nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,335
- 8,116
hahahaa hatari mkuu sema tu labda alikua hamkubali kitu ambacho ni kawaida kila mtu anamkubali mtu flani na hamkubali mwngine ila kusema chuki duh huko mbali mkuu labda km walikua wanafahamianaInaweza kuwa ina ukweli kwa kiasi fulani yaani ni magu 40/ Suluhu 60 lakini namna alivyopresent anaonesha wazi kabisa chuki binafsi aliyonayo dhidi ya magufuli.