Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema

Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema

KATI YA BATILDA NA LEMA YUPI ATIBUKA KIDEDEA?


  • Total voters
    52
unajua nini,hata JK mwenyewe maeneo ya ngorongoro hawamtaki, juzi hakuweza kuhutubia wamasai wa huko lakini jamaa wakagoma. Alitumwa Ole sendeka kwenda kuongea nao lakini wakagoma kata kata, na sababu ya kugoma kwao walizuiliwa ma Jk kulima mazao kwenye maeneo ya hifadhi, sasa na wao wakasema hawampi kura ng'o, kura zao zote ni kwa CHADEMA
 
Asante kwa kunifahamisha. Sasa kama kweli wanakubalika kwa nini wapewe "safe seat"? Mwakanjuki aliwakilisha jimbo gani? Usije kuta kuwa aliteuliwa! Sidhani kama kuna mkristu mwingine aliyewahi kuukwaa uwakilishi ukimuondoa yeye. Sasa ukimpeleka aliye-ritadi si ndiyo itakuwa balaa! Kama vile waarusha wanavyomuona Batilda msaliti nanyi mtamuona Ana hivyo hivyo.

Amandla.....

Fundi Mchundo, hapa naona unalea udini tu. Unataka tumbague huyu mama kwa sababu ya dini yake, hii si haki hata kidogo. Kusilimu au kuritadi hayo ni maamuzi binafsi ya mtu kuendana na imani ambayo ameona imemshawishi akakubaliana nayo. Sisi tunachagua mgombea mmoja kati ya kadhaa waliojitokeza kutokana na watakvyotushawishi kwa sera, si kwa dini.

Hilo unalolisema la Zanzibar kutokuwa na wabunge wakristu, angalia demographic structure ya Zanzibar kwanza kabla hujaleta madai hayo. Mbona Peramiho, Moshi vijijini, Rombo, na Biharamulo hakujawahi kuwa na mbunge mwislamu tangu uhuru, huu nao ni udini? Ni hesabu rahisi tu za probability kuwa chance za kumpata mbunge zinategemea na chance kuwa atajitokeza kugombea, na kama watu wa kundi lake wapo 2 kati ya 100 ni kwamba chance za kujitokeza mgombea wa kundi hilo ni 2%. Kipi cha ajabu hapo.

Tuache udini hapa, tujadili jinsi huyu mama anavyofaa au asivyofaa kwa mujibu wa kile anachotaka kutushawishi kuwa atakifanya Arusha, kisha tufanye uamuzi wetu siku ya uchaguzi kwa msingi wa hoja za kisiasa na si za kidini.
 
Mimba ni jambo la kawaida kwa mwanamke. Kwanza ni heshima na jambo la kumshukuru Mungu hasa kwa kuwa mama huhu alichelewa sana kuolewa. Watoto wake ni wadogo sana, sina ahakika kama wa kwanza ana miaka 10 au chini ya 10 (mwenye taarifa sahihi anisahihishe). Cha msingi sipingi mimba yake bali napinga kitendo chake kusaidiwa na mafisadi ili aweze kuchukua jimbo kwa interest ya 2015. Anaonekana mpole sana lakini ni hatari kama moto wa gas!! Arusha mjini naombeni chonde kura yenu wapeni wapinzani, hata kama si chadema but mpinzani yeyote yule na si kwa SSM.

Yule aliyekuwa anaishi naye TABATA NSSF flats - alikuwa sio mumewe??? dada yangu alikuwa neighbour wake - and that was way back in 1999 - sidhani kama amechelewa kuolewa - hivyo Mzanzibar ni second husband - alikuwa anishi maisha ya kifahari sana - lakini sishangai - kiongozi yeyeto wa CCM ana MAHELA - MAFISADI ndani ya sisiemu ni wengi mnooooooooooo - God help Tanzanians
 
Napata wasiwasi sana, na najiuliza mbona kama Tanzania tunaendekeza upuuzi namna hii? Watu wanauana Tarime kila siku hatuoni hata wanajeshi wakisema neno. Nakumbuka ulipoongezeka uharamia katika msitu uliopo kati ya Biharamulo na Kigoma wanajeshi walisema kazi yao si kulinda usalama wa raia bali mipaka ya nchi na waingilia kati kama jeshi la polisi litawaomba. sasa swali langu kwa sasa wameombwa na nani kuingilia mabo ya uchaguzi? yaani mwema na vibaraka wenzake wameshindwa kabisa? hata Tossi nlimuona amejikalia pembeni tuu anakodoa macho

Wazungu wanasema " You are spot on!" Umenifurahisha sana. Damu itamwagika wakati Tarime ni kila kukicha na JWTZ ipo? Kwa nini sasa hivi? Binafsi nafikiri Shimbo hakutumwa na Jeshi. Ana agenda binafsi. Hatuitaji vitisho. Kuhusu Batllda uwa namuona anaongea kwenye lunnga lakini kusema kweli she is not impressive at all.
 
