Kama umezaa watoto wengi na unaishi Tanzania au Afrika laana ya umasikini itakutesa sana wewe na uzao wako wote

Hyrax

JF-Expert Member
May 20, 2023
604
1,534
Familia nyingi zenye watoto wengi zinastruggle sana kiuchumi hata uwe na hela vipi roho ya umaskini itasumbua sana uzao wenu kama sio wazazi basi watoto yatawakuta mambo ya umaskini umaskini tu.

Baada ya kufuatilia haya mambo kwa muda mrefu nahitimisha kwa kusema kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya kuwa na watoto wengi na umaskini, the more kids you brings to world the more poor you become ukiachana na malezi yatakayokugharimu kwa hao watoto uliowazaa pia kusimamisha uchumi wa familia ulio na nguvu za kuishi miaka 100 mbele ni shughuli pevu sana kwa watu wenye watoto wengi.

Kwaherini.
 
Familia nyingi zenye watoto wengi zinastruggle sana kiuchumi hata uwe na hela vipi roho ya umaskini itasumbua sana uzao wenu kama sio wazazi basi watoto yatawakuta mambo ya umaskini umaskini tu, Baada ya kufuatilia haya mambo kwa muda mrefu nahitimisha kwa kusema kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya kuwa na watoto wengi na umaskini, the more kids you brings to world the more poor you become ukiachana na malezi yatakayokugharimu kwa hao watoto uliowazaa pia kusimamisha uchumi wa familia ulio na nguvu za kuishi miaka 100 mbele ni shughuli pevu sana kwa watu wenye watoto wengi.

Kwaherini.
Mkuu una stress, tafuta hela
 
Familia nyingi zenye watoto wengi zinastruggle sana kiuchumi hata uwe na hela vipi roho ya umaskini itasumbua sana uzao wenu kama sio wazazi basi watoto yatawakuta mambo ya umaskini umaskini tu.

Baada ya kufuatilia haya mambo kwa muda mrefu nahitimisha kwa kusema kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya kuwa na watoto wengi na umaskini, the more kids you brings to world the more poor you become ukiachana na malezi yatakayokugharimu kwa hao watoto uliowazaa pia kusimamisha uchumi wa familia ulio na nguvu za kuishi miaka 100 mbele ni shughuli pevu sana kwa watu wenye watoto wengi.

Kwaherini.
Wenzio hawawazi kuishi miaka yote hiyo ukishazaa akimaliza shule akomae na yeye kivyake
 
Dah! SISI tumezliwa 16 kwa Mama Mmoja, na wala Mzee hakuna hela sana, rather commitment.

Wote, narudia wote, mwenye elimu ndogo ni 1 degree, alisomesha, wengine tumesomeshana, na hali nzuri.

Kuna walizaliwa 2 wenye millions of money, wote dropped out of school, wengine walitumia madawa ya kulevya.
 
Dah! SISI tumezliwa 16 kwa Mama Mmoja, na wala Mzee hakuna hela sana, rather commitment.

Wote, narudia wote, mwenye elimu ndogo ni 1 degree, alisomesha, wengine tumesomeshana, na hali nzuri.

Kuna walizaliwa 2 wenye millions of money, wote dropped out of school, wengine walitumia madawa ya kulevya.
Upo sahihi, ila tunazungumzia chances, chance za kutoboa ukiwa na watoto wawili ni kubwa kuliko ukiwa na watoto 16,
 
Kwa upande wangu... Ni hivo hivo.
Mtu unafyatua tuu watoto alafu ulafu unategemea wasomeshwe na ndugu.

Kama unajipanga bado achana na watoto focus kutafuta pesa kwanza ..

End of day wanatupa shida First born kuanza kubeba mzigo wa familia
 
Familia nyingi zenye watoto wengi zinastruggle sana kiuchumi hata uwe na hela vipi roho ya umaskini itasumbua sana uzao wenu kama sio wazazi basi watoto yatawakuta mambo ya umaskini umaskini tu.

Baada ya kufuatilia haya mambo kwa muda mrefu nahitimisha kwa kusema kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya kuwa na watoto wengi na umaskini, the more kids you brings to world the more poor you become ukiachana na malezi yatakayokugharimu kwa hao watoto uliowazaa pia kusimamisha uchumi wa familia ulio na nguvu za kuishi miaka 100 mbele ni shughuli pevu sana kwa watu wenye watoto wengi.

Kwaherini.
Huu ni Ukweli mimi sitapinga kabisa.
 
Familia nyingi zenye watoto wengi zinastruggle sana kiuchumi hata uwe na hela vipi roho ya umaskini itasumbua sana uzao wenu kama sio wazazi basi watoto yatawakuta mambo ya umaskini umaskini tu.

