INTRODUCTON.
Salaam, Shalom!!
(Kutoka 20:12) says: WAHESHIMU BABA YAKO NA MAMA YAKO, ILI SIKU ZAKO ZIKAWE NYINGI KATIKA NCHI UPEWAYO NA BWANA MUNGU WAKO.
Leo naandika mada hii nikiwa na Sina furaha sababu Mimi Rabbon pia ni Mwanaume.
Wanaume tulipoambiwa tuishi Kwa akili na wake zetu, au na wanawake ,Kuna Siri imejificha nyuma, ipi hiyo?
Under Ceteris peribus, while other factors remain constant,
Ni Kweli, wanaume wengi huoa wake wanaowazidi umri hivyo wengi wanapotangulia kufariki ndugu na jamaa hutoa sababu hii, lakini Si Kweli, IPO sababu zaidi ya hiyo.
Wanawake ujiwauliza watakwambia wti Kwa Sababu wao hawatunzi jambo moyoni na hulia machozi sana ndo sababu ya kuishi maisha marefu.
Wanasayansi wengine hudai kuwa sababu wanawake wao Wana matiti ambayo hutunza maziwa ambayo ni chakula kinachowapa kusurvive muda mrefu, hapo ni Kweli Kwa kiasi fulani, bt si sababu kuu.
Wanaume wenzangu tujiulize inakuwaje mwanamke anazaa Kwa uchungu hadi watoto 14, na wote tunajua shughuli pevu ya kuzaa mtoto ilivyo, lakini mwanamke huyo huyo utaondoka na kumwacha duniani, nini sababu? Tatizo ni LAANA hii nitakayoiongelea leo.
Dunia nzima imeweka mfumo thabiti kwamba Mali anazomiliki mwanamke ni zake pekeake, lakini Mali anazomiliki mwanamume ni za wote, Kuna kitu hapo kimejificha ambacho wanaume Bado hawajakijua kinachopelekea kuchomoka duniani mapema.
Namwongelea Mwanaume anayehangaisha KICHWA usiku na mchana kutafuta riziki ya familia na hapumziki, nini kinachomwondoa mapema?
Namwongelea Mwanaume anayevuja JASHO, anamhudumia mkewe na hawara na machangudoa na anamudu wote kuwapa mahitaji yao, kwanini anawahi kuchomoka duniani mapema?
Namwongelea Mwanaume aliyeokoka mwenye baba na mama wa kiroho, anawatunza wazazi wake wa kiroho, lakini Bado anawahi kuchomoka duniani kabla ya siku zake, nini chanzo?
Naongea na Mwanaume unayeacha Kodi ya meza Kila siku, unajibana Ili familia yako isonge, kwanini bado huna maisha marefu, ipi sababu, ni hii:
LAANA YA WAZAZI NI CHANZO KIKUU CHA WANAUME WENGI KUFA MAPEMA KABLA YA WAKATI WAO.
Wanaume wengi tumelisahau hili.
Kwani hamkusoma maandiko katika Amri ya Mungu isemayo,
"Waheshimu baba Yako na mama Yako, Ili siku zako zipate kuwa nyingi katika Nchi upewayo na BWANA Mungu wako"
Pia hamkusoma kuwa,
" Baba na mama (Wazazi) ni miungu wa Dunia hii?
Watu wengi hasa vijana na wanaume huangaika sana na hukumbwa na mabalaa na kufungwa vipato vyao duniani bila kujua Chanzo ni LAANA ya wazazi!!
Wakati ukiacha Kodi ya meza Kwa mke wako, atahakikisha anatenga kiasi kidogo kidogo Kila siku, Kisha hukituma Kwa mama yake mzazi.
Mzazi wa mke wako ambaye mara nyingi ni mwanamke sababu mzazi wa kiume mara nyingi anakuwa ameshaiaga Dunia, mzazi yule wa kike, huipokea sadaka Ile na kumwombea baraka aliyeitoa ambaye ni mwanae wa kike, baraka hizo hazitakufikia wewe Mwanaume sababu nawe unao wazazi wako kijijini hawana hata mia mbovu😭
Wazazi wako ewe Mwanaume wanaweza kata hata mwaka hujawatumia chochote kuwatunza, wanaishi nyumba chakavu wanalala chini, hata godoro hamna, wewe umehangaikia familia Yako wanakula na kulala vizuri, unamsahau baba na mama Yako!!
Ikitokea umeenda kijijini, utamwita pembeni mama na kumshikisha bulungutu la pesa, Kisha baba unampa pesa kiduchu ilhali ndo anajukumu kutunza familia.
Wazazi wako wanaposikia umenunua gari Kwa ajili ya mkeo kutembelea na wakisikia umejenga ukweni kwa mkeo, kinachotokea huwa wanahuzunika😭
Mama anashika tumbo na kumlilia Mungu, baba hushika kiuno na kulia, Kila Mmoja sirini Kwa wakati wake.
Ugumu wa maisha wanaume wengi tunaoupitia mijini, chanzo kikuu ni LAANA ya wazazi.
