Kama wanajadili waziwazi namna ya kukwapua Mali ya Umma, ni dhahiri walimchukia na hawakupenda hayati Magufuli awepo. Inaonekana aliwabana sana!

Kumbe ukitaka uchukiwe na wanaCcm basi we ziba mianya yao ya kuiba mali ya umma.

Hayati JPM alichukiwa na wanaCcm japokuwa walicheka nae na kumzunguka hio hii ni sababu aliwabana sana juu ya rushwa na ufisadi.

Sasa wanatoa michongo namna ya kupiga madili.

Naona tangu amefariki wanachekelea tu na kukenua meno
Sio Wana ccm tuu ni kwenye shughuli yeyote ya utafutaji Duniani,tena nakuongesea kua mnoko utahama mtaa.
 
That reflects heavily on our IQ, the kind of thinking, pure African, ndio viongozi wetu wana fikra za namna hii, hao wazungu wangekuwa na akili na fikra za namna hii wasingekuwa hapo walipo, unlike us they plan what their society would be in the next 100 years, mwafrika, "sitakuwepo". Only God can save us.

Fully concurring with you folk ! Nikuhakikishie kwa sampuli ya viongozi na wasomi wa kiafrika and partularly Tanzanians there is no way waweza sema you will plan for the next generation ! Ikiwa Raisi wa nchi yetu Anawaambia wasaidizi wake “wale kwa urefu wa kamba zao” who the hell am I to even think of the next generation ? It suffices to say “Sitakuwepo” I say the truth and stand by it!
 
Mara nyingi shida inayo tukumba na kuwakumba viongozi wa serikali za kiafrika huwa ni ubinafsi,na si kwa hao tuu hata wewe natumai ukipewa uongozi si ajabu masilahi ya taifa ukayaweka ya mwisho katika masirahi yako
 
Wakati nchi zingine kula rushwa unaweza kuhukumiwa kifo huku kwetu watu wanaelekezana!
 
Mara nyingi shida inayo tukumba na kuwakumba viongozi wa serikali za kiafrika huwa ni ubinafsi,na si kwa hao tuu hata wewe natumai ukipewa uongozi si ajabu masilahi ya taifa ukayaweka ya mwisho katika masirahi yako binafsi
 
Fully concurring with you folk ! Nikuhakikishie kwa sampuli ya viongozi na wasomi wa kiafrika and partularly Tanzanians there is no way waweza sema you will plan for the next generation ! Ikiwa Raisi wa nchi yetu Anawaambia wasaidizi wake “wale kwa urefu wa kamba zao” who the hell am I to even think of the next generation ? It suffices to say “Sitakuwepo” I say the truth and stand by it!
It suffices to say so, you don't make policies or political decisions that affects millions of people, but believe me, we need every brain we can have to influence changes, at your local level, even how you raise your kids can be of huge impact in the society.
 
Kumbe ukitaka uchukiwe na wanaCcm basi we ziba mianya yao ya kuiba mali ya umma.

Hayati JPM alichukiwa na wanaCcm japokuwa walicheka nae na kumzunguka hio hii ni sababu aliwabana sana juu ya rushwa na ufisadi.

Sasa wanatoa michongo namna ya kupiga madili.

Naona tangu amefariki wanachekelea tu na kukenua meno
Ni kweli kabisa JPM aliwabana sana ili wasiweze kuiba.

Kilichowaumiza zaidi ni wao kubanwa sana lakini yeye mwenyewe JPM na genge lake waliiba sana kuliko ata wale waliopita.

Na leo kinachowaumiza wafuasi wa JPM ni kutohusishwa kwenye ulaji wa sasa,wote wameoza wote hawafai...JPM na Samia.
 
Back
Top Bottom