Baada ya kufuatilia haya mambo kwa muda mrefu nahitimisha kwa kusema kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya kuwa na watoto wengi na umaskini, the more kids you brings to world the more poor you become ukiachana na malezi yatakayokugharimu kwa hao watoto uliowazaa pia kusimamisha uchumi wa familia ulio na nguvu za kuishi miaka 100 mbele ni shughuli pevu sana kwa watu wenye watoto wengi.

Kwaherini.
Single maza wengi wako kwenye hili group.

Ni matokeo ya Irresponsible Parents.

Kitendo cha kuzaa watoto wengi huku ukijua huna uwezo hata wa kuwalisha milo mitatu kinaonwsha ni ujinga wa hali ya juu sana na hivyo Umaskini ni wa kwako uzao wako woote.
 
Familia nyingi zenye watoto wengi zinastruggle sana kiuchumi hata uwe na hela vipi roho ya umaskini itasumbua sana uzao wenu kama sio wazazi basi watoto yatawakuta mambo ya umaskini umaskini tu.

Baada ya kufuatilia haya mambo kwa muda mrefu nahitimisha kwa kusema kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya kuwa na watoto wengi na umaskini, the more kids you brings to world the more poor you become ukiachana na malezi yatakayokugharimu kwa hao watoto uliowazaa pia kusimamisha uchumi wa familia ulio na nguvu za kuishi miaka 100 mbele ni shughuli pevu sana kwa watu wenye watoto wengi.

Kwaherini.
Kama huna pesa sawa, Nina watoto name, wake wawili,
Watoto kila mmoja anasoma kwa milioni 3 kwa mwaka,Nina kampuni, nimeajili watu 40! Turnover kwa mwaka bilioni 3.4!
Nina assets, apartments 5,zinaingiza 2.5 milioni kwa mwezi! Huo, umaskini utatoka wapi? May be Li Maggufuri lingine lije,liniweke jera.
 
Kizazi cha 95 na kuendelea kuna kitu hamuelewi...

Wazee wa zamani walizaa watoto wengi n walikuwa matajiri, unajua siri yao ni nini?

Hawakuwa lelemama, watoto hawakulelewa kilelemama, ilikuwa ukishafikisha miaka 5 tu ni kazi na wewe, wewe na kazi.

Ila siku hizi? Unazaa mitoto inashinda nyumbani tu, ni kula kunywa na kulala. Sasa kwa style hiyo kwa nini msiwe masikini.

Enzi zile, kijana ukishafikisha umri wa kuoa, unapaswa uoe. Unapewa mahari na ardhi na vi mifugo vya kuanzia maisha, ndo mnakuwa mmeshaagana na wazee ivo. Kama hutaki kuoa basi unaondolewa kwenye ratiba za kula nyumbani, ukikaa vibaya mzee naye anakufukuza kwake, wazee walikuwa hawalei ujingaujinga kama siku hizi.

Siku hizi eti kijana wa miaka 25+ amemaliza chuo anarudi nyumbani kwenda kula ugali wa baba na mama? Anaenda kubanana na wadogo zake home? What the fu*k?

Jamii inabidi iamke, la sivyo kuna bomu kubwa sana linajipika taratibuuuu..
 
Dah! SISI tumezliwa 16 kwa Mama Mmoja, na wala Mzee hakuna hela sana, rather commitment.

Wote, narudia wote, mwenye elimu ndogo ni 1 degree, alisomesha, wengine tumesomeshana, na hali nzuri.

Kuna walizaliwa 2 wenye millions of money, wote dropped out of school, wengine walitumia madawa ya kulevya.
Mlikua wa kishua .
 
Pia ni ukosefu wa elimu tu.
Nimefatilia nimeona wengi ni ukosefu wa elimu.

Mtu unakuta ki uchumi yupo hovyo ila yeye anajua kufyatua tuu.

Eti kila mtu na ridhiki yake. Hovyo sana
Watanzania kama ilivyo kwa wafrika wote ni watu wanaopenda Ngono.

So mtu maskini sehemu pekee anayofaidi dunia ni kwenye Mbususu na Dushelele.

Yaami unakuta Mtu ana hali ngumu sana ya maisha amechoka mno.watoto utaiamlo na nguo za kuvaa hawa.

Lakini kila mwaka anazaa.
 
Kama huna pesa sawa, Nina watoto name, wake wawili,
Watoto kila mmoja anasoma kwa milioni 3 kwa mwaka,Nina kampuni, nimeajili watu 40! Turnover kwa mwaka bilioni 3.4!
Nina assets, apartments 5,zinaingiza 2.5 milioni kwa mwezi! Huo, umaskini utatoka wapi? May be Li Maggufuri lingine lije,liniweke jera.
Yaaah kwa mwenye uchumi hata ukiwa na watoto mia ni wewe tu..

Ila mtu uchumi wake hovyo afu anafanya mambo kama hayo what next
 
Back
Top Bottom