Kampeni ya kuikataa Vodacom


Hata wewe ni mjinga tu.
 
Ficha huu upuuzi Mkuu
 
Watz burula kabsa mimi naishi mavi ya kale natumia voda leo mwana siasa mmoja mjinga mjinga anishawishi nisitumie voda............

Ni ujinga wa kiwango cha Anga mwanasiasa ,mwasiana mtu ambaye sitakuja kumwamini hata kidogo ,hata aniambie na kuniamisha kuwa kesho atakufa sita mwamini nitamona mpumbavu tu......


Ni wivu tu...
 
Bahati mbaya siwezi kuhama voda pamoja na mspungufu yao internet yao ni bomba japo ni ghali sana.
Pigeni tu kampeni zitasaidia kuboresha huduma japo sihami voda nimewekeza sana
Kwasababu wewe sio mtu wa muhimu sana kwa nchi hii.
 

Unajua mgunduaji wa bulb alifanya majiribio mara ngapi mpaka kufanikiwa ? Sembuse huyo Lema na Mangi ambao wamejaribu mara moja tu. Siyo kila jaribio lazima lifanikiwe ka mara ya kwanza. Jielimishe mkuu usiwe kama watu wa lumumba
 
tuwanze kutumia rediocall sasa
Haisaidii. Unarekodiwa tu ukitakikana.

Sasa hivi kuna teknolojia ya kukurekodi hata kama hauna simu au kifaa chochote cha mawasiliano.

Soma kuhusu "directional microphones", "parabolic microphones".

Hatuna ujanja. Tuishi kwa usalama na amani na tusijiingize kwenye mambo yasiyo na tija.

Kwanini uogope kurekodiwa kama unaishi ki usalama na amani na maongezi yako hayana dhambi au madhara yoyote kwa yeyote?
 
Ndio maana kuna mambo yanaitwa faragha,hata kama ni ya kawaida na kistaarabu kwa wahusika wanaofanya hiyo faragha basi ikiwa public inakuwa tofauti!Hata tendo la ndoa ni faragha ya wahusika,ila inapokuwa hadharani tayari inakuwa na maana tofauti!
Kwa mfano maongezi ya Membe,kinana,Nape na Makamba yalikuwa ya kawaida ndio maana hakuna hatua za kisheria zilizochukuliwa,ila yamewekwa hadharani ili kuwaogopesha watu kuwa wanaingiliwa faragha zao!
Kwa mtizamo wa kisiasa,udukuzi huu unaweza kutumika kuwavunjia heshima wanaoonekana tishio kwa watawala kwa kukubalika kwao!
We fikiri Rais anajigamba hadharani kuwa anasoma sms za wateuliwa wake fulani na kuwa waache kugombana la sivyo atawatengua wote,hii ni nin????shame
 



Umenena vema FaizaFoxy
Kwa hakika huwezi ukakimbia mitandao kuhofia kurekodiwa. Nadhani katika jambo hili uwe smart enough kutambua tupo katika Dunia ya ngapi.
Wanao kimbilia Tigo,Airtel au Halotel je huko ndio kuna usalama?
Just think before you act
Nahisi walengwa wanachofanya ni kuharibu tu image ya Voda lakini kumbukeni Vodacom imeenea sana na ni hao hao wameingia mpaka vijijini tunakotumia M-pesa kwa ndugu zetu.
Mimi sioni umuhimu wowote wa jambo hilo kabisa.
 
Anyway huu uzi unanifurahisha sana

System imejitandaza kwenye mitandao yote ya simu hata ikibidi ile iliyopo nje ya tz

Hivi unadhani mfano ishu za kigaidi , eg traceable massacre diseases

Bila ku inflirt mawasiliano ya wati itakuaje , mitandao yote ipo under surveilance si voda pekee labda tuache kutumia simu

#mtanzania fikiri
 
Udukuzi unaofanywa kwa lengo la kubinya demokrasia ukatazwe

Ila nadhani hii kampeni itabidi ifanikiwe kutisha kampuni zingine kulinda maslahi za wateja
 
Labra warudi kwenye tech ya miaka ya 50 huko anyway haya mambo ni mazito bibi

Wewe unashauri nini kifanyike then
 
Ukiwa mpumbavu utaendelea kuwa mpumbavu tu!

Mm nakushauri uache kutumia simu kabisa sababu hata huko unako taka kuhamia ukileta ujinga utafuatwa tu.

Hivi vikampeni vyenu huwa vinawashushia heshima sana!

Mngeanzisha kampeni kupigania tume huru ya uchaguzi mngeonekana wenye akili mno. Lkn si huu ujinga wenu ambao mnajua kabisa haufiki popote.

Na kwa taarifa yako watanzania wanaihitaji voda kuliko voda inavyowahitaji watz.
 
Wewe akili zako zilishafungiwa kwenye box hapo ufipa ndio maana haya mambo ni makubwa mno kwako kuyaelewa!

Kukusaidia tu acha kabisa kutumia simu
 
Mbona huvui nguo hadharani? Mwili na viungo si ni vyako!?
Sii bure utakua umeambukizwa ugonjwa wa zinaa ya akili (ujinga)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…