Mzee Nondo
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 125
- 83
Zima yako au na wewe uichome moto kama huyo mwathrika wa bisibisi
Nadhani ipigwe kampeni wateja wa voda wazime simu zao kwa siku mbili tuu. Iwe fundisho kwa huu mtandao.
Kwanza huduma zao ni ghali ukilinganisha na mitandao mingine halafu bado wana fanya ushenzi.