Asante kwa kunifahamisha. Sasa kama kweli wanakubalika kwa nini wapewe "safe seat"? Mwakanjuki aliwakilisha jimbo gani? Usije kuta kuwa aliteuliwa! Sidhani kama kuna mkristu mwingine aliyewahi kuukwaa uwakilishi ukimuondoa yeye. Sasa ukimpeleka aliye-ritadi si ndiyo itakuwa balaa! Kama vile waarusha wanavyomuona Batilda msaliti nanyi mtamuona Ana hivyo hivyo.

Amandla.....

Fundi,

Uwakilishi anao gombea ndugu yetu Sylvester sio wa "kupewa" bali ni wa kushindania, hivyo sio sahihi kusema kwanini "wapewe" swali labda lingekuwa kwa nini kagombea safe seat. Lakini kubwa na muhimu kwenye safe seat, ni kwa siasa za Zanzibar ina fahamika wazi kuna viti kwa mfano vya Pemba vyote ni vya CUF, na kwa upande wa unguja pale mji mkongwe ni miaka nenda miaka rudi CUF. Sehemu nyingine ni za CCM na hapo ndio linapokuja suala la safe seat, kinyume chake ni kwenye viti vya CUF hata akienda kugombea Aman Karume hapati let alone Sylvester!.

Nilisema katika jibu langu la awali sina idadi wala kumbukumbu ya wabunge/wawakilishi wakristo huko nyuma. Lakini katika kuokoteza okoteza nikampata Brig Mwakanjuki na pia kwa maaana pana ya dini nyingine kuna Singasinga.
 
kanda mswahili NUNGWI....unachekesha sana!!!!,...bwabwabwaa bwaaaaaaaaaaa ah!...nani asiyekujuwa wewe..kwa OP!!

Sasa wewe unataka kuchafua hali ya hewa kwa makusudi, wapo wapi ma moderators? huku kuitana majina ni kukiuka sheria za jamvi. Lakini najua hawawezi kukuchukulia hatua yeyote kwa sababu wewe ni Chadema mwenzao na kubwa zaidi ni mkristo.

By implications rungu la kufungia watu lina apply kwa waislamu zaidi (isomeke Malaria sugu na Kanda2) kuliko wakristo. Mnatutisha na Slaa wenu hamjapata nchi mnatuonea hivi mkijapata si itakuwa jahanam!
 
Raha kweli, haya yote 31 October. Ila tusiwe na haraka ya kuwa na michango iliyijawa na hisia! Udini, ukabila na ujinsia vitatuvuruga. Tusimame katika Sera, uadilifu na mchango wa mtu katika kutuletea maendeleo
 
Raha kweli, haya yote 31 October. Ila tusiwe na haraka ya kuwa na michango iliyijawa na hisia! Udini, ukabila na ujinsia vitatuvuruga. Tusimame katika Sera, uadilifu na mchango wa mtu katika kutuletea maendeleo

Unaona ulivyo mnafiki! umeanzisha mada ya kuchochea udini na ujinsia na sasa unadai "vitatuvuruga" wewe huyo huyo!.

Kuna mchangiaji hapo juu kanena vizuri, kuwa kila mtu akichukua ubao wake hutabaki na nchi kwa maana nyingine likitota tuta gawana mbao!
 
Wakuu heshima zenu,

[1] Hatuwezi kumkataa Mama Batilda kwasababu kaolewa Zanzibar.

[2] Hatuwezi kumkataa Mama Batilda kwasababu ni mwanamke.

[3] Hatuwezi kumkataa Mama Batilda kwasababu ya dini yake.

[4] Hatuwezi kumkataa Mama Batilda kwasababu ya kabila lake.

Tunamkataa Mama Batilda kwasababu atakuwa mwakilishi wa chama kibaya kisichojali wala kutetea maslahi ya watanzania.

Tunamkataa Mama Batilda kwasababu hana rekodi zozote za kuwatetea watanzania na wanawake wenzie.

Tunamkataa Mama Batilda kwasababu akifanikiwa kuwa mbunge atakuwa ni mbunge wa aliyemleta.
 
Wakuu heshima zenu,

[1] Hatuwezi kumkataa Mama Batilda kwasababu kaolewa Zanzibar.

[2] Hatuwezi kumkataa Mama Batilda kwasababu ni mwanamke.

[3] Hatuwezi kumkataa Mama Batilda kwasababu ya dini yake.

[4] Hatuwezi kumkataa Mama Batilda kwasababu ya kabila lake.

Tunamkataa Mama Batilda kwasababu atakuwa mwakilishi wa chama kibaya kisichojali wala kutetea maslahi ya watanzania.

