Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Kumbe ukitaka uchukiwe na wanaCcm basi we ziba mianya yao ya kuiba mali ya umma.
Hayati JPM alichukiwa na wanaCcm japokuwa walicheka nae na kumzunguka hio hii ni sababu aliwabana sana juu ya rushwa na ufisadi.
Sasa wanatoa michongo namna ya kupiga madili.
Naona tangu amefariki wanachekelea tu na kukenua meno
Hayati JPM alichukiwa na wanaCcm japokuwa walicheka nae na kumzunguka hio hii ni sababu aliwabana sana juu ya rushwa na ufisadi.
Sasa wanatoa michongo namna ya kupiga madili.
Naona tangu amefariki wanachekelea tu na kukenua meno