Kampeni ya kuikataa Vodacom

Kampeni ya kuikataa Vodacom

mimi shida yangu sio vodacom pekee, shida yangu ni sisi wabongo. je, tunaweza kweli kuendesha kampeni ya kususia bidhaa au huduma ya kampuni fulani?.

tukumbuke ccm ina hisa ndani ya vodacom. hofu yangu wanaweza kuja na strategy ya kutangaza offer maalum ya vifurushi vya data ili wakabiliane na hii kampeni.
 
Acha mazoea binadamu hubadilika,ndiyo maana mnafanya vitu kwa mazoea mkiamini watanzania ni wajinga.
Wewe ndiye unayetakiwa kuacha mazoea ya ujinga wa kuona swali na kulisoma kama statement.

Kuna activism kibao twitter ambazo hazijawa translated into real life.

Unaposema "mnafanya vitu" unakusudia mimi na nani?

Habari yoyote itakayoanza na "Watanzania ni ..." kama si tautology ni uongo.
 
Uamuzi bora kabisa waambie na marafiki, ndugu, jamaa na majirani pia Mkuu.



Kwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...

Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...

Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...

Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.

Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.

May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!

Shubaaamit!
 
1564592387233.png
 
Mtahama Vyumba tu,ila mjue nyumba ni ileile na mwenye nyumba ni yule yule
 
Hujui lolote!

As we speak Tigo has overtaken Vodacom in every statistical category,go and check!

Na pia sio lazima wananchi wahame Vodacom manually kama unavyodhani!

Hapo ndio unapo-miss the whole point!

The aim ni chuki ya moyoni ya brand name Vodacom!

Brand name Vodacom tayari ishapata damage already!

Ishakua ni symbol of oppression tayari!Damage has already been done,permanently!

Vodacom brand ilikua ni symbol of excellence,integrity,simplicity,etc.Sasa hivi as we speak Tigo has taken all that!

Hakuna haja ya watu kuhama!Hiyo ndio unayotegemea which is wrong observation na kuicheck hii ishu kijuu juu kama kawaida yenu!

Vodacom=Oppression!

Ishapakwa mavi tayari!

Na kibaya zaidi wananchi hua hawasahau,2025 regime itakua haipo Voda itakuwepo na subscribers watakua hawaongezeki kama sio kupungua!

Na trust me,as we speak,new lines Vodacom zinazotoka kila siku zimepungua compared to jagganauts like Tigo!

New subscribers sahauni!

Vodacom is eating its own shit!
Voda ni kama maji! Usipoyanywa utaoga!

Watanzania wa natumia mitandao kulingania na huduma zao, kwa akili yako unafikiri kuna watanzania wangapi wataacha voda sababu ya huu ujinga wenu wa siasa? Yani eti kwa vile Membe au Nape kadukuliwa basi sitymii voda?

Uijinga mtupu. Hata mnaocoment hapa hakuna hata aliye acha hiyo laini
 
Ila kwakweli hata matapeli wengi wa mitandao wako sana vodacom, wale wa mara pesa imetumwa kwako kimakosa, tuma ile pesa kwenye namba hii na meseji za ndagu hutaviona kwingine ispokuwa vodacom
 
Mtoa mada kasema kuhusu Msigwa au Lema? Nyie ndiyo mnafanya wanawake waonekane wana upeo mdoga kwa sababu ya watu kama wewe
Kijana, kama hujui Lema alishawahi leta kampeni kama hii ikahanikizwa na kamanda wenu Mange na iliishia patupu,

Watanzania wa natumia laini za simu kulingania na huduma zao siyo kwa sababu na fulani anatumia,

Ilipikuja halotel wengi tume nunua laini yao sababu ya huduma zao kuwa nafuu! Wakizingua tu naachana nayo haijalishi ni mtandao gani. Huduma zao ndio zitaamua tuendelee kutumia au tupumzike, siyo sababu ya huo upuuzi wenu m
 
Chochote nisichokusudia kisikiwe na MTU asiyetarajiwa nami ni siri yangu bila kujali mtazamo wako ndugu
Sasa wewe udukuliwe kwa lipi hasa?
Unafikiri kama una mambo ya kijinga ukienda mtandao mwingine utakuwa salama?
 
Ona huu ujinga yani umeshabebwa na mazwazwa ya kisiasa tayari?

Wewe una siri gani Mpaka voda wahangaike kuliweka hadharani?

Pumbavu kabisa! Basi usitumie simu kabisa, maana kama una baya lolote utapatikana tu.

Mm siwezi kuhangaika eti nisuse mtandao kisa huo ujinga wenu wa siasa. Hivi kwa akili yako unafikiri kuna mtu anahangaika na kufuatilia kutongazana kwako kila siku na kina mwajuma.?
😂😂 this is funny ...na akina mwaju
 
moja kati ya makampuni yaliokuwa na jeuri sana na masoko yao ni HUAWEI, ona sasa kilichotokea, Consumers ni consumers chembe moja tu ya mchanga inaweza kuleta madhara makubwa katika uhalisia wa biashara, Makampuni yanahitaji sana wateja kuliko wateja wananavyohitaji makampuni. Mgomo huu ni mzuri kwa upande mmoja maana yatayafanya makampuni yasibweteke na sasa wataamua kufanya biashara na wananchi ama kujikita kwenye kuvujisha taarifa zao. Tunataka kampuni za simu zilizo strong zenye kulinda faragha ya wateja wake. Ni sawa na gesti ama hoteli, fumanizi zikizidi wateja wanakimbia, Law of motion. Nasema wananchi wamechelewa sana kuanzisha mgomo huu. Marekani ukihitaji kudukua kwanza unaenda mahakamani kutafuta kibali na si jambo la rahisi hata kidogo. Na sisi tufike huko maana tunawatengenezea hawa jamaa faida kubwa sana kwa nini wasitulinde
Sijui Kama Mshana Jr amepitia hii post.. sijui
 
moja kati ya makampuni yaliokuwa na jeuri sana na masoko yao ni HUAWEI, ona sasa kilichotokea, Consumers ni consumers chembe moja tu ya mchanga inaweza kuleta madhara makubwa katika uhalisia wa biashara, Makampuni yanahitaji sana wateja kuliko wateja wananavyohitaji makampuni. Mgomo huu ni mzuri kwa upande mmoja maana yatayafanya makampuni yasibweteke na sasa wataamua kufanya biashara na wananchi ama kujikita kwenye kuvujisha taarifa zao. Tunataka kampuni za simu zilizo strong zenye kulinda faragha ya wateja wake. Ni sawa na gesti ama hoteli, fumanizi zikizidi wateja wanakimbia, Law of motion. Nasema wananchi wamechelewa sana kuanzisha mgomo huu. Marekani ukihitaji kudukua kwanza unaenda mahakamani kutafuta kibali na si jambo la rahisi hata kidogo. Na sisi tufike huko maana tunawatengenezea hawa jamaa faida kubwa sana kwa nini wasitulinde
Kwa akili yako kuna watu wameigomea voda?
 
Umeeleweka vizuri kwa vile vodacom ina wateja wengi kuliko makampuni mengi ya simu...udukuzi sio tu kwamba ni virus kwa wateja ila pia ni risk kubwa kwa kampuni kupoteza wateja....ila wakisikia wasikie wasiposikia wasisikie ...ila picha kwenye anvatar wakiona watapuuza ..
 
Back
Top Bottom