Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,101
- 828,958
Hahaha kamanda wa TANAPA pole sana hii campaign haijawai kufanikiwa na ilianza siku nyingi hahaha
















Hahaha kamanda wa TANAPA pole sana hii campaign haijawai kufanikiwa na ilianza siku nyingi hahaha
















Wewe ndiye unayetakiwa kuacha mazoea ya ujinga wa kuona swali na kulisoma kama statement.Acha mazoea binadamu hubadilika,ndiyo maana mnafanya vitu kwa mazoea mkiamini watanzania ni wajinga.
Ni matatizo tu.ya akili,naamini utarudi tu kabla hata mwezi haujaishaNimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.
Kwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...
Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...
Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...
Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.
Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.
May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!
Shubaaamit!
Voda ni kama maji! Usipoyanywa utaoga!Hujui lolote!
As we speak Tigo has overtaken Vodacom in every statistical category,go and check!
Na pia sio lazima wananchi wahame Vodacom manually kama unavyodhani!
Hapo ndio unapo-miss the whole point!
The aim ni chuki ya moyoni ya brand name Vodacom!
Brand name Vodacom tayari ishapata damage already!
Ishakua ni symbol of oppression tayari!Damage has already been done,permanently!
Vodacom brand ilikua ni symbol of excellence,integrity,simplicity,etc.Sasa hivi as we speak Tigo has taken all that!
Hakuna haja ya watu kuhama!Hiyo ndio unayotegemea which is wrong observation na kuicheck hii ishu kijuu juu kama kawaida yenu!
Vodacom=Oppression!
Ishapakwa mavi tayari!
Na kibaya zaidi wananchi hua hawasahau,2025 regime itakua haipo Voda itakuwepo na subscribers watakua hawaongezeki kama sio kupungua!
Na trust me,as we speak,new lines Vodacom zinazotoka kila siku zimepungua compared to jagganauts like Tigo!
New subscribers sahauni!
Vodacom is eating its own shit!
Kijana, kama hujui Lema alishawahi leta kampeni kama hii ikahanikizwa na kamanda wenu Mange na iliishia patupu,Mtoa mada kasema kuhusu Msigwa au Lema? Nyie ndiyo mnafanya wanawake waonekane wana upeo mdoga kwa sababu ya watu kama wewe
Wameona ni nonsenseModerator
JamiiForums kuna wakati mnashangaza sana mmeunganisha uzi wangu ambao una maudhui tofauti na huu....
Sasa wewe udukuliwe kwa lipi hasa?Chochote nisichokusudia kisikiwe na MTU asiyetarajiwa nami ni siri yangu bila kujali mtazamo wako ndugu
😂😂 this is funny ...na akina mwajuOna huu ujinga yani umeshabebwa na mazwazwa ya kisiasa tayari?
Wewe una siri gani Mpaka voda wahangaike kuliweka hadharani?
Pumbavu kabisa! Basi usitumie simu kabisa, maana kama una baya lolote utapatikana tu.
Mm siwezi kuhangaika eti nisuse mtandao kisa huo ujinga wenu wa siasa. Hivi kwa akili yako unafikiri kuna mtu anahangaika na kufuatilia kutongazana kwako kila siku na kina mwajuma.?
Sijui Kama Mshana Jr amepitia hii post.. sijuimoja kati ya makampuni yaliokuwa na jeuri sana na masoko yao ni HUAWEI, ona sasa kilichotokea, Consumers ni consumers chembe moja tu ya mchanga inaweza kuleta madhara makubwa katika uhalisia wa biashara, Makampuni yanahitaji sana wateja kuliko wateja wananavyohitaji makampuni. Mgomo huu ni mzuri kwa upande mmoja maana yatayafanya makampuni yasibweteke na sasa wataamua kufanya biashara na wananchi ama kujikita kwenye kuvujisha taarifa zao. Tunataka kampuni za simu zilizo strong zenye kulinda faragha ya wateja wake. Ni sawa na gesti ama hoteli, fumanizi zikizidi wateja wanakimbia, Law of motion. Nasema wananchi wamechelewa sana kuanzisha mgomo huu. Marekani ukihitaji kudukua kwanza unaenda mahakamani kutafuta kibali na si jambo la rahisi hata kidogo. Na sisi tufike huko maana tunawatengenezea hawa jamaa faida kubwa sana kwa nini wasitulinde
Kwa akili yako kuna watu wameigomea voda?moja kati ya makampuni yaliokuwa na jeuri sana na masoko yao ni HUAWEI, ona sasa kilichotokea, Consumers ni consumers chembe moja tu ya mchanga inaweza kuleta madhara makubwa katika uhalisia wa biashara, Makampuni yanahitaji sana wateja kuliko wateja wananavyohitaji makampuni. Mgomo huu ni mzuri kwa upande mmoja maana yatayafanya makampuni yasibweteke na sasa wataamua kufanya biashara na wananchi ama kujikita kwenye kuvujisha taarifa zao. Tunataka kampuni za simu zilizo strong zenye kulinda faragha ya wateja wake. Ni sawa na gesti ama hoteli, fumanizi zikizidi wateja wanakimbia, Law of motion. Nasema wananchi wamechelewa sana kuanzisha mgomo huu. Marekani ukihitaji kudukua kwanza unaenda mahakamani kutafuta kibali na si jambo la rahisi hata kidogo. Na sisi tufike huko maana tunawatengenezea hawa jamaa faida kubwa sana kwa nini wasitulinde