Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema

Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema

KATI YA BATILDA NA LEMA YUPI ATIBUKA KIDEDEA?


  • Total voters
    52
Nadhani ile ya ujauzito aliiongeza kuonesha chuki aliyokuwa nayo yule Bwana, Angalau nafurahi kwamba watu wa Arusha wameona wanahitaji mabadiliko japo sina uhakika na watakachofanya October 31. Jana nilikuwa terrat simanjiro, hali ni mbaya,lakini bado wamingangania CCM

Heshima kwako calnde,

Mkuu ujauzito ni issue kubwa Arusha labda mtashangaa kidogo.
wanawake wengi wanauliza kakaa bungeni miaka kumi kashindwa kuisaidia hospital ya mkoa akina mama wawili mpaka watatu wanalazimka kutumia kitanda kimoja.Wanamwona msanii hatakwenda akujifungulia Mt Meru Hospital ikitokea akenda atapewa special treatment.Mama Batlda alikuwa akitegemea kura za wanawake lakini wamemgeuka mpaka kachanganyikiwa.

Mama Batilda kafanya kosa kubwa kuitenga CCM wilaya kaamua kuunda timu yake ya kampeni nje ya utaratibu wa chama chake,wenye chama wamekaa pembeni wanamcheka.Leo nilibahatika kukutana na kiongozi wa CCM wilaya bila kuficha alionyesha kufurahia anguko la mgombea wao.
 
huwa si-mfeel huyu mama

kwana niklikuwaga sijui kam ni mbubge wa arusha tena mjini

siku nilipojua nilisikitika sana-----

wacha ale mweleka
 
watu wa porojo ni hao wanaojifanya kumpinga batilda mkuu mwisho wa siku wanampigia huyo huyo .....ndio maana nikaomba tusome alama za nyakati 2005 walikuwepo wengi dizaini hiyo wakampa mrema yule yule aliekuwa akiwatukana na mama zao...

MH!
 
Si kwa sababu kaolewa zanzibar. Bali makazi yake sasa ni zanzibar hivyo hawezi kutumikia watu wa Arusha akiwa zanzibar. Na mumewe kwa nafasi yake hawezi hawezi kumfuata huyu mama Arusha.

Anajitafutia sehemu ya kupitia kupata ulaji na wala si kuwatumikia wakazi wa arusha

Nashkuru sana mkuu kwa kunielewesha,, tena kwa ustaarabu bila jazba
Nilitaka kushtuka,, tumefika huko WATANZANIA!
 
sijafahamu. kuolewa huko kuna tatizo gani ? au ndio ubaguzi tu

Naam, ni ubaguzi bila shaka. lakini haya ndiyo mavuno ya waliyopanda ndugu zetu kwa kugeuza watu wa bara kuwa maadui! Lugha za kebehi, dharau na jeuri, matokeo yake ndio haya! Bara ambao wanadaiwa kuwang'ang'ania wazanzibari wanaanza nao kuonyesha chuki zao wazi wazi! Inasikitisha na kuudhi lakini ndivyo hali ilivyo. Zanzibar sasa inaonekana nchi adui. Hatari tupu!

Amandla.......
 
Tuache kumbagua kuwa anakaa wala hakai huko arusha lakini tunaweka msimamo wetu wazi kwamba. Hatumchagui kwa kuwa amedhamiria kutekeleza sera za ccm ambazo ni mufilis. hivye na yeye ni mufilis, wapiga debe wake ni mufilis, na hatumpi kura kwa sababu hiyo period
 
Tuache kumbagua kuwa anakaa wala hakai huko arusha lakini tunaweka msimamo wetu wazi kwamba. Hatumchagui kwa kuwa amedhamiria kutekeleza sera za ccm ambazo ni mufilis. hivye na yeye ni mufilis, wapiga debe wake ni mufilis, na hatumpi kura kwa sababu hiyo period

Kaka huo ni msimamo wako ambao nakuunga mkono lakini wengine sio kwa ajili hizo na ndiyo maana wengine tunashindwa kuvumilia kuacha siasa hvyohovyo sinatumika kupata huo ushindi hata kama ni wa kuiondoa CCM.

