Kampeni ya kuikataa Vodacom

Kampeni ya kuikataa Vodacom

Zima yako au na wewe uichome moto kama huyo mwathrika wa bisibisi
Nadhani ipigwe kampeni wateja wa voda wazime simu zao kwa siku mbili tuu. Iwe fundisho kwa huu mtandao.
Kwanza huduma zao ni ghali ukilinganisha na mitandao mingine halafu bado wana fanya ushenzi.
 
Watanzania tusiwe na akili nyepesi kiasi hichi, Vodacom wamejipambanua jinsi wanavyolazimishwa kutoa siri za wateja wao, kosa lao kubwa sana ni kukubali kutoa mawasiliano kinyume na sheria ya nchi. Lakini je, mnajua mitandao ambayo haijatoa taarifa kama vile TIGO,ZANTEL,HALOTEL na AIRTEL ambao serikali ina hisa nyingi ina matatizo kiasi gani?

Tunapoulaumu mtandao ambao umekua huru kueleza masahibu unayopitia, kumbukeni kua kuna mitandao ambayo haijasema kitu. Kwa ujumla kupitia mazingira haya ya Vodacom ni lazima tuwe na hofu mitandao yote iliyopo nchini.
Kujipambanua sio excuse! Muhimu ni kujiuliza ikiwa walifanya hayo kwa mujibu wa sheria! Kama haikuwa kwa mujibu wa sheria, walikuwa na haki ya kugoma, na ikibidi kwenda hata mahakamani! Kwamba hata akina Tigo nako huenda kukawa na matatizo bado hiyo haiwezi kuwa hoja; kwa sababu huyo Vodacom tayari imeshathibitika!
 
Kuandika tu Voda -Com Tanzania inamaana kubwa na ni jibu kwanini wametoa taarifa za wateja wao kuliko hata maelezo mengi uliyotoa.

Kifupi % kubwa ya wananyakazi ni watanzania sawa na katibu wetu mwenezi wa chama na mkuu wetu wa mkoa pendwa! Nahii ndiyo maana pana zaidi ya mfumo! Mimi na wewe inawezekana tunapiga kelele cz tuko nje lakini tungekuwa kwenye nafasi hizo tungetoa tu taarifa upende au usipenda otherwise kaapembeni na wasiojulikana wakufuata hata kama umeacha kz! Hii ndiyo Tz ya sasa, Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Africa.

nani kasema wametoa taarifa za wateja?
 
Kujipambanua sio excuse! Muhimu ni kujiuliza ikiwa walifanya hayo kwa mujibu wa sheria! Kama haikuwa kwa mujibu wa sheria, walikuwa na haki ya kugoma, na ikibidi kwenda hata mahakamani! Kwamba hata akina Tigo nako huenda kukawa na matatizo bado hiyo haiwezi kuwa hoja; kwa sababu huyo Vodacom tayari imeshathibitika!

aliyesema wanatoa siri za watu ni nani?
 
aisee, unazungumza kwa confidence ya ajabu!...kama una akili vile
Acha matusi, kwa sababu matusi hayauzwi! Uungwana ndio unakupasa kukuongoza kwenye majadiliano! Haya matakataka yako hapa chini sijayasoma kwa sababu siwezi kupoteza muda kusoma kilichoandikwa na mtu asiyejiheshimu!!
Vodacom wasingejikaanga na kusema kitu kupoteza wateja

wame respond na kueleza kuwa taarifa zinaombwa na, serikali na TCRA

ambao kwa akili zako za Ulaya unasema hawawezi kufanya vile

kwa akili zako za ulaya unadhani ni wahun
ila kwa akili zako za Tandale chooni, haujawahi kuwaza mbona mawasiliano mengine mengi huwa hayavuji?

Membe kasema anajua yametokea wapi,jasusi mbobezi angesema tu ni voda

hao wahuni wangetoa sana taarifa mpaka za mapenzi ya siri za watu, hao wahuni

msijifanye wajuaji sana
 
Kwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...

Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...

Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...

Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.

Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.

May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!

Shubaaamit!
Sawa ila sisi ilipo vida na sisi tupo. Msituletee siasa kwenye biashara. Voda ina wateja zaidi ya 10m ukiondoka wewe haina shida
 
aliyesema wanatoa siri za watu ni nani?
NImesema sina muda wa kujadiliana na watu wa aina yako! Nilidhani ni muungwana vinginevyo nisingepoteza hata huo muda kuandika post yangu ya kwanza kwako!
 
Watanzania tusiwe na akili nyepesi kiasi hichi, Vodacom wamejipambanua jinsi wanavyolazimishwa kutoa siri za wateja wao, kosa lao kubwa sana ni kukubali kutoa mawasiliano kinyume na sheria ya nchi. Lakini je, mnajua mitandao ambayo haijatoa taarifa kama vile TIGO,ZANTEL,HALOTEL na AIRTEL ambao serikali ina hisa nyingi ina matatizo kiasi gani?

