Kampeni ya kuikataa Vodacom

Kampeni ya kuikataa Vodacom

Hao VODACOM wako juu ya Mamlaka husika ya TCRA? Yaani hadi Umri huo ulionao hujui ya kwamba endapo Mamlaka husika ( Executive ) itahisi Jambo linaloweza Kuhatarisha Amani kwa Taifa ( Kiusalama ) zaidi basi inaweza na hadi ina Mamlaka yote ya Kuchukua hatua au hata Kumchukulia hatua Mmiliki wa Simu au Mtandao? Hivi kwanini Watu wengine hapa Mtandaoni ( Wewe ukiwemo ) uwezo wenu wa Kufikiri na Kuchambua mambo ( Issues ) ni mdogo sana? Na Wewe eti hapo ulipo unajiita Msomi na umepita kabisa Chuo Kikuu.
kosa la kabendera ni nini, mumetuaminisha kuwa sio raia mna wasiwasi an uraia wake, mumeona uraia hana hatia, sasa mumembakizia mambo mengine ambayo hayana kichwa wala miguu ati habari uliyotoka miezi iliyopita katika jarida la economist, wakati mambosasa katuaminisha kuwa ni suala la uraia, hivi kumuhoji mtu uraia inachukua muda gani, mumekwenda mkamata kama vile ni jambazi sugu na ambush juu, anapigia simu jamaa zake awaeleze kabla ya kutoka nje ili muweze mchukua, mumezuia mawasiliano yake, mlitaka mmupoteze kama Ben saa 8, ukitaka swala la uraia, basi nchi ni hii ni hadzabe peke yake ndio raia wengine turudishwe tulikotoka, hamuwezi mkatesa watu namna hii halafu mkisemwa ati ooh sijui nini, kuwe na huruma na kuweni na ubinadamu jamani, wote tumeumbwa na tutakufa lakini usimtendee binadamu mwenzako hivyo, mie mwenyewe ni ccm haswaa, lakini tufanye ubinadamu, tunalalamikiwa nje, mitandaoni na mpaka mitaani kisa kutesa tesa watu, fanyeni mambo ya maendeleo na hata wapinzani nao watupe big up, sio mambo ya kunyanyasa raia kama wako ukimbizini,
 
Asante mkuu.
Yaani nilikwazika sana ningekuwa na ushahidi mzuri ningewafungulia kesi.
dada hanna pole sana aisee, mie situmii huo mtandao siku nyingi, baada ya kuona makato yao ni makubwa sana, kuna siku customer care waliniboa sana naomba msaada wao wananijibu ufala, nilipomaliza kuongea nao niliitoa nikaiweka kweye choo na kuflash, sikujua kama wana ujinga zaidi ya huu
 
Kuna lifanyakazi LA voda lilivujisha mawasiliano yangu kwa aliyekuwa boyfriend wangu, likafanya hadi nikaachwa.
Mmmmxew yamekaa kimbea mbea Sana, hayana siri.

Baby....
Ulikua na kamchepuko kengine mpka akakuacha?
 
Bora mitandao ya mabeberu ambao hawawezi kukubali kutumika kukublock ili utekwe na mapolisiCCM kama VODA walivyofanya kwa Kabendera.
si walizuia baada ya kuona zito alipleka ushahidi alipo aliyekuwa msaidizi wake kwani polisi walidai ati hawajui, kwa hiyo sasa ukitekwa ccm inawaamuru tcra wazime mtandao wako ili upotezwe mazima kama yule baba EU maskini, RIP
 
Toa huu uchafu hapa! Kwa umuhimu gani ulio nao mpaka uhangaike hivyo?

Kwa akili yako hiyo end to end ndio ulinzi?

Wewe ukileta ukuda unadakwa kama panya tu, sema hapo ulipo unajiona uko salama coz hakuna mtu wa kuhangaika na wewe kwa kuwa huna cha maana.

Narudia tena hivi vi kampeni vyenu uchwara Mngeanzisha kupambania tume huru ya uchaguzi!

Sasa utashangaa 2020 mnakuja kulialia hapa sababu ya kukosa maono.

Uchafu nauleta wa kutosha!

Deal with it!

Otherwise hama,kama upo huna budi kukaa karibu na mavi,nakunya nayajaza and aint nuttin’ you can do about it!

Umuhimu ninao kwangu mimi binafsi sio wewe or anybody else dummy!

I couldn’t give a fvck more or less!

End-to-End is my thing,kama unaweza break it you dumb-dumb!

Otherwise stay on your lane!

Ukuda naleta sana,wapigie simu waje!Waambie wawe careful maana wanaweza wasirudi!

