Kuna mobb inaendelea ambayo inahimiza kutotumia line ama service za vodacom.
Anayehimiza hivi ni either hana uelewe Wa namna mitandao ya simu inavyofanya kazi au anafanya makusudi.
Cha kwanza
Kama ni kweli Kua vodacom wanavujisha taarifa za wateja Kwa serikali au mtu mwingine yeyote Basi mitandao yote inavujisha.
Huwez kuhama mtandao mmoja kwenda mwingine na ukawa salama.
Njia pekee ya kuwa salama ni kutotumia cm au kuhama nchi.
Kwa Akili zenu nyingi nyie akina Lema na wengine , mnadhan kuhamia Tigo au ttcl ndio kukwepa serikal kukujua upo wapi ? Bulls*t.
Tumien Akili kidogo ,ndio maana mipango yenu inafail Kila mara, serikal watakuwa wanacheka sana ,namna mnavoshupaa kuwahimiza wananchi wahamie Tigo utadhan Tigo iko chini ya zra ya Zambia na sio trca ya Tanzania.
Wanahimiza watu Waende ttcl na Tigo utadhan haya makampuni yako Marekan na sio Tanzania East Africa.
Let me make this clear , hamia ttcl , Zantel ,blablah tel etc ,kama kweli watataka kukusikiliza Wala hatachukua hata sekunde 100.
La msingi mlitakiwa kuhoji kisheria,kua kama kweli vodacom hizi tuhuma ni za kweli ! Serikal kupitia tcra mbona haiiadhibu vodacom ?
Na kama tuhuma hizi sio za kweli Kwa vodacom mbona serikal pia ipo kimya ?
Am optimistic Kwa jambo Moja ,tunaweza kuwasakama vodacom na kumuacha mbaya wetu .
Si vodacom huyu huyu kiongoz wao mkuu alikamatwa Kwa ihujumu uchum?
Kama wako vizur na serikali hayo yangetokea ?
Huenda vodacom ni mhanga mkubwa Wa serikali hii.
Mchawi ni tcra ,atuambie je ni kweli wan rekod mazungumzo ya watu ?
Je ni kweli watu hao ni threat Kwa usalama Wa taifa Leo au ni threat kwa masilah ya siasa tu ?
Think think think, don't just jump kwenye mtumbwi wenye nyoka na kujirusha kwenye mto wenye mamba wenye njaa.