Ukoo wangu kama Kuna laana ya ufukara na umaskini uliokithiri

MIRIMA

Member
Jul 17, 2023
84
266
Ukoo wangu hakijawahi kutokea mtu kupata nyadhifa ya kisiasa au nafasi ya juu ya kuajiriwa tangia nchi ipate uhuru hadi leo ,mpaka leo tumepata walimu wawili tu,ngazi ya cheti na diploma.

Msiba au kikao ikitokea wanaangaliwa kama watu wenye unafuu ,lakini uhalisia wako vibaya na Wana madeni ya mikopo hayo nilijua baada ya wao kunielezea kama mdogo wao mwenye unafuu kiuelewa kuliko wengine.

Cha ajabu Kila mwana ukoo anataka wawasaidie sana sana kuwasomeshea watoto wao....utasikia "mdogo wg wewe ni mwalimu kabisa nimekuachia mwanangu umsaidie kimasomo"...duh..mara mwalimu naumwa naomba pesa nikatibiwe, mara mwalimu naomba pesa nitatue shida fulani. Shida ya ukoo ni nyingi kuliko mapato yao..

Tatizo hili inawaletea hata shida kwenye familia yao ,utashangaa mtu anapanga safari kwenda Kuwatembelea wanakofanyia kazi na wanaweza kukaa hadi mwezi kisa ndugu yao ni mwalimu na akitoka huyo wengine wanaenda na muda mwingine wanaweza Kuwatembelea hata watatu Kwa pamoja.

Kiuhalisia ukoo wangu tuna ufukara muda mwingine machozi yananitokea nikiona uhalisia ya ukoo wangu,wengine wanakufa sababu ya kukosa tiba ya uhakika ,elimu ni tatizo ,ujinga ,mila potofu, kuamini ushirikina, umaskini ulio kithiri ,ulevi wa gongo ,bangi,ukimwi Kwa kurithi wajane .

Changamoto ni mengi kuliko hata umri wetu, niliamua kutoka nikapambane kivyangu na nilienda mkoa mwingine baada ya kuona Kila nikipigana nijiondoe kwenye huo utiriri wa ufukara narudishwa nyuma pamoja na lawama kibao kutoka Kwa ukoo na familia.

Jamani..jamani...jamani... sipendi familia yangu ije idumbukie kwenye huu umaskini ,unadhalilisha .KWA KWELI UMASKINI NI MBAYA HARUFU YAKE HAISHI IPO LEO KESHO NA KESHOKUTWA.
 
Nyie ni wenyeji wa wapi?

Sikiliza ukitaka kuvunja hiyo chain hautoweza zaidi ya kurud nyuma ,cha kufanya hakikisha unawalea watoto wako katika mazingira mazuri .


Mambo ya ukoo kama ushakuwa achana nayo kila mtu ana familia yake ,fanyeni kusaidiana sio kupeana mizigo .
 
Ukoo wangu hakijawahi kutokea mtu kupata nyadhifa ya kisiasa au nafasi ya juu ya kuajiriwa tangia nchi ipate uhuru hadi leo ,mpaka leo tumepata walimu wawili tu,ngazu ya cheti na diploma.

Msiba au kikao ikitokea wanaangaliwa kama watu wenye unafuu ,lakini uhalisia wako vibaya na Wana madeni ya mikopo hayo nilijua baada ya wao kunielezea kama mdogo wao mwenye unafuu kiuelewa kuliko wengine.

Cha ajabu Kila mwana ukoo anataka wawasaidie sana sana kuwasomeshea watoto wao....utasikia "mdogo wg wewe ni mwalimu kabisa nimekuachia mwanangu umsaidie kimasomo"...duh..mara mwalimu naumwa naomba pesa nikatibiwe ...mara mwalimu naomba pesa nitatue shida fulani....Shida ya ukoo ni nyingi kuliko mapato yao..

Tatizo hili inawaletea hata shida kwenye familia yao ,utashangaa mtu anapanga safari kwenda Kuwatembelea wanakofanyia kazi na wanaweza kukaa hadi mwezi kisa ndugu yao ni mwalimu na akitoka huyo wengine wanaenda na muda mwingine wanaweza Kuwatembelea hata watatu Kwa pamoja.

