Kampeni ya kuikataa Vodacom

Kampeni ya kuikataa Vodacom

Walinipandishia gharama za vifurushi kutoka 2000 kwa siku hadi 30,000 na ndio mtandao niliokuwa nategemea kwasababu niliutumia kwa miaka 12, niliwaomba wanifanyie fea wakakataa nikaamua kuachana na voda rasmi, laini ninayo natumia kupokea simu pekee.

Miaka mitatu sasa
 
Mambo ya kudukuliwa yanafanyika kwenye system za serikali makini kama Marekani, sembuse company kama vodacom. Achana vodacom ifanye kazi kwa mujibu wa sheria.
inaonekana upo nyuma sana ktk issues za international affairs.

hivi unajua kwamba mamlaka za serikali ya marekani ilibidi ibadili baadhi ya sheria na sera zake baada edward snowden kutoa siri kwa umma kwamba vyombo vya kijasusi vya mmarekani vinadukua mawasiliano ya raia wake?.
 
Voda ni kama maji! Usipoyanywa utaoga!

Watanzania wa natumia mitandao kulingania na huduma zao, kwa akili yako unafikiri kuna watanzania wangapi wataacha voda sababu ya huu ujinga wenu wa siasa? Yani eti kwa vile Membe au Nape kadukuliwa basi sitymii voda?

Uijinga mtupu. Hata mnaocoment hapa hakuna hata aliye acha hiyo laini

Watu wasiofikiria ndio wanakua na double standards kama wewe!

Eti watu wawili tu ndio wamedukuliwa basi isiwe taabu sababu ni wawili tu!

Hebu tuambie kwa utashi wako ulitaka idadi ya watu wangapi?Mia moja,elfu moja?Umetumia kigezo gani to arrive to that imaginary number?

Ni watu,na wamedukuliwa na bado hao wengine ambao hawajaripoti ni watu pia!

Eti Voda ni maji!

Kwavile ni maji ndio ishirikiane kufanya ukatili?Tuna options za mitandao chungu nzima!

Na currently Tigo is overtaking Vodacom,go check the figures!

Na kingine tushajenga chuki na brand,hiyo ni hatua!

Vodacom did a very depressing act of blocking innocent journalists numbers just because serikali said so!

Such an evil company!

Halafu mtu mzima mwenye akili timamu unakaa mbele ya jamii unatetea jitu lionevu kama serikali na jitu evil kama Vodacom walichofanya kwa mwandishi habari aliekua anatimiza wajibu wake kitaaluma?

Badala ya kutetea mnyonge,you dont see that,unatetea lucifer and his assitant Vodacom,hivi wewe ni mtu wa aina gani?
 
Huo mtandao unaenda hakuna udukuzi?
Kwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...

Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...

Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...

Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.

Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.

May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!

Shubaaamit!
 
Baadhi ya wananchi wamecharuka baada ya tetesi kuwa mtandao wa vodacom hutumika kudukua mawasiliano yao.

Vodacom inatuhumiwa kudukua mawasiliano ya Membe, Saanane na kuzima mawasiliano ya Kabendera.
Screenshot_20190731-083308.png

Screenshot_20190731-083338.png
 
Kwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...

Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...

Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...

Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.

Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.

May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!

Shubaaamit!
Nilishaitia kiberiti toka Juzi. Wasenge Sana hawa.
 
Ishu sio mitambo kosa ni kuvujisha taarifa za watu public ni kukiuka Sheria za faragha ambapo wasipokuwa makin kukubali kuwafurahisha washamba wataishia kuburuzwa mahakamani na kulipa watu pesa mingi.
sasa sio wao waliofanya hivyo

hawa wametokea TCRA

jamani ingekuwa kuna uhuni huo tungesikia siku nyingi watu wakidhalilishana na kushikana ugoni
 
NImesema sina muda wa kujadiliana na watu wa aina yako! Nilidhani ni muungwana vinginevyo nisingepoteza hata huo muda kuandika post yangu ya kwanza kwako!

hauwezi kujibu

Vodacom ndio wao wamesema na wametoa sababu

it was simple for them kukana kuwa hawahusiki

mnapenda waongo
 
Mimi hawa mbweha nimewahama,nimekula mkopo mpawa 148,000/= kwa line mbili tofauti nilizokuwa nazimiliki nimekopa nipige tafu jumla 11,000/= nilisajili kwa kitambulisho cha chuo kilichokosewa jina,Nimehana nipo naenjoy na halotel na tigo
 
ukiwa na ishu yoyote ya siri tumia whtsp call au telegram...................full stop
 
sasa sio wao waliofanya hivyo

hawa wametokea TCRA

jamani ingekuwa kuna uhuni huo tungesikia siku nyingi watu wakidhalilishana na kushikana ugoni

Kama ni hivo Voda iiburuze TCRA mahakamani ili kujisafisha na kurudisha imani Kwa wateja si tumesaini Sheria za kimataifa?
 
Back
Top Bottom