Mwaka mzima unaisha hujapeleka Kwa wazazi hata mia mbovu, lakini unapata pesa ya kuhonga MAKAHABA. LAANA inakunyemelea......
Unapomuhonga kahaba, yeye huchukua pesa hiyo na kutumia pesa kiasi Kwa wazazi wake, Kwa maana ingine, pesa yako inatumika kuwa baraka kwa mwanamke while wewe hupati kiasi cha kuchota baraka za wazazi walokuzaa.
Na wanawake ni Wachache sana ambao huwakumbusha waume zao kuwatumia chochote wazazi wa waume zao.
Mwanaume mwenzangu, hasa vijana ambao hamjaoa bado, msisubiri kupata KICHAA kitokanacho na LAANA ya wazazi wanapohuzunika Kwa ajili yetu. Msisubiri kupelekwa kijijini mkiwa katika majeneza.
Na hii ndo OCTOBER 2023, Wenzetu wa mikoa ya kaskazini wanajipanga kwenda Kwa wazazi wao kushukuru kana kwamba huko ndo pekee palipo na wazazi, msijesema sikuwaambia!!!
SOLUTION.
1. Hakikisha unatunza Kwa Siri chochote kitu, unatumia Kwa wazazi wako kimya kimya, sababu najua wake zenu wengi Wana gubu na wasingependa mbarikiwe.
2. Pata muda wa kuongea nao hata Kwa simu na uwashirikishe changamoto unazopitia, ukijua kuwa hao ni miungu wa Dunia hii.
Wazazi wanapokuhuzunikia Kwa kutowajali wazazi, humpa KIBALI shetani kukushambulia Kwa mapigo na LAANA mbalimbali!!
3. Tafuta muda ukatubu, wajengee wazazi wako nyumba nzuri, watumie zawadi, nenda kusali lakini jua miungu mwenye FUNGUO za maisha Yako duniani ni wazazi,
4. Ishi na mke wako Kwa Akili sana, hakikisha unamzidi akili na Maarifa.
5. Jipange kidogo kidogo uweze kurudi kuwaona hata mara Moja Kwa mwaka angalau.
6. Ikiwa umelelewa na mzazi mmoja, mtafute mzazi wako wa pili msamehe, tapika Sumu yote ulolishwa na mzazi alikulea, hakikisha unawatunza wote sawa sawa. UTABARIKIWA!! Siku zako zitakuwa nyingi katika Nchi upewayo na BWANA Mungu wako. Amen.
Ningeongea zaidi bt inatosha Kwa sasa!!!
Karibuni Kwa shuhuda na MAONI 🙏.
Salaam, Shalom!!
(Kutoka 20:12) says: WAHESHIMU BABA YAKO NA MAMA YAKO, ILI SIKU ZAKO ZIKAWE NYINGI KATIKA NCHI UPEWAYO NA BWANA MUNGU WAKO.
Leo naandika mada hii nikiwa na Sina furaha sababu Mimi Rabbon pia ni Mwanaume.
Wanaume tulipoambiwa tuishi Kwa akili na wake zetu, au na wanawake ,Kuna Siri imejificha nyuma, ipi hiyo?
Under Ceteris peribus, while other factors remain constant,
Ni Kweli, wanaume wengi huoa wake wanaowazidi umri hivyo wengi wanapotangulia kufariki ndugu na jamaa hutoa sababu hii, lakini Si Kweli, IPO sababu zaidi ya hiyo.
Wanawake ujiwauliza watakwambia wti Kwa Sababu wao hawatunzi jambo moyoni na hulia machozi sana ndo sababu ya kuishi maisha marefu.
Wanasayansi wengine hudai kuwa sababu wanawake wao Wana matiti ambayo hutunza maziwa ambayo ni chakula kinachowapa kusurvive muda mrefu, hapo ni Kweli Kwa kiasi fulani, bt si sababu kuu.
Wanaume wenzangu tujiulize inakuwaje mwanamke anazaa Kwa uchungu hadi watoto 14, na wote tunajua shughuli pevu ya kuzaa mtoto ilivyo, lakini mwanamke huyo huyo utaondoka na kumwacha duniani, nini sababu? Tatizo ni LAANA hii nitakayoiongelea leo.
Dunia nzima imeweka mfumo thabiti kwamba Mali anazomiliki mwanamke ni zake pekeake, lakini Mali anazomiliki mwanamume ni za wote, Kuna kitu hapo kimejificha ambacho wanaume Bado hawajakijua kinachopelekea kuchomoka duniani mapema.
Namwongelea Mwanaume anayehangaisha KICHWA usiku na mchana kutafuta riziki ya familia na hapumziki, nini kinachomwondoa mapema?
Namwongelea Mwanaume anayevuja JASHO, anamhudumia mkewe na hawara na machangudoa na anamudu wote kuwapa mahitaji yao, kwanini anawahi kuchomoka duniani mapema?
Namwongelea Mwanaume aliyeokoka mwenye baba na mama wa kiroho, anawatunza wazazi wake wa kiroho, lakini Bado anawahi kuchomoka duniani kabla ya siku zake, nini chanzo?
