Sawa, hata hivyo familia yangu haikuhusu.Haya mtafanya wewe na familia yako!
Msifikiri watz wote ni mazwazwa ya kisiasa
Sawa, hata hivyo familia yangu haikuhusu.Haya mtafanya wewe na familia yako!
Msifikiri watz wote ni mazwazwa ya kisiasa
kosa la kabendera ni nini, mumetuaminisha kuwa sio raia mna wasiwasi an uraia wake, mumeona uraia hana hatia, sasa mumembakizia mambo mengine ambayo hayana kichwa wala miguu ati habari uliyotoka miezi iliyopita katika jarida la economist, wakati mambosasa katuaminisha kuwa ni suala la uraia, hivi kumuhoji mtu uraia inachukua muda gani, mumekwenda mkamata kama vile ni jambazi sugu na ambush juu, anapigia simu jamaa zake awaeleze kabla ya kutoka nje ili muweze mchukua, mumezuia mawasiliano yake, mlitaka mmupoteze kama Ben saa 8, ukitaka swala la uraia, basi nchi ni hii ni hadzabe peke yake ndio raia wengine turudishwe tulikotoka, hamuwezi mkatesa watu namna hii halafu mkisemwa ati ooh sijui nini, kuwe na huruma na kuweni na ubinadamu jamani, wote tumeumbwa na tutakufa lakini usimtendee binadamu mwenzako hivyo, mie mwenyewe ni ccm haswaa, lakini tufanye ubinadamu, tunalalamikiwa nje, mitandaoni na mpaka mitaani kisa kutesa tesa watu, fanyeni mambo ya maendeleo na hata wapinzani nao watupe big up, sio mambo ya kunyanyasa raia kama wako ukimbizini,Hao VODACOM wako juu ya Mamlaka husika ya TCRA? Yaani hadi Umri huo ulionao hujui ya kwamba endapo Mamlaka husika ( Executive ) itahisi Jambo linaloweza Kuhatarisha Amani kwa Taifa ( Kiusalama ) zaidi basi inaweza na hadi ina Mamlaka yote ya Kuchukua hatua au hata Kumchukulia hatua Mmiliki wa Simu au Mtandao? Hivi kwanini Watu wengine hapa Mtandaoni ( Wewe ukiwemo ) uwezo wenu wa Kufikiri na Kuchambua mambo ( Issues ) ni mdogo sana? Na Wewe eti hapo ulipo unajiita Msomi na umepita kabisa Chuo Kikuu.
dada hanna pole sana aisee, mie situmii huo mtandao siku nyingi, baada ya kuona makato yao ni makubwa sana, kuna siku customer care waliniboa sana naomba msaada wao wananijibu ufala, nilipomaliza kuongea nao niliitoa nikaiweka kweye choo na kuflash, sikujua kama wana ujinga zaidi ya huuAsante mkuu.
Yaani nilikwazika sana ningekuwa na ushahidi mzuri ningewafungulia kesi.
Kuna lifanyakazi LA voda lilivujisha mawasiliano yangu kwa aliyekuwa boyfriend wangu, likafanya hadi nikaachwa.
Mmmmxew yamekaa kimbea mbea Sana, hayana siri.
si walizuia baada ya kuona zito alipleka ushahidi alipo aliyekuwa msaidizi wake kwani polisi walidai ati hawajui, kwa hiyo sasa ukitekwa ccm inawaamuru tcra wazime mtandao wako ili upotezwe mazima kama yule baba EU maskini, RIPBora mitandao ya mabeberu ambao hawawezi kukubali kutumika kukublock ili utekwe na mapolisiCCM kama VODA walivyofanya kwa Kabendera.
Toa huu uchafu hapa! Kwa umuhimu gani ulio nao mpaka uhangaike hivyo?
Kwa akili yako hiyo end to end ndio ulinzi?
Wewe ukileta ukuda unadakwa kama panya tu, sema hapo ulipo unajiona uko salama coz hakuna mtu wa kuhangaika na wewe kwa kuwa huna cha maana.
Narudia tena hivi vi kampeni vyenu uchwara Mngeanzisha kupambania tume huru ya uchaguzi!
Sasa utashangaa 2020 mnakuja kulialia hapa sababu ya kukosa maono.
