Kama wanajadili waziwazi namna ya kukwapua Mali ya Umma, ni dhahiri walimchukia na hawakupenda hayati Magufuli awepo. Inaonekana aliwabana sana!

Kuna literature jana nilikuwa nasoma, wanasema hao wazungu IQ ya African on average ni ,,65" which is below normal, na sio literature Moja, multiple studies, wanasema IQ ya aina Hiyo deserves to be classified as "retarded"

..., Asians have the highest IQ scores bcz they have bigger brains unlike us, they have evolved bigger brains sababu ya nutrition, they eat a lot of fatty fish, unlike our nutrition "ugali" which the literature says it makes people "stupid"

60 years of independence, let's reflect comparatively with what other races in the world have achieved. My prediction in the next 50 years with the same trajectory politically and economically tutakuwa na matatizo beyond comprehension. Kutakuwa na crimes and social dysfunction ya kutisha.

Tunazaliana kwa Kasi, mfumo wa elimu duni usiozalisha wanasayansi with obvious reasons, mtu kapata div 3 ndio anaenda kuwa mwalimu, garbage in, garbage out, mazingira kila siku tunaharibu, miji yetu inajengwa holela, what do you expect in the next 50 years? Miracles?

Duu ! Bahati nzuri 50 years from now I will have departed the earth long time ! Shauri yao watakao kuwepo !
 
Duu ! Bahati nzuri 50 years from now I will have departed the earth long time ! Shauri yao watakao kuwepo !
That reflects heavily on our IQ, the kind of thinking, pure African, ndio viongozi wetu wana fikra za namna hii, hao wazungu wangekuwa na akili na fikra za namna hii wasingekuwa hapo walipo, unlike us they plan what their society would be in the next 100 years, mwafrika, "sitakuwepo". Only God can save us.
 
Kumbe ukitaka uchukiwe na wanaCcm basi we ziba mianya yao ya kuiba mali ya umma.

Hayati JPM alichukiwa na wanaCcm japokuwa walicheka nae na kumzunguka hio hii ni sababu aliwabana sana juu ya rushwa na ufisadi.

Sasa wanatoa michongo namna ya kupiga madili.

Naona tangu amefariki wanachekelea tu na kukenua meno
Mama ameruhusu kuiba kidogo usivembewe. Akaongezea na msemo Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
 
That reflects heavily on our IQ, the kind of thinking, pure African, ndio viongozi wetu wana fikra za namna hii, hao wazungu wangekuwa na akili na fikra za namna hii wasingekuwa hapo walipo, unlike us they plan what their society would be in the next 100 years, mwafrika, "sitakuwepo". Only God can save us.
Mkuu unashusha madini
 
Back
Top Bottom