Kampeni inaendelea na brand ya Vodacom tushainyea vya kutosha na hamtufanyi lolote!

More or less watu wamejenga chuki na Vodacom rightfully so!

Hatufanyi kitu eti sababu Crimea katushauri tufanye.

We don’t need your stupid advising services!Hizo services zako za ushauri mpeleke Jiwe!

Otherwise shut up your butts like the rest of’em!
 
Habari zenu wana wa nchi na poleni kwa majukumu mbali mbali ya ujenzi wa taifa.
Baada ya tafakuli ya kina juu ya tukio la kukamatwa Mwandishi Erick Kabendera jana na Kufungiwa huduma ya mawasiliano ya simu yake na Vodacom nimeoma kuna mambo kadhaa yana tia simanzi sana juu ya Usalama wa raia yeyote kwa sasa hapa nchini.

Mwandishi Erick Kabendera anasema alipoona Mawasiliano yake yamefungwa aliwapigia vodacom na kuwauliza kulikoni? Vodacom wakamjibu kuwa wameagizwa na TCRA wafunge mawasiliano yake. Lakini baadae TCRA ambao ndio wenye jukumu la usimamizi wa Mawasiliano wakakanusha kuwa hawahusiki na tukio hilo na wala sio kazi yao kufungia watu mawasiliano.

Majibu ya TCRA yanatupa maswali magumu juu ya Mtandao wa Vodacom kama ifuatavyo.

1. Kwa nini Vodacom wanawaficha wahusika halisi waliotoa amri ambayo kama waliona ni halali?
2. Lengo halisi la kufunga mawasiliano ya mwandishi ni nini? Ili akitekwa asipatikane hewani na kuwasiliana na ndugu zake?

3. Kama mtuhumiwa anatafutwa na chombo cha usalama SIMU yake ikiwa hewani husaidia chombo cha usalama kujua mahali alipo na kumkamata kirahisi. Sasa Hawa Vodacom kumzimia Simu mtuhumiwa anaye tafutwa wana LENGO gani?

4.Makosa anayotuhumiwa Kabendera hayahusiani na mambo ya Mawasiliano kwa nini Vodacom wamfungie huduma mteja wao ambaye amelipia huduma?

Maswali haya yanatuonesha Vodacom sio Mtandao salama tena kwetu watanzania. Unashirikiana na wahalifu, watekaji, wauaji, na watesaji hapa mchini.

Pili Vodacom wameonesha dharau kubwa sana kwetu watanzania. Kama wanaweza kukufungia Mawasiliano mtu ambaye huna hatia ili udhurike na watekaji watashindwa kuvujisha habari zako?

Je, Pesa zetu tunazo ziweka huko M.PE.SA ni salama tena? Huwezi amka ukaambiwa akaunti yako imefungwa na pesa zako zimechukuliwa kwa maagizo toka juu?

Kitendo hiki hakipaswi kufurahiwa. Vodacom wanapaswa kuchukuliwa hatua na sisi wenyewe wananchi ili kulinda usalama wetu na kuwaonesha kuwa tumefedheheshwa sana na tukio hili.

Hatua za kuchukua ni hizi wana bodi.
1. Kuacha kutumia mtandao wa Vodacom na mitandao mingine kama hiyo inayo shirikiana na waharifu kutesa raia wema.

Vodacom wamejidhihirisha pasi na shaka kuwa ni hatari kwa usalama wetu hima hima tuchukue hatua haraka.
Asanteni.
Kwa maelezo haya (kama ni ya kweli) halafu tukaendelea kutumia VODA then sisi sio wazima kichwani
 
Je mnauhakika gani kwamba mitandao mingine ina usalama wa kutosha?Tupeni uhakika ndio tufanye maamuzi sahihi.Airtel na TTCL serikali ina share pia.
 
si walizuia baada ya kuona zito alipleka ushahidi alipo aliyekuwa msaidizi wake kwani polisi walidai ati hawajui, kwa hiyo sasa ukitekwa ccm inawaamuru tcra wazime mtandao wako ili upotezwe mazima kama yule baba EU maskini, RIP
Hawa VODA hawafai kabisa mkuu.
 
kwanza voda hawajacomfirn kwamba ni wao lakini pia hata kama ni wao m naona sawa kwani hiyo mi jizi ilitaka kuihujumu nchi yetu
 
Nimeshaitupa kwenye dustbin line ya voda
 
Mm ni mdau wa kitambo, ila ngoja na mm nifunge virango mana ya kwangu hayaelezeki , kumbe tuko wengi
 
Back
Top Bottom