Jua usiyoyajua
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 1,166
- 684
All professionals should adhere on their ethics. Otherwise you must go.
Mi toka 2017 ndo natumia bandoa2500 kwa wiki mpaka leomimi kwenye menu yangu kifurushi kinaanza 2500,kwa mshahara upi nilionao
Bado. Airtel ni serikali. Tigo haltel wanashea na CCM. Voda nayo wanahisa. Wewe tafuta mtandao wasio husika na CCM hakunaTangu nilipomsikia musiba akisema voda ilikuwa mali ya CCM toka hapo niliacha kutumia voda
Kuwaonea bure kivipi wakati wamekiri hadharani? Kwamba eti wanatii maigizo ya serikali ni stupid excuse kwa sababu na wenyewe wana wajibu wa kulinda faragha ya wateja! Voda wangekuwa na hoja ya msingi endapo suala lenyewe lingekuwa linahusu issues za kiusalama na sio issues za mtu kuogopa kupingwa kwenye uchaguzi!Mitandao yoote inayo tumia 4G na 5G ndiyo uwezo mkubwa Sana kudukuliwa. Voda tunawaonea bure. Kama mnakumbuka wakati jiwe akifungua kituo Cha kufuatilia matumizi ya serikali. Alisema jinsi alivyo wa weka wizara moja wadada vulani
Bado tu unatumia voda?
Mimi sikuweka namba, kwa hiyo sikuhesabau wewe mwenye hiyo 1000 tuambie uliwahesabu lini?Wewe ulivyohesabu wamefika wangapi?
Natumaini kila kitu kitakua kadri unavyotamani kiweMimi sikuweka namba, kwa hiyo sikuhesabau wewe mwenye hiyo 1000 tuambie uliwahesabu lini?
Itakuwaje 'utumaini,' na ni lini nilikukabidhi uamzi juu ya 'matamanio' yangu?Natumaini kila kitu kitakua kadri unavyotamani kiwe
Ooh tutumie tigo
du pole sana aisee, kisa kapewa hela, aisee daah, pole sana dear,Kuna lifanyakazi LA voda lilivujisha mawasiliano yangu kwa aliyekuwa boyfriend wangu, likafanya hadi nikaachwa.
Mmmmxew yamekaa kimbea mbea Sana, hayana siri.
mkuu usiseme hivyo, mkuu we unadhani tukisusia wote ni watz wenzetu ndio watakaoathirika, wenyewe watahama tu na kwenda nchi nyingine ila watayumba sana, voda sio bahari, voda ni kijito tu, kukaushwa ni mara 1, ila na wao kwanini wafanye hivyo na nimesoma historia yao, wana historia mbaya sana ya kuvujisha siri za wateja,Kususia kwako hakuna athari zozote ni sawa na kutishia kuchota ndoo moja ya maji kwenye bahari eti utaikausha bahari.
mbona walishindwa mdukua mange kimambi, na akawa anawachafua sana tu,Nimawazo yako tu, vodacom hawausiki, Ni mitambo kutoka Israel, hata email wakiamua kudukua watadukua tu
mtekaji mkubwa, wacha tuje tumteke mwanao kisha upige simu voda uambiwe kuna mkubwa kazuia mawasiliano yako yasitoke ndio utaona utamu wa hii kitu,Sidhani kama ni voda tu, mitandao yote kwa sasa imeunganishwa kwa ajili ya usalama,na ukitoka toka kimya kimya sio mpaka sisi huku tujue,Me binafsi natumia voda na nitaendelea kutumia kama kawaida na daima tusikubali kuongozwa na hisia fulani,fikiria kabla ya kutenda
Asante mkuu.du pole sana aisee, kisa kapewa hela, aisee daah, pole sana dear,
Niache kutumia simu,says who?
Crimea?
Get tha fvck outta here!
Watu tuna end-to-end encryption,sio wewe unatumia basic level com!
Watu hatulingani,jilinganishe na hewa wenzio!
Tuseme mimi wa Ufipa,wewe wa Lumumba,still you are broke living!
Upo serikalini na unampa B-job Jiwe kila siku ila you in hell hole still!
When are you coming out that hell hole shining and glistening like us free agents?
Haya mtafanya wewe na familia yako!#VodacomBlackSaturday
Ni tarehe 3/08/2019 kususia Mtandao wa voda, kwa wenye laini ya Voda msipige wala msipokee namba ya Voda, hata internet siku hiyo hatutatumia.
Lengo ni kuonesha kutoridhishwa kuvujishw na kuingiliwa kwa matumizi mteja.
Say NO to @VodacomTanzania https://t.co/z6MVTJSWBi