Tunamkataa Mama Batilda kwasababu hana rekodi zozote za kuwatetea watanzania na wanawake wenzie.

Tunamkataa Mama Batilda kwasababu akifanikiwa kuwa mbunge atakuwa ni mbunge wa aliyemleta.

\
Hivi umesahau kuwa choko choko ya yote uli orodhesha hapo juu muasisi ni wewe huku ukimpigia debe yule mgombea wako wa TLP kwenye ile thread nyingine?
 
Fundi Mchundo, hapa naona unalea udini tu. Unataka tumbague huyu mama kwa sababu ya dini yake, hii si haki hata kidogo. Kusilimu au kuritadi hayo ni maamuzi binafsi ya mtu kuendana na imani ambayo ameona imemshawishi akakubaliana nayo. Sisi tunachagua mgombea mmoja kati ya kadhaa waliojitokeza kutokana na watakvyotushawishi kwa sera, si kwa dini.

Hilo unalolisema la Zanzibar kutokuwa na wabunge wakristu, angalia demographic structure ya Zanzibar kwanza kabla hujaleta madai hayo. Mbona Peramiho, Moshi vijijini, Rombo, na Biharamulo hakujawahi kuwa na mbunge mwislamu tangu uhuru, huu nao ni udini? Ni hesabu rahisi tu za probability kuwa chance za kumpata mbunge zinategemea na chance kuwa atajitokeza kugombea, na kama watu wa kundi lake wapo 2 kati ya 100 ni kwamba chance za kujitokeza mgombea wa kundi hilo ni 2%. Kipi cha ajabu hapo.

Tuache udini hapa, tujadili jinsi huyu mama anavyofaa au asivyofaa kwa mujibu wa kile anachotaka kutushawishi kuwa atakifanya Arusha, kisha tufanye uamuzi wetu siku ya uchaguzi kwa msingi wa hoja za kisiasa na si za kidini.

Awali ya yote, mimi siko Arusha na hata huyu dada tunayemzungumzia simjui. Mimi hapa najibu mada kama ilivyoletwa kuwa wananchi wa Arusha hawamtaki kwa sababu mbalimbali mojawapo ikiwa ya kuolewa na mzanzibari. Ninachokisema ni kuwa, kama hivyo ni kweli, basi ile sumu ya lugha za kibaguzi zinazotalwala uhusiano wetu na Zanzibar imewasili bara! Ndio maana nikasema kuwa inaelekea hao wapiga kura wanaiona Zanziba kama nchi adui hadi kuona yeyote mwenye mahusiano nako ni adui. Sidhmchango mkubwa katika kukataliwa kwake kama hilo la kuolewa na mtu kutoka nchi isiyo kubalika. Mimi nimeongelea dini kujibu hoja ya Kanda2 kuhusu Ana Komu ambae sikujua kuwa ni mngazija au mtu aliyeritadi.

Sikubaliani na wewe kuwa kisa cha wakristu kuwa adimu katika uongozi Zanziba ni kutokana na demographics peke yake! Na hata huko Rombo, Peramiho, Moshi vijijini hivyo hivyo. Ukweli ni kuwa watu wengi wanapiga kura kwa kuangalia dini ya mtu hasa inapokuja kwenye local politics. Nawajua wakristu wengi tu ambao wako tayari kupigia kura jiwe kuliko huyo ambae wanamuona kuwa ni "mswahili". Zanzibar nako ukweli ni kuwa wengi hawako tayari kumpigia kura "kafir". Ukweli huu, ndio unaofanya wale wanaotoka kwenye minority religions kutojisumbua kugombea nafasi za uongozi katika sehemu wanazoishi. Hizo hesabu zako zina mushkel kidogo maana hakuna connection kati ya idadi ya watu na mwamko wao kisiasa. Wayahudi wako wachache marekani lakini mbona wanamwamko wa kuongoza na wanakubalika. Kama mtu kugombea kunategemea wingi wa kundi analofanana nalo basi hiyo ni dalili ya ubaguzi kuwepo.

Kuacha kuzungumzia udini, ukabila, ubaguzi wa rangi na maovu mengine yaliyo nchini yetu kwa kisingizio cha kuangalia "big picture" ni kuwa kama ostrich anaye fukia kichwa chake kwenye mchanga ili asionekane. Ingekuwa vizuri sana kama kila mgombea angeweza kupimwa kutokana na uwezo wake au ushawishi wake lakini bahati mbaya si hivyo. Jinsia ( uja uzito wa huyu dada ni moja ya ishu zilizoletwa hapa!), rangi, dini, uzawa bado zinachukua sehemu kubwa katika jamii yetu hata kama haipendezi. Kama alivyoandika Cornell West, " Race Matters". It still does. And religion and gender and all the rest of it!