Respect kaka
 
Siasa za arusha ni tofauti na mikoa hiyo Arusha hawaamini watu ambao hawaishi maeneo yao. Yule mama Batilda hawezi kutoka Zanzibar aje awe mwikilishi wa Arusha katika siasa za upinzani zilivyonoga. Ukumbuke Dr. batilda amekaa bungeni miaka kumi na hakuna lolote ambalo Arusha amelifanya. Muda wote ameutumia huko Zanzibar, hilo, hapa Arusha ni tatizo kubwa kwake kisiasa. Watu hapa hawajali kama ana mimba au dini yake bali wanataka mtu anayejali maendeleo ya watu wake na yeye hayupo kwenye chati za kusaidia watu hata wale akina mama wa CCM waliompa ubunge wa viti maalumu ndani ya CCM wanafanya Kampeni aanguke vibaya kwani wanaona hana msaada kwao na akina mama hao wanasema kuwa anajisikia sana.

Hela nyingi anazotumia kwenye kampeni zinaonyesha anamtandao wa kifisadi na kamwe hatakuwa na msaada hapa.

Kuna mtambo wa kuchapishia vitambulisho vya kura wapambe wake wengi hivi sasa wapo mkononi mwa Takukuru/polisi.

Kama anakubalika kwanini anahangaika kucheza faulo za waziwazi?


Heshima kwako calnde,

Mkuu ujauzito ni issue kubwa Arusha labda mtashangaa kidogo.
wanawake wengi wanauliza kakaa bungeni miaka kumi kashindwa kuisaidia hospital ya mkoa akina mama wawili mpaka watatu wanalazimka kutumia kitanda kimoja.Wanamwona msanii hatakwenda akujifungulia Mt Meru Hospital ikitokea akenda atapewa special treatment.Mama Batlda alikuwa akitegemea kura za wanawake lakini wamemgeuka mpaka kachanganyikiwa.

Mama Batilda kafanya kosa kubwa kuitenga CCM wilaya kaamua kuunda timu yake ya kampeni nje ya utaratibu wa chama chake,wenye chama wamekaa pembeni wanamcheka.Leo nilibahatika kukutana na kiongozi wa CCM wilaya bila kuficha alionyesha kufurahia anguko la mgombea wao.

MMh kakaa bungeni miaka 10? hii mpya kwangu naomba ilmu hapo kidogo
 
Ndio maana nawaambia acheni kuzunguka m-buyu..... tatizo lenu ni dini yake tu. Mama Anna Komu, Mzanzibar tena wa kiganzija kaolewa Moshi na mchaga na kambadili dini na sasa anagombea Kigamboni kwa tiketi ya Chadema, mbona hamuulizi kaifanyia nini Kigamboni au walau kama ana nyumba huko au kwanini asiende kugombea kwao Zanzibar au Comoro kabisa for that matter?

Hao hao watu wa Arusha mnao waita wanafuata utamaduni wa kuchagua watu wanao kaa nao mwaka 1995 walimchagua kwa kishindo Makongoro Nyerere kuwa mbunge wao ilhali hakuwa mkazi wa hapo wala mwenyeji wa huko na sijui kama alikuwa na hata makazi huko.

Tukiwaambia wa Chadema ni wadini wenye JF watufungia, eti tunao kemea udini ndio wadini! sie wengine yetu macho...
 
