Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,640
- 5,522
sheria kwani inataka kuachiwa kwa clips za maongezi za watu waliodukuliwa?,Vipi kuna kesi mahakamani baada ya kudukua hao wanaohatarisha usalama wa nchi?Unahis tigo ,airtel ,halotel hakuwez ingilika mkuu,..ni vile tuu watumiaj walikua voda...kokote kambi,wazeiya wanaingia kokote kule wakitaka....kama mnahatarisha usalama wa nchi wafanyeje sasa