Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Anaupiga mwingi huku Mbowe yupo ndani ananyea ndooMama bado yupo sana tena sana tutamuongezea miaka mingine 20 hata kwa kumlazimisha.
Anaupiga mwingi huku Mbowe yupo ndani ananyea ndooMama bado yupo sana tena sana tutamuongezea miaka mingine 20 hata kwa kumlazimisha.
Huyu mzee wa kukata umeme masaa 12 eti tunafanya maintenanceHasa yuke January Makamba anaetka kuodi Crane permanet, ni wa kumuangalia sana
Kwani kazi yako ya kunyea nyea bado haujaiwacha tangu tulivyo kufukuza kutoka cdm?Anaupiga mwingi huku Mbowe yupo ndani ananyea ndoo
Sio Wana ccm tuu ni kwenye shughuli yeyote ya utafutaji Duniani,tena nakuongesea kua mnoko utahama mtaa.Kumbe ukitaka uchukiwe na wanaCcm basi we ziba mianya yao ya kuiba mali ya umma.
Hayati JPM alichukiwa na wanaCcm japokuwa walicheka nae na kumzunguka hio hii ni sababu aliwabana sana juu ya rushwa na ufisadi.
Sasa wanatoa michongo namna ya kupiga madili.
Naona tangu amefariki wanachekelea tu na kukenua meno
That reflects heavily on our IQ, the kind of thinking, pure African, ndio viongozi wetu wana fikra za namna hii, hao wazungu wangekuwa na akili na fikra za namna hii wasingekuwa hapo walipo, unlike us they plan what their society would be in the next 100 years, mwafrika, "sitakuwepo". Only God can save us.
Kabisa aisee....Yaani hiki kizazi chetu ni cha kulalamika, kulia Lia.Mwacheni mwendazake apumzike....
Tuchapeni kazi, tupunguze kulialia
Maisha ni hayahaya
It suffices to say so, you don't make policies or political decisions that affects millions of people, but believe me, we need every brain we can have to influence changes, at your local level, even how you raise your kids can be of huge impact in the society.Fully concurring with you folk ! Nikuhakikishie kwa sampuli ya viongozi na wasomi wa kiafrika and partularly Tanzanians there is no way waweza sema you will plan for the next generation ! Ikiwa Raisi wa nchi yetu Anawaambia wasaidizi wake “wale kwa urefu wa kamba zao” who the hell am I to even think of the next generation ? It suffices to say “Sitakuwepo” I say the truth and stand by it!
Mkuu usishangae kukutana na watu kama hawa wanao sapoti ujinga,si ajabu wakawa ndio wale wale walioruhusiwa kula mali za ummaWe mpuuzi tumia busara hata siku moja kujadili mambo ya msingi.
Kelele za nini? Aupige mwingi huku Mbowe akinyea ndoo.Kwani kazi yako ya kunyea nyea bado haujaiwacha tangu tulivyo kufukuza kutoka cdm?
Ni kweli kabisa JPM aliwabana sana ili wasiweze kuiba.Kumbe ukitaka uchukiwe na wanaCcm basi we ziba mianya yao ya kuiba mali ya umma.
Hayati JPM alichukiwa na wanaCcm japokuwa walicheka nae na kumzunguka hio hii ni sababu aliwabana sana juu ya rushwa na ufisadi.
Sasa wanatoa michongo namna ya kupiga madili.
Naona tangu amefariki wanachekelea tu na kukenua meno
Kamanda unaua bendiWameambiwa wajipimie,live TBC Taifa🤡🤡🤡
View attachment 2081918
😂😂😂Mkuu usitake nicheke,sina hizo mbavu bhana!"Kila mtu ale eneo lake kwa urefu wa kamba yake"
ilikuwa ni live TBC Taifa ili nchi nzima ione msimamo wa serikali🤡🤡🤡Kamanda unaua bendi
Wakati nchi zingine kula rushwa unaweza kuhukumiwa kifo huku kwetu watu wanaelekezana!
Imeisha hiyo mzee!Huna cha kubadilisha.Una akili timamu?
Utasubiri sana hilo kutokea.Haki ya Mungu mtatoka hata kwa shari hamuwezikukwapua wazi wazi na tena kwa maagizo nyie mijibwa