Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,524
Bwana Ali Mufuruki
Nadhani sasa ni wakati muafaka ukaonesha imani yako kwenye misingi bora ya uendeshaji mashirika ya kibiashara (Corporate Governance).
Wewe ni mmoja wa waasisi wa CEO Round Table, na ni kinara wa kuhimiza mambo ya Corporate Citizenship na Corporate Governance,
Responsibility and Accountability, ni moja ya misingi ya mambo hayo.
Sasa hii VODACOM ambayo wewe ni mwenyekiti wa Board ya Wakurugenzi wake, chini ya uongozi wako tumeshuhudia kitu ambacho naweza kukiita one of the biggest Corporare Governance scandle baada ya executives wake kushutumiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi. Ni bahati nzuri kwako kwamba wakati scandle hii inatokea mpaka mnaizima kimya kimya kwa kukubali kulipa mabilioni ya pesa ambayo mimi nayatambua kama Rushwa hakuna aliyekunyooshea kidole kwa sababu ya negative sentiment ya wananchi dhidi ya serikali ya awamu ya Tano, Hasa wananchi walio kwenye social networks au la kwa sababu ya utamadurni wa watanzania ambao unautambua vizuri tu.
Kabla hilo halijapoa, Chini ya Uongozi wako, inaonekana tena VODACOM inatumika na vyombo vya serikali kuingilia faragha za wateja wake. Misingi ya mafanikio ya kampuni yoyote katika sekta ya mawasiliano ni umadhubuti wake katika kutunza siri za mawasiliano ya wateja.
Leo uchumi wa dunia unatetemeka kwa sababu tu Wamerakani wana wasiwasi kampuni ya Kichina ya UHAWEI inaweza ikatumiwa na serikali ya CHINA kufanya upuuzi ambao leo VODACOM inaruhusu vyombo vya serikali kuwafanyia wananchi wake.
Haya ni mapungufu makubwa ya kiuongozi, naona watu wengi wanakimbilia kulalamikia uwezo mdogo wa technologia ya ulinzi ya VODOCOM, hii sio kweli. Makampuni yote ya simu yanatumia equipment vendors wale wale, na wala hakuna kampuni hapa inaweza kudai inajivunia kuwa na uwezo mkubwa wa kiulinzi kwenye mitambo yake, hakuna.
Hili ni tatizo la kiongozi, kuna ethical conduct breakdown hapo Vodacom, na ni wajibu wa Board chini ya Mwenyekiti wao kuhakikisha kwamba wanaweka Appropriate ethical tone juu ya mambo kama haya, yote mawili, yale yalipelekea wakurugenzi wenu wakafikishwa mahakamani kutokana na makosa ya uhujumu uchumi pamoja na huu ushenzi, huu ni ushenzi wala siwezi kuuelezea na ndio maana wala sishiriki mijadala yake hapa JF.
Sasa Bwana Ali, mbele yako umepata fursa hadhimu, kuuthibitishia ulimwengu wote kwamba wewe ni Board Room Guru, you have alot of justifications, unaweza ukachagua mawili.
Ama ukasema, haukubaliani na muenendo wa vyombo vya serikali kuingilia mitandao yenu ya mawasiliano ambayo wana access nayo kutokana na nafasi yao ya usimamizi wa makampuni ya mawasiliano, useme hauko Tayari kuwa sehemu ya uhuni huu. U RESIGN.
Au useme tu kwamba, kumekuwa na Governance Failure, na umeamuwa kutake responsibility, U RESIGN.
Na sio lazima useme maneno yote yao, unaweza ukatumia maneno very general lakini ukaresign, tutakuelewa.
Ama sivyo unachafua jina lako na washirika wako.
Nakuangalia.
Nadhani sasa ni wakati muafaka ukaonesha imani yako kwenye misingi bora ya uendeshaji mashirika ya kibiashara (Corporate Governance).
Wewe ni mmoja wa waasisi wa CEO Round Table, na ni kinara wa kuhimiza mambo ya Corporate Citizenship na Corporate Governance,
Responsibility and Accountability, ni moja ya misingi ya mambo hayo.
Sasa hii VODACOM ambayo wewe ni mwenyekiti wa Board ya Wakurugenzi wake, chini ya uongozi wako tumeshuhudia kitu ambacho naweza kukiita one of the biggest Corporare Governance scandle baada ya executives wake kushutumiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi. Ni bahati nzuri kwako kwamba wakati scandle hii inatokea mpaka mnaizima kimya kimya kwa kukubali kulipa mabilioni ya pesa ambayo mimi nayatambua kama Rushwa hakuna aliyekunyooshea kidole kwa sababu ya negative sentiment ya wananchi dhidi ya serikali ya awamu ya Tano, Hasa wananchi walio kwenye social networks au la kwa sababu ya utamadurni wa watanzania ambao unautambua vizuri tu.
Kabla hilo halijapoa, Chini ya Uongozi wako, inaonekana tena VODACOM inatumika na vyombo vya serikali kuingilia faragha za wateja wake. Misingi ya mafanikio ya kampuni yoyote katika sekta ya mawasiliano ni umadhubuti wake katika kutunza siri za mawasiliano ya wateja.
Leo uchumi wa dunia unatetemeka kwa sababu tu Wamerakani wana wasiwasi kampuni ya Kichina ya UHAWEI inaweza ikatumiwa na serikali ya CHINA kufanya upuuzi ambao leo VODACOM inaruhusu vyombo vya serikali kuwafanyia wananchi wake.
Haya ni mapungufu makubwa ya kiuongozi, naona watu wengi wanakimbilia kulalamikia uwezo mdogo wa technologia ya ulinzi ya VODOCOM, hii sio kweli. Makampuni yote ya simu yanatumia equipment vendors wale wale, na wala hakuna kampuni hapa inaweza kudai inajivunia kuwa na uwezo mkubwa wa kiulinzi kwenye mitambo yake, hakuna.
Hili ni tatizo la kiongozi, kuna ethical conduct breakdown hapo Vodacom, na ni wajibu wa Board chini ya Mwenyekiti wao kuhakikisha kwamba wanaweka Appropriate ethical tone juu ya mambo kama haya, yote mawili, yale yalipelekea wakurugenzi wenu wakafikishwa mahakamani kutokana na makosa ya uhujumu uchumi pamoja na huu ushenzi, huu ni ushenzi wala siwezi kuuelezea na ndio maana wala sishiriki mijadala yake hapa JF.
Sasa Bwana Ali, mbele yako umepata fursa hadhimu, kuuthibitishia ulimwengu wote kwamba wewe ni Board Room Guru, you have alot of justifications, unaweza ukachagua mawili.
Ama ukasema, haukubaliani na muenendo wa vyombo vya serikali kuingilia mitandao yenu ya mawasiliano ambayo wana access nayo kutokana na nafasi yao ya usimamizi wa makampuni ya mawasiliano, useme hauko Tayari kuwa sehemu ya uhuni huu. U RESIGN.
Au useme tu kwamba, kumekuwa na Governance Failure, na umeamuwa kutake responsibility, U RESIGN.
Na sio lazima useme maneno yote yao, unaweza ukatumia maneno very general lakini ukaresign, tutakuelewa.
Ama sivyo unachafua jina lako na washirika wako.
Nakuangalia.