Hujui lolote!
As we speak Tigo has overtaken Vodacom in every statistical category,go and check!
Na pia sio lazima wananchi wahame Vodacom manually kama unavyodhani!
Hapo ndio unapo-miss the whole point!
The aim ni chuki ya moyoni ya brand name Vodacom!
Brand name Vodacom tayari ishapata damage already!
Ishakua ni symbol of oppression tayari!Damage has already been done,permanently!
Vodacom brand ilikua ni symbol of excellence,integrity,simplicity,etc.Sasa hivi as we speak Tigo has taken all that!
Hakuna haja ya watu kuhama!Hiyo ndio unayotegemea which is wrong observation na kuicheck hii ishu kijuu juu kama kawaida yenu!
Vodacom=Oppression!
Ishapakwa mavi tayari!
Na kibaya zaidi wananchi hua hawasahau,2025 regime itakua haipo Voda itakuwepo na subscribers watakua hawaongezeki kama sio kupungua!
Na trust me,as we speak,new lines Vodacom zinazotoka kila siku zimepungua compared to jagganauts like Tigo!
New subscribers sahauni!
Vodacom is eating its own shit!