Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Marehemu JPM hadi sasa ndiye kitisho kikubwa kwa mrithi wake ambapo Chawa Fc wanapambana bila kupumzika kuchafua kwa makusudi jina lake na legacy aliyoiasisi.
Eneo ambalo kwa haki kabisa marehemu hakulitendea haki ni Haki za Binadamu. Na eneo hilo alikuwa mkali kweli kweli kuanzia kwa watu wake chamani ambapo hilo lilikuwa ni sahihi mno. Lakini kuwabana upinzani wasitimize haki yao ya kikatiba ya kufanya siasa alikiuka sana sana utawala bora
Tuendelee kumuombea makamu Mwenyekiti CHADEMA aendelee kuimarika kiafya. Lisu ambaye ni ushuhuda wa namna awamu ya tano ilivyosimama bampa to bampa dhidi ya upinzani na fikra mbadala.
Alisimamia nidhamu serikalini na hata wakwapuaji mali ya umma walilia na kusaga meno.
Kinachoendelea leo ni namna CCM inavyosimamia mradi wa kumchafua hayati JPM ambapo inaamini kuwa inatengeneza mazingira ya kukubakiwa na wananchi. Kwa wanagenzi wa siasa nchini hawaoni ni shida ama changamoto kwa upinzani kumsema vibaya JPM kwa sababu macho yote yaliona kilichojiri kwenye medani ya siasa katika mhula wake.
Lakini chama cha CCM kuasisi kampeni za kumchafua Mwenyekiti wake Taifa awamu ya tano ni wazi kwamba kimeshika garasa tupu katika karata zake za kisiasa.
Wananchi waitwao WANYONGE walikuwa wanufaika wakubwa kwenye utawala wa JPM ambapo alisimama kuwatetea dhidi ya majambazi ya CCM ambayo bila huruma yanakwapua fedha za umma hata kufikia kuipiku serikali kwa ukwasi ilihali wao ni watumishi wa umma ambao hawana background ya utitiri wa utajiri huo.
Uchaguzi TAMISEMI 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025
Vyama vya upinzani vitaanza kutumia rasmi agenda ya Magufuli (positive na negative) kupambana na chama tawala na hatimaye vitachukua viti vingi vya serikali za mitaa, vijiji na vutongoji.... ambapo kuelekea 2025 ndipo CCM itaanza kunyweshwa dawa iliyoitengeneza yenyewe na itasababisha watu wengi kupigq kura za hasira dhidi yake. Lakini angalizo dogo ambalo halina umuhimu sana naliweka hapa. Intelejensia ya ndani ya CCM inapokea fungu kutokq Hazina. Mwenye akili na afahamu. Hao watasimama kujaribu kuokoa jahazi lakini hawatoweza kukwapua kama ilivyofanyika awamu zilizopita.
Kablq ya uchaguzi nchi itatikisika tena.
Nimeonq niyaseme haya sasa kwani kila kinavyokucha ndivyo CCM inavyosogelea mlango wa kutokea kwa speed isiyo ya kawaida.
Tuendelee kula nyama, mtori upo chini
Eneo ambalo kwa haki kabisa marehemu hakulitendea haki ni Haki za Binadamu. Na eneo hilo alikuwa mkali kweli kweli kuanzia kwa watu wake chamani ambapo hilo lilikuwa ni sahihi mno. Lakini kuwabana upinzani wasitimize haki yao ya kikatiba ya kufanya siasa alikiuka sana sana utawala bora
Tuendelee kumuombea makamu Mwenyekiti CHADEMA aendelee kuimarika kiafya. Lisu ambaye ni ushuhuda wa namna awamu ya tano ilivyosimama bampa to bampa dhidi ya upinzani na fikra mbadala.
Alisimamia nidhamu serikalini na hata wakwapuaji mali ya umma walilia na kusaga meno.
Kinachoendelea leo ni namna CCM inavyosimamia mradi wa kumchafua hayati JPM ambapo inaamini kuwa inatengeneza mazingira ya kukubakiwa na wananchi. Kwa wanagenzi wa siasa nchini hawaoni ni shida ama changamoto kwa upinzani kumsema vibaya JPM kwa sababu macho yote yaliona kilichojiri kwenye medani ya siasa katika mhula wake.
Lakini chama cha CCM kuasisi kampeni za kumchafua Mwenyekiti wake Taifa awamu ya tano ni wazi kwamba kimeshika garasa tupu katika karata zake za kisiasa.
Wananchi waitwao WANYONGE walikuwa wanufaika wakubwa kwenye utawala wa JPM ambapo alisimama kuwatetea dhidi ya majambazi ya CCM ambayo bila huruma yanakwapua fedha za umma hata kufikia kuipiku serikali kwa ukwasi ilihali wao ni watumishi wa umma ambao hawana background ya utitiri wa utajiri huo.
Uchaguzi TAMISEMI 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025
Vyama vya upinzani vitaanza kutumia rasmi agenda ya Magufuli (positive na negative) kupambana na chama tawala na hatimaye vitachukua viti vingi vya serikali za mitaa, vijiji na vutongoji.... ambapo kuelekea 2025 ndipo CCM itaanza kunyweshwa dawa iliyoitengeneza yenyewe na itasababisha watu wengi kupigq kura za hasira dhidi yake. Lakini angalizo dogo ambalo halina umuhimu sana naliweka hapa. Intelejensia ya ndani ya CCM inapokea fungu kutokq Hazina. Mwenye akili na afahamu. Hao watasimama kujaribu kuokoa jahazi lakini hawatoweza kukwapua kama ilivyofanyika awamu zilizopita.
Kablq ya uchaguzi nchi itatikisika tena.
Nimeonq niyaseme haya sasa kwani kila kinavyokucha ndivyo CCM inavyosogelea mlango wa kutokea kwa speed isiyo ya kawaida.
Tuendelee kula nyama, mtori upo chini