Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema

Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema

KATI YA BATILDA NA LEMA YUPI ATIBUKA KIDEDEA?


  • Total voters
    52
.......Wana Arusha msiwe na wasiwasi ...hiyo mimba ni ya ndugu yenu Manywele..........kwa hiyo msimnyime kura kwa hasira kuwa eti kaona Arusha hakuona mwanamume....She is too strategic.....alivyoona anagombea tu akabeba mimba ya manywele...na kwa taarifa yenu every coin ya kampeni na logistics anafanya manywelee.....shemejiiiiii!!

Anayebisha mimba sio ya manywele ..anaruhusiwa kumuuliza Batilda ameenda lini kumuona mume wake zanzibar.....,mumewe tayari ana mke ....,na kama kweli hajabeba mimba nje ya ndoa ...muulizeni imekuwaje mumewe hadi sasa hajafika Arusha ....kuwasalimu shemeji zake kwenye mkutano..haata kama sio mwanasiasa afike tu na kuwapungia wakazi..kwenye moja ya mikutano na arejee kwa mkewe zanzibar.........

Sio mbali mtoto wa manywele aatazaliwa ...mambo yatakuwa hadharani!!!!!

MANYWELE ndo nani mkubwa maana umeniacha kidogo...Bongo kubwa kaka...
 
Huyu ''dem'' tangu ausike kikamilifu kumsulubu Zito bungeni kwa ile issue ya ufisadi wa jk na kalamagi kuhusu buzwagi nilimchukia totally.
 
Anna Komu hajaslimu bali ameritadi. Ama kuhusu kuwa CCM na kugombea Zanzibar why not kama tatizo lako ni kuwa mkristo wapo wakristo walio simamishwa na CCM hiyo hiyo.

Hilo la Comoro miwani ya macho yako tu ndio inakupeleka huko.

Kubadili dini si kuslimu? Au alikuwa mkristu sasa muislamu?

Wakristu wangapi wamesimamishwa na CCM na kushinda Zanzibar?

Hiyo ya Comoro, ndivyo ilivyo.

Amandla.......
 
Yule mkurugenzi wa Arusha, aliyekuwa Arusha amehamishwa in 24 hrs, tena kapelekwa kigoma(if im not mistaken) na kupewa nafasi ndogo kuliko aliyekuwa nayo ARusha, u knw why? Tafakarini, Chukueni hatua

Labda niwape taarifa za ndani; huyu mkurugenzi alikuwa na skendo tangu mwisho wa mwaka jana kwa mambo aliyoyafanya miaka ya nyuma. nakumbuka mwezi march/april mshkaji wangu ambaye ni council secretary wake aliniambia jamaa yupo kwenye kiti moto na alikuwa anaojiwa na watu kutoka ofisi ya rais, na hawa jamaa waliwaoji pia baadhi ya staff wa manispaa na walikuwa pale kwa wk kama mbili. na kwa taarifa aliyonipa ni kwamba skendo yenyewe ilikuwa mbaya ambayo ingeweza kumfunga au kumwondoa kazini.
Hii ni taarifa niliyokuwa nayo mwezi march/april so sioni siamini kuwa jamaa katolewa kwa sababu za kisiasa.
 
Wewe itakua umelewa,,,tena matapu tapu
Hivi haiwezekani hapa jukwaani wakaweka vifaa vya kuchunguza kiwango cha pombe mtu alichokunywa?
pombe ikizidi kiasi fulani mtu ashindwe ku-login kabisa.
Au sijui ndio election fever!

...This is Why I Love JF !! 😛ound:😛ound::biggrin1:
 
TGNP .......pls njoon apa
i gender issue o politicccccccoooo issue?i failed to undstand..........
heeeeeeeeeeeeeelp pls!!!!!!!!!!
 
Msimpe kura kwa sababu za msingi kwamba atoka kwa chama ambacho hakina historia ya kuwaletea maendeleo watz, lakini mkianza mambo ya ubaguzi hapa kila mtu atataka ubao wake na hatutokuwa na nchi tena.
 
gender o politicooooooooooooooooooooooo???????????mi hapana kuelewa
 
Yule mkurugenzi wa Arusha, aliyekuwa Arusha amehamishwa in 24 hrs, tena kapelekwa kigoma(if im not mistaken) na kupewa nafasi ndogo kuliko aliyekuwa nayo ARusha, u knw why? Tafakarini, Chukueni hatua

