Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,035
Watasema pesa ilitumika kuandaa matamasha ya mikesha kuombea nchi covid19 iishe kimiujiza.
Channel 10 huwa wanaweka habari za UN Kiswahili na wanaisema Tanzania vibaya mnoNgoma inogile!
Hapo pia kuna uwezekano wa nchi moja moja kuja na maamuzi yake mbali na yale yatayokubaliwa na EU..
Kwani umeumia?Demokrasia ipi iliyominywa?
Watu walifanya kampeni lakini kura hazikutosha kwahiyo wajipange kwa 2025.
Mkiumia mtaweza chukua hatua madhubuti kujinusuru.Ila mkuu wakipiga pini hakuna rangi tutaacha kuona sisi wananchi, ni vyema wakiweza wangedili na hali hii bila kuumiza uchumi wa nchi. Tutaumia sisi huku walengwa wanakula maisha
Haya mambo sio ya kushabikia kabisa kwa kuwa yanaweza kuwa na madhara hata kama uwe mpinzani, uwe mtawala, uwe mtawalia
Walioumia wamekimbia nchi kwa kujitisha wenyewe warudi nyumbani tuijenge nchi.Kwani umeumia?
Tutaelewana tu.
Nenda ukalime upate msosi usisubiri usodomanism wa Amsterdam ili akupe karo ya watoto wakoni kheri mara 1000 kutawaliwa kimabavu na mzungu tujue moja kuliko tena kutawaliwa kimabavu na mwafrika mtanzania mwenzetu. dah! aisee!
karne ya 21 mwafrika bado anawaza kutawala watu kimabavu!!!!!! laanahtuuullah afrika.
Mmechelewa sana, CCM vichwa venu vimejaa maji yaan matikiti majiKwa vyovyote itakavyo Kuwa wachumia tumbo na walio mshauri vibaya Rais ndio tutalala nao mbele. Hatuwezi teseka ilihali Tunajuwa Rais anawashauri
Fikra zako bado ziko gizani hebu badilika unaonekane nimwelewa ila umelishwa matango pori hakuna mtu anaye mtetea mtu ila wewe ndo unashangilia nchi yako iamuliwe mambo na mabeberu na kuwaunga mkonoupambanie nchi wakati hujajiimarisha kudhibiti vikwazo watakavyokuwekea, mf wakikata misaada ya dawa za TB, ARV, MALARIA utapoteza ndugu wangapi katika ukoo wenu,, kwa sababu tu ya kuwatetea wachumia tumbo na familia zao,
Madhara ni kwa nchi nzima,Haya mambo sio ya kushabikia kabisa kwa kuwa yanaweza kuwa na madhara hata kama uwe mpinzani, uwe mtawala, uwe mtawalia
Ukianza matusi ni kuwa umeshindwa hoja, vijana wa Kikurya wa miaka hii mmekuwa laini laini sana na mmeacha kutumia bongo zenu vizuri. Kama huoni kuwa tulliba basi kacheki CPU yako mkuu
Kuna group la WhatsApp nimeona tayari wameshapiga pini ile 1.6 Trilioni...Hiyo ni mikwara mbuzi tu bwashee!
Jitahidi kujikita kwenye mada husika bwana mdogo. Kama hukuona wizi uliofanyika, basi kichwa yako haiko sawa.eti laini laini wewe kwangu ni mwanamke mrembo kabisa zaidi ya zuchu...
Hata hivyo sisi ni matajiri Mbona tunaweza endesha nchi Kwa hela zetuWatanzania wenzangu hapa ni kwamba haya yanayo endelea ni madrama wanatuigizia ni waambie tu wazi siku zote hakuna mtu atakupendelea mema ana taka uwe ombaomba siku zote wanaogopa tz itapiga hatua kubwa sana kwayo wanajaribu kutafuta sababu na kutuba ubaya ili watuandame tusikubali hata kido go kuonewa tuipambanie nchi yetu kwa umoja na mshikamano na hata Hivyo wangekua wanataka kuhukumu wangekuja kuchukua maelezo ya pande zote na si kusikiliza maneno ya kinasarungi peke yake kwani wanajulikana sio wazalendo wa kweli
Sanaaaaaa ni mwendo wa kupindua meza tu ... mlifikiri mtakula kiulainiKwahy umefurahi?