
Atakumbukwa kwa kuteka watu na kuwaweka kwny viroba."Mtanikumbuka" alisikika jamaa fulani watu wakamdharau
We ndo mimi kabisaIfahamike kwamba vifurushi hivi havina mfanano Kwa wateja wote
Yani wanachofanya wakiona wewe ni mteja mzuri wanakupandishia wewe kama wewe,ukiwapiga chini Kwa muda wanakupa tena ofa kabambe.
Binafsi huwa ninacheza na voda na tigo, voda walinikazia nikapiga chini nikaishi na tigo Kwa kifurushi cha 5000 GB 2,dkk 200 Kwa wiki ,wakaniona kiazi wakafika level ya GB 1.2 dkk 150 Kwa 5000,nikapiga chini kurudi voda nikakuta washanilegezea