Labda niwape taarifa za ndani; huyu mkurugenzi alikuwa na skendo tangu mwisho wa mwaka jana kwa mambo aliyoyafanya miaka ya nyuma. nakumbuka mwezi march/april mshkaji wangu ambaye ni council secretary wake aliniambia jamaa yupo kwenye kiti moto na alikuwa anaojiwa na watu kutoka ofisi ya rais, na hawa jamaa waliwaoji pia baadhi ya staff wa manispaa na walikuwa pale kwa wk kama mbili. na kwa taarifa aliyonipa ni kwamba skendo yenyewe ilikuwa mbaya ambayo ingeweza kumfunga au kumwondoa kazini.
Hii ni taarifa niliyokuwa nayo mwezi march/april so sioni siamini kuwa jamaa katolewa kwa sababu za kisiasa.

Unachosema kinaweza kuwa kweli lakini tuambie sababu hiyo ni nini? pengine alipewa masharti kuwa ili wamsamehe katika skendo zake na yeye aisaidie CCM katika kipindi hiki, aliposhindwa masharti akachukuliwa hatua. Kama ana skendo alistahili adhabu hata kama ni lini, lakini maswali ya watu yanakuja kwasababu wakati huu kuna mambo mengi kuhusu uchaguzi.
 
sijafahamu. kuolewa huko kuna tatizo gani ? au ndio ubaguzi tu

Yaaah si ubaguzi tu....Ila ili sehemu yoyote mpate maendeleo mnatakiwa kuchagua viongozi wenye uchungu na sehemu husika kama ni mzaliwa au jirani.
Si zanzibar tu hata Uarabuni huku Iran huwezi kuchaguliwa na kupewa uongozi kiholelaholela kama kwetu.
 
Kubadili dini si kuslimu? Au alikuwa mkristu sasa muislamu?

Wakristu wangapi wamesimamishwa na CCM na kushinda Zanzibar?

Hiyo ya Comoro, ndivyo ilivyo.

Amandla.......

Kubadili dini sio lazima imaanishe kusilimu. Bali kubadili dini na kuwa muislamu ndio kusilimu, kubadiili dini kutoka uislamu na kuwa mkristo ni kuritadi. Hili ni somo jepesi la kiswahili.

Ama wangapi wamewahi kuwa wabunge Zanzibar sina idadi, hata hivyo namkumbuka Brigedia mstaafu Adam Mwakanjuki kuwa mmoja qa wawakilishi na pia Waziri katika serikali ya Mapinduzi, na mwaka huu moja katika viti rahisi (safe seat ) mjini Maghrib jimbo la Dole yupo Ndugu yetu Sylvester Massele Mabumba.
 
unamaanisha yule aliyesema ''nimeonewa sana, nimedhalilishwa sana...... they wish what im going to grant nao ni umwaziri mkuu''

hapana.

ni yule jamaa anaitwa (na kituo kimoja tv) ati waziri mkuu mstaafu.
 
unamaanisha yule aliyesema ''nimeonewa sana, nimedhalilishwa sana...... they wish what im going to grant nao ni ........''


..YAP......kadandia mke wa mtu na kumtikita na mimba juuu..........sasa anataka wakazi wa A town Wamsaidie kulea...teh teh!!!
 
Kubadili dini sio lazima imaanishe kusilimu. Bali kubadili dini na kuwa muislamu ndio kusilimu, kubadiili dini kutoka uislamu na kuwa mkristo ni kuritadi. Hili ni somo jepesi la kiswahili.

Ama wangapi wamewahi kuwa wabunge Zanzibar sina idadi, hata hivyo namkumbuka Brigedia mstaafu Adam Mwakanjuki kuwa mmoja qa wawakilishi na pia Waziri katika serikali ya Mapinduzi, na mwaka huu moja katika viti rahisi (safe seat ) mjini Maghrib jimbo la Dole yupo Ndugu yetu Sylvester Massele Mabumba.

Asante kwa kunifahamisha. Sasa kama kweli wanakubalika kwa nini wapewe "safe seat"? Mwakanjuki aliwakilisha jimbo gani? Usije kuta kuwa aliteuliwa! Sidhani kama kuna mkristu mwingine aliyewahi kuukwaa uwakilishi ukimuondoa yeye. Sasa ukimpeleka aliye-ritadi si ndiyo itakuwa balaa! Kama vile waarusha wanavyomuona Batilda msaliti nanyi mtamuona Ana hivyo hivyo.

Amandla.....
 
Back
Top Bottom