Kiuhalisia ukoo wangu tuna ufukara muda mwingine machozi yananitokea nikiona uhalisia ya ukoo wangu,wengine wanakufa sababu ya kukosa tiba ya uhakika ,elimu ni tatizo ,ujinga ,mila potofu, kuamini ushirikina, umaskini ulio kithiri ,ulevi wa gongo ,bangi,ukimwi Kwa kurithi wajane .

Changamoto ni mengi kuliko hata umri wetu, niliamua kutoka nikapambane kivyangu na nilienda mkoa mwingine baada ya kuona Kila nikipigana nijiondoe kwenye huo utiriri wa ufukara narudishwa nyuma pamoja na lawama kibao kutoka Kwa ukoo na familia.

Jamani..jamani...jamani... sipendi familia yangu ije idumbukie kwenye huu umaskini ,unadhalilisha .KWA KWELI UMASKINI NI MBAYA HARUFU YAKE HAISHI IPO LEO KESHO NA KESHOKUTWA.
Ukoo wako kuuchana hivyo ndo kupata unafuu wa Maisha, badilisha kwenu Kama kina mond walivyobadilisha kwao tandale na familia yao, ufukala ni mipango ya mungu toka enzi na enzi.
 
Ukoo wangu hakijawahi kutokea mtu kupata nyadhifa ya kisiasa au nafasi ya juu ya kuajiriwa tangia nchi ipate uhuru hadi leo ,mpaka leo tumepata walimu wawili tu,ngazu ya cheti na diploma.

Msiba au kikao ikitokea wanaangaliwa kama watu wenye unafuu ,lakini uhalisia wako vibaya na Wana madeni ya mikopo hayo nilijua baada ya wao kunielezea kama mdogo wao mwenye unafuu kiuelewa kuliko wengine.

Cha ajabu Kila mwana ukoo anataka wawasaidie sana sana kuwasomeshea watoto wao....utasikia "mdogo wg wewe ni mwalimu kabisa nimekuachia mwanangu umsaidie kimasomo"...duh..mara mwalimu naumwa naomba pesa nikatibiwe ...mara mwalimu naomba pesa nitatue shida fulani....Shida ya ukoo ni nyingi kuliko mapato yao..

Tatizo hili inawaletea hata shida kwenye familia yao ,utashangaa mtu anapanga safari kwenda Kuwatembelea wanakofanyia kazi na wanaweza kukaa hadi mwezi kisa ndugu yao ni mwalimu na akitoka huyo wengine wanaenda na muda mwingine wanaweza Kuwatembelea hata watatu Kwa pamoja.

Kiuhalisia ukoo wangu tuna ufukara muda mwingine machozi yananitokea nikiona uhalisia ya ukoo wangu,wengine wanakufa sababu ya kukosa tiba ya uhakika ,elimu ni tatizo ,ujinga ,mila potofu, kuamini ushirikina, umaskini ulio kithiri ,ulevi wa gongo ,bangi,ukimwi Kwa kurithi wajane .

Changamoto ni mengi kuliko hata umri wetu, niliamua kutoka nikapambane kivyangu na nilienda mkoa mwingine baada ya kuona Kila nikipigana nijiondoe kwenye huo utiriri wa ufukara narudishwa nyuma pamoja na lawama kibao kutoka Kwa ukoo na familia.

Jamani..jamani...jamani... sipendi familia yangu ije idumbukie kwenye huu umaskini ,unadhalilisha .KWA KWELI UMASKINI NI MBAYA HARUFU YAKE HAISHI IPO LEO KESHO NA KESHOKUTWA.
Badili mtazamo wa maisha kwenye familia yako mpaka sasa hivi kama hujastuka kuhusu ukoo wako basi na ww hujielewi. Sio lazima ufanye kazi halali jitoe kua hata jambazi piga madili machafu alafu jisafishe. Kwa hali ya familia yako kuna uzembe ulifanyika kwenye swala la elimu na umiliki wa mali. Sio lazima kupata nyadhifa ila babu zenu waliendekeza ngono wakasahau kushika maeneo muhimu ambapo leo wajukuu wa wenzao wanafaidi wakiuza eneo moja wanaanzisha miradi mingine
 
Back
Top Bottom