Amandla.........
 

....Mama Batilda kafanya kosa kubwa kuitenga CCM wilaya kaamua kuunda timu yake ya kampeni nje ya utaratibu wa chama chake,wenye chama wamekaa pembeni wanamcheka.Leo nilibahatika kukutana na kiongozi wa CCM wilaya bila kuficha alionyesha kufurahia anguko la mgombea wao.

Kwa kuangali kwa ukaribu zaidi lisemwalo lipo nadhani na lina ukweli ndani yake mkuu, na ukichunguza sana maeneo mengi ya wagombea wa CCM wilaya na uongozi wake na UVCCM ndipo kuna miparaganyiko ambayo wagombea wengi wa CCM hawakubaliki na chanzo ndio hicho kutokuwepo na uelewani baina ya viongozi wa CCM wilaya,

Kuja kwa Case ya Batilda naaami 100% ndicho kinacho msibu yeye huko A.town kutokana na data nilizo tupiwa na kama mgombea wa CCM ukiwa na Uongozi wa wilaya umepisha mawazo na UVCCM haziivi wao kwa wao hapo batilda ina kula kwako mazima na ndio maana scandal za rushwa zakuandama sana kushinikiza watu wakukubali.

Kingine kikubwa chaguzi zikiisha amini nawaambieni kuna baaadhi ya viongozi wengi wa CCM wilaya watakutana na dhuruba na kasheshe za hapa na pale.

Njaaa zinawapeleka pabaya viongozi wengi wa CCM/UVCCM nawambieni
 
TGNP .......pls njoon apa
i gender issue o politicccccccoooo issue?i failed to undstand..........
heeeeeeeeeeeeeelp pls!!!!!!!!!!

Sorry, wanaandikia project proposal....SWOT analysis inawaumiza vichwa
 
Ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
polen wana ccm ama wapinzani mlishachemsha kumpitisha na huyo ndie mbunge wenu mtarajiwa mtake msitake na asipopita natangaza kuvua nguo hadharani hapa jamvini
kidumu chaama cha maskini
 
..YAP......kadandia mke wa mtu na kumtikita na mimba juuu..........sasa anataka wakazi wa A town Wamsaidie kulea...teh teh!!!

I thought mlisema kuwa yule mmoja wa wanawe ndiye anahusika na jungu hili. Vipi ameanza fanana na mpemba wake nini sasa mnaanza kumhukumu aliye tumboni????

Just kwa sababu wenu ni rahisi kuvua kwa maslahi yao binafsi basi mnaamini kila dada ama mama wa mtu ndivyo alivyo....Acheni huu uozo na mnatoa wapi ujasiri huu na mkashindwa kuungalia wa UKOMBOZI wenu ambao ushahidi wake haumhusu aliyekufa wala asiyezaliwa???
 
Hongereni sana watu wa Arusha kwa kutambua udhaifu wa mbunge mtarajiwa Batilda. Yasiwapate yaliyo wapata kuongozwa na mbunge anaemaliza muda wake, yeye hakuonekana bungeni mpaka bunge linamalizika yeye na biashara zake wakati ninyi mna matatizo yenu. Fanyeni mabadiliko mapema.
 
Wakuu muda mfupi uliopita nimebahatika kukutana na viongozi wa CCM wilaya ya Arusha wamesema madai ya Lema ni uzushi.Bahati nzuri viongozi niliokutana nao ni wapinzani wa Mama Batilda ndani ya CCM,hawana sababu za kutetea udhaifu wa mpinzani wao.

Wamenimbia Mama Batilda yuko Marekani kwa matibabu zaidi baada ya kubaini MT Meru Hospital hakuna vitanda vya kutosha wala madaktari wa viwango vya kimataifa.Anatarajiwa kijifungua huko huko marekani kukwepa mapapazi ambao wako macho juu juu kuchunguza baba wa mtoto ni nani.

Nimewaeleza kwani mawakala wake hawawezi kufanyakazi ya kutoa kitu kidogo kwaniaba yake ????.Sikupata jibu la kunirizisha.

 
Madai ya uongo ni yapi? Waarusha wanakuambia Matilda alishashindwa siku alipoanza.
 
heee hakuna hospitali bora tz eeeeeh si yote haya bcs of FISAD's pumbafuuuuuuu senu
 
heee hakuna hospitali bora tz eeeeeh si yote haya bcs of FISAD's pumbafuuuuuuu senu

Mkuu Henge umefika Mt Meru Hosp hali ni mbaya sana unategemea Mhe atibiwe pale au hujui hizi hosp ni kwaajili yetu walalahoi.Halafu kuna hili suala la RITA kundikisha watoto wazaliwapo si mtaanza kumchimba mama wa watu akose kura za huruma.
 
Back
Top Bottom