UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Mimi naona watu wamejielekeza au kumuangalia Magufuli tu, najiuliza hivi kabla hata ya Magufuli hatukuwa tukitakiwa kuwekewa hivyo vikwazo? Au wakati huo demokrasia ilikuwepo, kulikuwa na ushindani sawa wa vyama siasa na haki za binaadamu zilikuwa zinalindwa?