Babe kosa la kuachwa siyo michepuko tuu.Baby....
Ulikua na kamchepuko kengine mpka akakuacha?
Kwa maelezo haya (kama ni ya kweli) halafu tukaendelea kutumia VODA then sisi sio wazima kichwaniHabari zenu wana wa nchi na poleni kwa majukumu mbali mbali ya ujenzi wa taifa.
Baada ya tafakuli ya kina juu ya tukio la kukamatwa Mwandishi Erick Kabendera jana na Kufungiwa huduma ya mawasiliano ya simu yake na Vodacom nimeoma kuna mambo kadhaa yana tia simanzi sana juu ya Usalama wa raia yeyote kwa sasa hapa nchini.
Mwandishi Erick Kabendera anasema alipoona Mawasiliano yake yamefungwa aliwapigia vodacom na kuwauliza kulikoni? Vodacom wakamjibu kuwa wameagizwa na TCRA wafunge mawasiliano yake. Lakini baadae TCRA ambao ndio wenye jukumu la usimamizi wa Mawasiliano wakakanusha kuwa hawahusiki na tukio hilo na wala sio kazi yao kufungia watu mawasiliano.
Majibu ya TCRA yanatupa maswali magumu juu ya Mtandao wa Vodacom kama ifuatavyo.
1. Kwa nini Vodacom wanawaficha wahusika halisi waliotoa amri ambayo kama waliona ni halali?
2. Lengo halisi la kufunga mawasiliano ya mwandishi ni nini? Ili akitekwa asipatikane hewani na kuwasiliana na ndugu zake?
3. Kama mtuhumiwa anatafutwa na chombo cha usalama SIMU yake ikiwa hewani husaidia chombo cha usalama kujua mahali alipo na kumkamata kirahisi. Sasa Hawa Vodacom kumzimia Simu mtuhumiwa anaye tafutwa wana LENGO gani?
4.Makosa anayotuhumiwa Kabendera hayahusiani na mambo ya Mawasiliano kwa nini Vodacom wamfungie huduma mteja wao ambaye amelipia huduma?
Maswali haya yanatuonesha Vodacom sio Mtandao salama tena kwetu watanzania. Unashirikiana na wahalifu, watekaji, wauaji, na watesaji hapa mchini.
Pili Vodacom wameonesha dharau kubwa sana kwetu watanzania. Kama wanaweza kukufungia Mawasiliano mtu ambaye huna hatia ili udhurike na watekaji watashindwa kuvujisha habari zako?
Je, Pesa zetu tunazo ziweka huko M.PE.SA ni salama tena? Huwezi amka ukaambiwa akaunti yako imefungwa na pesa zako zimechukuliwa kwa maagizo toka juu?
Kitendo hiki hakipaswi kufurahiwa. Vodacom wanapaswa kuchukuliwa hatua na sisi wenyewe wananchi ili kulinda usalama wetu na kuwaonesha kuwa tumefedheheshwa sana na tukio hili.
Hatua za kuchukua ni hizi wana bodi.
1. Kuacha kutumia mtandao wa Vodacom na mitandao mingine kama hiyo inayo shirikiana na waharifu kutesa raia wema.
Vodacom wamejidhihirisha pasi na shaka kuwa ni hatari kwa usalama wetu hima hima tuchukue hatua haraka.
Asanteni.
Babe kosa la kuachwa siyo michepuko tuu.
😀😀😀😀😀Tangu nilipomsikia musiba akisema voda ilikuwa mali ya CCM toka hapo niliacha kutumia voda
Kwani akitangaza kwamba anatoka ww unadhurika .....Uliponunua ulimtaarifu nani wewe toka kimya kimya!
Hawa VODA hawafai kabisa mkuu.si walizuia baada ya kuona zito alipleka ushahidi alipo aliyekuwa msaidizi wake kwani polisi walidai ati hawajui, kwa hiyo sasa ukitekwa ccm inawaamuru tcra wazime mtandao wako ili upotezwe mazima kama yule baba EU maskini, RIP
kwanza voda hawajacomfirn kwamba ni wao lakini pia hata kama ni wao m naona sawa kwani hiyo mi jizi ilitaka kuihujumu nchi yetu