Watu wasiofikiria ndio wanakua na double standards kama wewe!
Eti watu wawili tu ndio wamedukuliwa basi isiwe taabu sababu ni wawili tu!
Hebu tuambue mwa utashi wako ulitaka idadi ya watu wangapi?Mia moja,elfu moja?Umetumia kigezo gani to arrive to that imaginary number?
Ni watu,na wamedukuliwa na bado hao wengine ambao hawajaripoti ni watu pia!
Eti Voda ni maji!
Kwavile ni maji ndio ishirikiane kufanya ukatili?Tuna options za mitandao chungu nzima!
Na currently Tigo is overtaking Vodacom,go check the figures!
Na kingine tushajenga chuki na brand,hiyo ni hatua!
Vodacom did a very depressing act of blocking innocent journalists numbers just because serikali said so!
Such an evil company!
Halafu mtu mzima mwenye akili timamu unakaa mbele ya jamii unatetea jitu lionevu kama serikali na jitu evil kama Vodacom walichofanya kwa mwandishi habari aliekua anatimiza wajibu wake kitaaluma?
Badala ya kutetea mnyonge,you dont see that,unatetea lucifer and his assitant Vodacom,hivi wewe ni mtu wa aina gani?