Swala la wapi kaolewa halina nguvu kwa sababu zifuatazo
1. Anna Abdala kaolewa Ukerewe alikuwa mbunge huko Mtwara kwa miaka mingi tuu;
2. Anna Kilango kaolewa Mtera ni Mbunge Same Mashariki;
3. Mary Nagu kaolewa Morogoro ni Mbunge Hanang

Ni mawazo yangu tuu
mamaaaaaaaaaaaaa
 
Mie naomba ashindwe ili arudi kufundisha. Kwa sasa vyuo vyetu vya elimu ya juu vina shida sana ya uhaba wa wahadhiri. Wengi wamekimbilia katika siasa.
 
Ndio maana nawaambia acheni kuzunguka m-buyu..... tatizo lenu ni dini yake tu. Mama Anna Komu, Mzanzibar tena wa kiganzija kaolewa Moshi na mchaga na kambadili dini na sasa anagombea Kigamboni kwa tiketi ya Chadema, mbona hamuulizi kaifanyia nini Kigamboni au walau kama ana nyumba huko au kwanini asiende kugombea kwao Zanzibar au Comoro kabisa for that matter?

Hao hao watu wa Arusha mnao waita wanafuata utamaduni wa kuchaguza watu wanao kaa nao mwaka 1995 walimchagua kwa kishindo Makongoro Nyerere kuwa mbunge wao ilhali hakuwa mkazi wa hapo wala mwenyeji wa huko na sijui kama alikuwa na hata makazi huko.

Tukiwaambia wa Chadema ni wadini wenye JF watufungia eti tunao kemea udini ndio wadini! sie wengine yetu macho...

Hivi unataka kutuambia Anna Komu angekuwa CCM angeweza kweli kwenda kugombea kwao Zanzibar kama mngazija aliyeolewa na mchaga na aliyeslimu? Maneno yako ya kuwa akagombee hata Comoro yanaonyesha jinsi ulivyo mbaguzi. Ubaguzi, Mkuu, upo na hauna chama! Mmeyataka wenyewe.

Amandla.......
 
.......Wana Arusha msiwe na wasiwasi ...hiyo mimba ni ya ndugu yenu Manywele..........kwa hiyo msimnyime kura kwa hasira kuwa eti kaona Arusha hakuona mwanamume....She is too strategic.....alivyoona anagombea tu akabeba mimba ya manywele...na kwa taarifa yenu every coin ya kampeni na logistics anafanya manywelee.....shemejiiiiii!!

Anayebisha mimba sio ya manywele ..anaruhusiwa kumuuliza Batilda ameenda lini kumuona mume wake zanzibar.....,mumewe tayari ana mke ....,na kama kweli hajabeba mimba nje ya ndoa ...muulizeni imekuwaje mumewe hadi sasa hajafika Arusha ....kuwasalimu shemeji zake kwenye mkutano..haata kama sio mwanasiasa afike tu na kuwapungia wakazi..kwenye moja ya mikutano na arejee kwa mkewe zanzibar.........

Sio mbali mtoto wa manywele aatazaliwa ...mambo yatakuwa hadharani!!!!!
 
Hivi unataka kutuambia Anna Komu angekuwa CCM angeweza kweli kwenda kugombea kwao Zanzibar kama mngazija aliyeolewa na mchaga na aliyeslimu? Maneno yako ya kuwa akagombee hata Comoro yanaonyesha jinsi ulivyo mbaguzi. Ubaguzi, Mkuu, upo na hauna chama! Mmeyataka wenyewe.

Amandla.......

Anna Komu hajaslimu bali ameritadi. Ama kuhusu kuwa CCM na kugombea Zanzibar why not kama tatizo lako ni kuwa mkristo wapo wakristo walio simamishwa na CCM hiyo hiyo.

Hilo la Comoro miwani ya macho yako tu ndio inakupeleka huko.
 
.......Wana Arusha msiwe na wasiwasi ...hiyo mimba ni ya ndugu yenu Manywele..........kwa hiyo msimnyime kura kwa hasira kuwa eti kaona Arusha hakuona mwanamume....She is too strategic.....alivyoona anagombea tu akabeba mimba ya manywele...na kwa taarifa yenu every coin ya kampeni na logistics anafanya manywelee.....shemejiiiiii!!