Naongea na Mwanaume unayeacha Kodi ya meza Kila siku, unajibana Ili familia yako isonge, kwanini bado huna maisha marefu, ipi sababu, ni hii:
LAANA YA WAZAZI NI CHANZO KIKUU CHA WANAUME WENGI KUFA MAPEMA KABLA YA WAKATI WAO.
Wanaume wengi tumelisahau hili.
Kwani hamkusoma maandiko katika Amri ya Mungu isemayo,
"Waheshimu baba Yako na mama Yako, Ili siku zako zipate kuwa nyingi katika Nchi upewayo na BWANA Mungu wako"
Pia hamkusoma kuwa,
" Baba na mama (Wazazi) ni miungu wa Dunia hii?
Watu wengi hasa vijana na wanaume huangaika sana na hukumbwa na mabalaa na kufungwa vipato vyao duniani bila kujua Chanzo ni LAANA ya wazazi!!
Wakati ukiacha Kodi ya meza Kwa mke wako, atahakikisha anatenga kiasi kidogo kidogo Kila siku, Kisha hukituma Kwa mama yake mzazi.
Mzazi wa mke wako ambaye mara nyingi ni mwanamke sababu mzazi wa kiume mara nyingi anakuwa ameshaiaga Dunia, mzazi yule wa kike, huipokea sadaka Ile na kumwombea baraka aliyeitoa ambaye ni mwanae wa kike, baraka hizo hazitakufikia wewe Mwanaume sababu nawe unao wazazi wako kijijini hawana hata mia mbovu😭
Wazazi wako ewe Mwanaume wanaweza kata hata mwaka hujawatumia chochote kuwatunza, wanaishi nyumba chakavu wanalala chini, hata godoro hamna, wewe umehangaikia familia Yako wanakula na kulala vizuri, unamsahau baba na mama Yako!!
Ikitokea umeenda kijijini, utamwita pembeni mama na kumshikisha bulungutu la pesa, Kisha baba unampa pesa kiduchu ilhali ndo anajukumu kutunza familia.
Wazazi wako wanaposikia umenunua gari Kwa ajili ya mkeo kutembelea na wakisikia umejenga ukweni kwa mkeo, kinachotokea huwa wanahuzunika😭
Mama anashika tumbo na kumlilia Mungu, baba hushika kiuno na kulia, Kila Mmoja sirini Kwa wakati wake.
Ugumu wa maisha wanaume wengi tunaoupitia mijini, chanzo kikuu ni LAANA ya wazazi.
Mwaka mzima unaisha hujapeleka Kwa wazazi hata mia mbovu, lakini unapata pesa ya kuhonga MAKAHABA. LAANA inakunyemelea......
Unapomuhonga kahaba, yeye huchukua pesa hiyo na kutumia pesa kiasi Kwa wazazi wake, Kwa maana ingine, pesa yako inatumika kuwa baraka kwa mwanamke while wewe hupati kiasi cha kuchota baraka za wazazi walokuzaa.
Na wanawake ni Wachache sana ambao huwakumbusha waume zao kuwatumia chochote wazazi wa waume zao.
Mwanaume mwenzangu, hasa vijana ambao hamjaoa bado, msisubiri kupata KICHAA kitokanacho na LAANA ya wazazi wanapohuzunika Kwa ajili yetu. Msisubiri kupelekwa kijijini mkiwa katika majeneza.
Na hii ndo OCTOBER 2023, Wenzetu wa mikoa ya kaskazini wanajipanga kwenda Kwa wazazi wao kushukuru kana kwamba huko ndo pekee palipo na wazazi, msijesema sikuwaambia!!!
SOLUTION.
1. Hakikisha unatunza Kwa Siri chochote kitu, unatumia Kwa wazazi wako kimya kimya, sababu najua wake zenu wengi Wana gubu na wasingependa mbarikiwe.
2. Pata muda wa kuongea nao hata Kwa simu na uwashirikishe changamoto unazopitia, ukijua kuwa hao ni miungu wa Dunia hii.
Wazazi wanapokuhuzunikia Kwa kutowajali wazazi, humpa KIBALI shetani kukushambulia Kwa mapigo na LAANA mbalimbali!!
3. Tafuta muda ukatubu, wajengee wazazi wako nyumba nzuri, watumie zawadi, nenda kusali lakini jua miungu mwenye FUNGUO za maisha Yako duniani ni wazazi,
4. Ishi na mke wako Kwa Akili sana, hakikisha unamzidi akili na Maarifa.
5. Jipange kidogo kidogo uweze kurudi kuwaona hata mara Moja Kwa mwaka angalau.
6. Ikiwa umelelewa na mzazi mmoja, mtafute mzazi wako wa pili msamehe, tapika Sumu yote ulolishwa na mzazi alikulea, hakikisha unawatunza wote sawa sawa. UTABARIKIWA!! Siku zako zitakuwa nyingi katika Nchi upewayo na BWANA Mungu wako. Amen.
Ningeongea zaidi bt inatosha Kwa sasa!!!
Karibuni Kwa shuhuda na MAONI 🙏.