Kampeni ya kuikataa Vodacom

Kampeni ya kuikataa Vodacom

Mi nawaomba kwa umoja kabisa tuanze kampeni hii ya kukataa kutumia vodacom labda akili itawarejea, haiwezekani sisi kama wateja siri zetu zinatolewa pasipo ruhusa ya mteja na kama haitoshi unafungiwa kupiga simu pasipo kutaarifiwa na kubwa zaidi tabia yao ya kupunguza vifurushi. Tuseme sasa inatosha voda wameota mapembe wakati sisi ndo tumewafikisha hapo.
# TuikataeVoda
# HawatufaiVoda
kampeni za kivuta unga izi.
 
si tuliambiwa ni moja ya mali ya chama iliyouzwa kinyemela labda imesharudishwa lumumbani
 
Kampuni yeyeto inayoshirikiana na watekaji ni kupiga chini fasta kesho wwe ndugu yako au rafiki yako ni mtekwaji mtarajiwa.
 
Vodacom wakamjibu kuwa wameagizwa na TCRA wafunge mawasiliano yake. Lakini baadae TCRA wakakanusha kuwa hawahusiki na tukio hilo na wala sio kazi yao kufungia watu mawasiliano.
VODACOM wameonyesha udhaifu mkubwa sana. Ninatarajia watajitokeza waseme TCRA inapotosha.
 
ungekuwa wewe Vodacom ukapewa amri kutoka huko zinakotoka ungekataa??

hebu acheni unafiki wakumnunia mnamjua voda mnamtwisha lawama bure tu.

haya mtoke voda muende wapi ttcl, Airtel, tigo, zantel Kati ya hao Kuna mwenye ubavu wakukataa maagizo kutoka huko yanapotaka
tunaanza na huyu ili hao tunaowaendea wajue atutaki upumbavu kama huu!! kama kwote si salama tunaanza kupanda magari twende tukapashane habari afu tunarudi maana ukituma barua posta itafunguliwa
 
Hivi mfano uvamiwe na majambazi halafu huwezi kupiga simu polisi na huduma yako ya mawasiliano yamesitishwa kwa mda huo,kuna haja gani ya kutumia huo mtandao?hivi wale kina Membe na nape wanatumia mtandao gani
Wale ni ttcl na ttcl ni ya stone. Anachofanya ni kudukua tuuu
 
Yaani mashabiki wa Simba sijui wamepewa nini na Mo! Ukimuongelea Mo tofauti tu basi wewe unaitwa adui wa Simba! Msisahau hata sisi alikuwepo Yusuf Manji, ila kwa sasa imebakia kuwa historia tu na timu kwa sasa imeshaanza kujijenga yenyewe kupitia nembo yake,nk. badala ya kumtegemea mtu mmoja.
 
Walisema ni kampuni ya ccm iliyouzwa na kina Kinana
 
Mimi kitambo sana lilaini lao nishalitupilia mbali sipendi upumbavu na ujinga kabisa
 
Haya mambo mtutolee humu. Jadilini huko huko ufipa. Nyie mnadhani bila makampuni kutoa taarifa mtakuwa salama? Mauaji ya kibiti mnadhani yalngeishia kibiti tu.
 
Kwa kuwa vodacom wameamua kutumikia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...

Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...

Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...

Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.

Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.

May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!

Shubaaamit!
 
Kwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...

Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu, the axis of evil kama alivopata kusema Rais George W.Bush wa Marekani..

Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...

Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.

Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.

May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!

Shubaaamit!
Hiyo simu umewahi kumiliki au bwembwe tu?
 
Umechelewa sana kuvunja laini ya voda, mimi ile siku tu nlipoambiwa udukuzi nilivunja
Kwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...

Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...

Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...

Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.

Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.

May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!

Shubaaamit!
, wachana nao kabisa, nunulia mke na watoto mitandao mingine ila SI VODA
 
Umechelewa sana kuvunja laini ya voda, mimi ile siku tu nlipoambiwa udukuzi nilivunja
Kwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...

Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...

Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...

Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.

Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.

May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!

Shubaaamit!
, wachana nao kabisa, nunulia mke na watoto mitandao mingine ila SI VODA
 
Back
Top Bottom