Anayebisha mimba sio ya manywele ..anaruhusiwa kumuuliza Batilda ameenda lini kumuona mume wake zanzibar.....,mumewe tayari ana mke ....,na kama kweli hajabeba mimba nje ya ndoa ...muulizeni imekuwaje mumewe hadi sasa hajafika Arusha ....kuwasalimu shemeji zake kwenye mkutano..haata kama sio mwanasiasa afike tu na kuwapungia wakazi..kwenye moja ya mikutano na arejee kwa mkewe zanzibar.........

Sio mbali mtoto wa manywele aatazaliwa ...mambo yatakuwa hadharani!!!!!

Haya huyu nae analeta upupu na utumbo wake kama kawa
 
The thing is Batilda hawezi kujieleza kitu, pale zinaongea hongo tu!...
Amekuja Arusha in last minutes, na hajui watu wa hapa wanataka nini as a priority...
Ameandikiwa makaratasi na anayasoma tu, and she is kinda not bold!
Hana mvuto...it just the green color entourage that makes her shine!

wew sasa umenena , na hiki ndicho kitakachomfanya apigwe chini hapo AR
 
Kwa macho yangu leo mida ya saa tisa mchana nimewaona wapambe wa ccm maeneo ya njiro contenna wamepaki magari yao hapa stendi ya contenna,moja ni landcruiser nyeusi na nyingine ni noah nyeusi.. hawa jamaa walikuwa wanajaribu kuwa convience madereva wa daladala za njiro wabandike pia bendera za ccm kwenye magari kama zilivyobandikwa za chadema..wengi wa madereva walichomoa..wachache walikubali si unajua njaa tena..kweli baada ya mida nikaanza kuona baadhi ya hiace za njiro zina bendera ya ccm..nadhani kesho watahamia kijenge, mbauda,moshono na maeneo mengine ya arusha...
 
Mie naomba ashindwe ili arudi kufundisha. Kwa sasa vyuo vyetu vya elimu ya juu vina shida sana ya uhaba wa wahadhiri. Wengi wamekimbilia katika siasa.

Halafu wawaachie siasa mission town kama kina Lema na wengineo????

But I thought Dr Slaa naye ni msomi lakini tunaona umuhimu wake katika siasa. Kama kuna kitu ninachopenda kukiona kinafanikiwa Tanzania na kuwa na wasomi zaidi na zaidi wa fani mbalimbali wana dominate ulingo wa siasa hata kama wengine ndio design za Chenge lakini angalao pia tutapata kina Mwakyembe......

Kama hatuthamini elimu katika kuendeleza siasa zetu how come tunalalamika kuwa tumefika tulipo kutokana na ukosefu wa elimu wa watanzania na bora elimu effect???
 
.......Wana Arusha msiwe na wasiwasi ...hiyo mimba ni ya ndugu yenu Manywele..........kwa hiyo msimnyime kura kwa hasira kuwa eti kaona Arusha hakuona mwanamume....She is too strategic.....alivyoona anagombea tu akabeba mimba ya manywele...na kwa taarifa yenu every coin ya kampeni na logistics anafanya manywelee.....shemejiiiiii!!

Anayebisha mimba sio ya manywele ..anaruhusiwa kumuuliza Batilda ameenda lini kumuona mume wake zanzibar.....,mumewe tayari ana mke ....,na kama kweli hajabeba mimba nje ya ndoa ...muulizeni imekuwaje mumewe hadi sasa hajafika Arusha ....kuwasalimu shemeji zake kwenye mkutano..haata kama sio mwanasiasa afike tu na kuwapungia wakazi..kwenye moja ya mikutano na arejee kwa mkewe zanzibar.........

Sio mbali mtoto wa manywele aatazaliwa ...mambo yatakuwa hadharani!!!!!

Ina maana ngoma droo na Mgombea Urais fulani?
 
Back
Top Bottom