Tunapoulaumu mtandao ambao umekua huru kueleza masahibu unayopitia, kumbukeni kua kuna mitandao ambayo haijasema kitu. Kwa ujumla kupitia mazingira haya ya Vodacom ni lazima tuwe na hofu mitandao yote iliyopo nchini.

Awakupaswa kutoa taarifa au siri za mteja pasipo kibali cha mahakamani.Namba ya ben8 imepewa MTU mwingine still jalada La uchaguzi halijafungwa,kama wanashindwa Linda taarifa zetu kuwapa wasiojulikana si haki kuwaamini.
 
Watanzania tusiwe na akili nyepesi kiasi hichi, Vodacom wamejipambanua jinsi wanavyolazimishwa kutoa siri za wateja wao, kosa lao kubwa sana ni kukubali kutoa mawasiliano kinyume na sheria ya nchi. Lakini je, mnajua mitandao ambayo haijatoa taarifa kama vile TIGO,ZANTEL,HALOTEL na AIRTEL ambao serikali ina hisa nyingi ina matatizo kiasi gani?

Tunapoulaumu mtandao ambao umekua huru kueleza masahibu unayopitia, kumbukeni kua kuna mitandao ambayo haijasema kitu. Kwa ujumla kupitia mazingira haya ya Vodacom ni lazima tuwe na hofu mitandao yote iliyopo nchini.

Vodacom kafanya kosa,then unasema tufanye hajafanya kosa eti sababu hatujui mitandao mingine ipo compromised kiasi gani!

Again ni upumbavu ule ule kufanya moral equivalencies!

Kwamba fulani kafanya kosa basi sio kosa sababu huenda mwingine kafanya kosa hilo hilo!

Jamii ya manyani matupu!

Monkey see monkey do!

Vodacom kashikwa anaisaidia regime kuonea wanyonge!

Tayari damage has been done!Deal with it Vodacom!

Yarayarayarah...cry me a river!

Fvck outta here!
 
Kuandika tu Voda -Com Tanzania inamaana kubwa na ni jibu kwanini wametoa taarifa za wateja wao kuliko hata maelezo mengi uliyotoa.

Kifupi % kubwa ya wananyakazi ni watanzania sawa na katibu wetu mwenezi wa chama na mkuu wetu wa mkoa pendwa! Nahii ndiyo maana pana zaidi ya mfumo! Mimi na wewe inawezekana tunapiga kelele cz tuko nje lakini tungekuwa kwenye nafasi hizo tungetoa tu taarifa upende au usipenda otherwise kaapembeni na wasiojulikana wakufuata hata kama umeacha kz! Hii ndiyo Tz ya sasa, Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Africa.

Pasipo mipaka lzm upoteze wateja,
 
Kwa kuwa vodacom wameamua kutumia tabaka dhalimu la watawala badala ya kufanya biashara...

Na kwa kuwa vodacom wameamua kuwa sehemu ya mhimili huo wa uovu...

Na kwa kuwa sasa ni dhahiri wanashiriki kusaidia raia wema kufuatiliwa mawasiliano yao na kufanyiwa uhalifu na vyombo dhalimu vya dola...

Nimeamua kuungana na watanzania wazalendo walioamua kususia bidhaa za vodacom na hivi natangaza rasmi kuivunja vipande na kuichoma moto line yangu ya Vodacom ambayo nimekuwa nikiitumia tangu mwaka 2002.

Nimewaachia salio la Shilingi 0.56 kwenye akaunti yangu ya m'pesa...wale wafaidi.

May the unscrupulous and evil dogs of Vodacom go to hell and burn among the rocks!

Shubaaamit!

Mkuu hao Vodacom hawatoi habari za wateja wao kwa ridhaa yao bali ni kwa kulazimishwa.
 
Vodacom wachukulie bendi ya TOT kama angalizo , ukitumiwa na ccm ni lazima uadhirike na kufirisika tu
 
umeandika upumbavu gani ??na wewe ukitaka kubaki baki kimya kimya.......wadukuzi ni voda tu wengine unawajua wewe na uzwazwa wako!voda ni makaburu warudi kwao Tanzania hatuwataki tena!
Pole sana mkuu,Kutukana ndo umeona suluhisho naeudia tena pole sana kizazi kisichokuwa na hekima na kutomwogopa Mungu, kinatukana ndo kinaona suluhisho kifupi tu usilazimishe tufanane mawazo
Narudia tena pole sana,Mungu akusaidie
 
Statistics zinaonyesha VODACOM ndio inaongeza wateja zaidi wiki hii baada ya kushambuliwa..
Maadui zako ndio wanaokupa promo wakidhani wanakuchafua 😁 😁
 
halafu mpaka wasomi kabisa na akili zao, eti....wanaacha kutumia VODA!!! wakati ni mitambo ya TCRA na makampuni yote wanafanya hivyo

Ishu sio mitambo kosa ni kuvujisha taarifa za watu public ni kukiuka Sheria za faragha ambapo wasipokuwa makin kukubali kuwafurahisha washamba wataishia kuburuzwa mahakamani na kulipa watu pesa mingi.
 
Back
Top Bottom