MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,874
- 6,291
Wanawake wengi wa kisasa waoga na wavivu sana kuzaa
Mwanamke umeolewa ila anampangia mume wake idadi ya watoto atakaozaa. Mtoto mmoja ama wawili tu
Wanasema watoto wanaharibu career zao.
Kwa uchunguzi wangu binafsi wanawake tatu bora waliofanikiwa kuliko wote tanzania ni hawa
Namba moja Samia suluhu aliefikia cheo cha juu kabisa Rais wa nchi
Namba mbili Getrude Lwakatare aliefanikiwa sana kibiashara kwenye shule zake za St marys na vyuo
Namba tatu Ruth Zaipuna aliefikia cheo cha CEO wa bank kubwa kuliko zote Tanzania.. NMB
Tukiwatizama hawa wanawake watatu wote wamezaa watoto wa kutosha . mama lwakatare kazaa watoto wa 5, mama samia kazaa wa 4, CEO wa NMB Ruth kazaa wa 4.
ila ndio wanawake waliofanikiwa kwenye career zao kuliko wote Tz.
Sasa hawa wanawake wanaosema uzazi wa watoto wengi unawakwamisha career zao wapo sahihi kweli ?
Mwanamke umeolewa ila anampangia mume wake idadi ya watoto atakaozaa. Mtoto mmoja ama wawili tu
Wanasema watoto wanaharibu career zao.
Kwa uchunguzi wangu binafsi wanawake tatu bora waliofanikiwa kuliko wote tanzania ni hawa
Namba moja Samia suluhu aliefikia cheo cha juu kabisa Rais wa nchi
Namba mbili Getrude Lwakatare aliefanikiwa sana kibiashara kwenye shule zake za St marys na vyuo
Namba tatu Ruth Zaipuna aliefikia cheo cha CEO wa bank kubwa kuliko zote Tanzania.. NMB
Tukiwatizama hawa wanawake watatu wote wamezaa watoto wa kutosha . mama lwakatare kazaa watoto wa 5, mama samia kazaa wa 4, CEO wa NMB Ruth kazaa wa 4.
ila ndio wanawake waliofanikiwa kwenye career zao kuliko wote Tz.
Sasa hawa wanawake wanaosema uzazi wa watoto wengi unawakwamisha career zao wapo sahihi kweli ?