Satan
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,065
- 3,333
Linapokuja suala la ndoa, basi kuvumilia na kukubaliana na hali ndio vitu pekee vinavyoweza kudumisha hii 'sekta'... Na hii ndiyo ilifanya mabibi zetu wadumu kwenye ndoa.
Hii jamii inayoiona ya kiduanzi kwa 'kushape' kama ulivyosema, ndiyo hiyo hiyo iliyoshape kuwa ndoa ni uvumilivu na watu wakaishi mpaka uzeeni.
Binadamu hawajakamilika na hata huyo mwenza unayetamani awe vile unavyotaka hawezi kuwepo/kukamilika, hivyo kuna siku mtachokana tu.
Jamii inataka uolewe. Hiyo hiyo jamii inataka uvumilie. Na hiyo hiyo jamii inakutaka ukichoka usepe maana kwenu hujaua..
Yaani hivi humfanya mwanandoa awe na wenge. Asielewe acheze vipi. Poleni sana.
Hii jamii inayoiona ya kiduanzi kwa 'kushape' kama ulivyosema, ndiyo hiyo hiyo iliyoshape kuwa ndoa ni uvumilivu na watu wakaishi mpaka uzeeni.
Binadamu hawajakamilika na hata huyo mwenza unayetamani awe vile unavyotaka hawezi kuwepo/kukamilika, hivyo kuna siku mtachokana tu.
Jamii inataka uolewe. Hiyo hiyo jamii inataka uvumilie. Na hiyo hiyo jamii inakutaka ukichoka usepe maana kwenu hujaua..
Yaani hivi humfanya mwanandoa awe na wenge. Asielewe acheze vipi. Poleni sana.