Dharra
JF-Expert Member
- Jun 23, 2017
- 1,661
- 2,970
moja kati ya makampuni yaliokuwa na jeuri sana na masoko yao ni HUAWEI, ona sasa kilichotokea, Consumers ni consumers chembe moja tu ya mchanga inaweza kuleta madhara makubwa katika uhalisia wa biashara, Makampuni yanahitaji sana wateja kuliko wateja wananavyohitaji makampuni. Mgomo huu ni mzuri kwa upande mmoja maana yatayafanya makampuni yasibweteke na sasa wataamua kufanya biashara na wananchi ama kujikita kwenye kuvujisha taarifa zao. Tunataka kampuni za simu zilizo strong zenye kulinda faragha ya wateja wake. Ni sawa na gesti ama hoteli, fumanizi zikizidi wateja wanakimbia, Law of motion. Nasema wananchi wamechelewa sana kuanzisha mgomo huu. Marekani ukihitaji kudukua kwanza unaenda mahakamani kutafuta kibali na si jambo la rahisi hata kidogo. Na sisi tufike huko maana tunawatengenezea hawa jamaa faida kubwa sana kwa nini wasitulinde


