Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Linapokuja suala la ndoa, basi kuvumilia na kukubaliana na hali ndio vitu pekee vinavyoweza kudumisha hii 'sekta'... Na hii ndiyo ilifanya mabibi zetu wadumu kwenye ndoa.

Hii jamii inayoiona ya kiduanzi kwa 'kushape' kama ulivyosema, ndiyo hiyo hiyo iliyoshape kuwa ndoa ni uvumilivu na watu wakaishi mpaka uzeeni.

Binadamu hawajakamilika na hata huyo mwenza unayetamani awe vile unavyotaka hawezi kuwepo/kukamilika, hivyo kuna siku mtachokana tu.

Jamii inataka uolewe. Hiyo hiyo jamii inataka uvumilie. Na hiyo hiyo jamii inakutaka ukichoka usepe maana kwenu hujaua..
Yaani hivi humfanya mwanandoa awe na wenge. Asielewe acheze vipi. Poleni sana.
 
Jamiinimetushape kwamba ndoa ni kitu cha lazima sana vinginevyo hamna urafiki,mapenzi au mahusiano ya namna yoyote kati ya me na ke

Na hii ndo inasababisha ndoa nyingi kuwa za hovyo kuliko maelezo

Watu wangekuwa wanadate bila kufikiria au kuweka kipaumbele cha ndoa ingekua ni rahisi sana mtu kuweka kila kitu chake mezani....yaani kumjua vizuri mtu...na ku enjoy sana
....ila sasa kwa kua focus ni ndoa

Watu wanaficha mambo yao,kila mtu anakua mnafiki aonekane mwema alafu mkishaingia kwenye ndoa hapo ndo mna unleash ur full potential ndo inakua suprise sasa kumbe huyu yupo hivi...

Mwishoni migogoro,,,,mwishoni michepuko.... dakika za jioni kataa ndoa mwanachama mpya
....kingine kwa sababu jamii inakuafanya uone kufunga ndoa ndo fainali

So kipindi cha uchumba watu wanajituma secta zote....baada tu ya ndoa kila kitu kinasimama
....mimi binafsi ningeweza kurudisha siku nyuma nisingedate mtu mzima kwa kigezo ndo waoaji wazuri

Ukishaolewa sasa ndo unaona vitu ulivyoviacha nje huko
....kama bado hujaoa wala kuolewa
Date for looks,date for good sex,date for care...good attention

Ingia kwenye mahusiano na mtu ambae

Box zote za furaha ana zitick....please achana na mawazo ya huyu ndo muoaji au huyu ndo wife material
Unapishana na vitu ambavyo ulitakiwa ku enjoy..

Sawa wa 40 atakuoa ukiwa na 25 or 28...but imagne a 24 year old d$ck...
Imagne all thise pleasure...

Unamis sehem muhimu sana ya maisha yako kwa kufocus na ndoa
.....haya mambo hayana formula but jamii inavyo force mambo ya ndoa na ndo matatizo mengi yanazidi kutokea

Kwa sababu watu wanaacha kuenjoy,kujuana na kupendana vizuri wanawaza tu ndoa
Date ur age...young than you a bit au akuzidi pia kidogo
...then enjoy mapenzi...

Kama hicho kifungo cha kujitakia kitakuja let it be automatically
Focus kwenye ku enjoy ,utakuja kuzikumbuka hizo siku
Ni hayo tu
Umeandika vizuri, ila tatizo mabinti wa siku hizi wengi enu mnatamaa sana ya hela na hapa ndipo mnapo angukiaga kwa watu wazima walio wazidi umri,kisa mnaamini mwanaume yupo stable. Vijana wengi wa age ya 20-30,wengi wao kiuchumi wanakuwa hawapo vizuri wanajitafuta, wengi wenu hamuwataki na kuwaona kama kero ,sababu hawatimizi tamaa zenu na mahitaji yenu "luxury needs" hapa ndipo mnapopoteza wanaume wa maana wengi wenu.

Sasa si bora hiyo ya kuagukia kwa mtu mzima,kuna wengine wanaangukia kwa waume za watu kisa "waume za watu wanajua kucare....",wakiwafungulia na vibiashara mnapagawa na kuwazalia.Halafu wakisha wazalisha hao wanarudi kwa wake zao,then anakuacha unahangaika na biashara, ambayo hujui kuiendesha sababu hauna nidhamu ya hela. Wadada wengi wa mjini wenye biashara, nyuma ya pazia wanatoka na waume za watu.

Bila kusahau tena kwenye age hiyo 20-28 mabadboy/wahuni,wanapewa nafasi kisa tu zile fantasy na mitindo ya kihuni ya ngono kwa kifupi vurugu tupu, ila mnakuja kushtuka tayari mshafanya bad choice mnabidi muishi nalo.

Kwa kifupi ulicho kiongea ni kizuri,ila kinacho waponza ni tamaa ya hela.
 
Ukweli mchungu ambao wanawake wengi hawausemi umesemwa na mleta uzi
Mimi comments zangu nimeshaandika mara nyingi sana humu kuhusu hili suala?

Duniani hapa kama kuna kitu utakifanya kwa urahisi basi ni kile kitu utafanya roho inapenda, it’s so easy kuishi na mtu ambaye physically uko attracted naye na si kinyume chake.

Na kadri navyokua nazidi kujua kuna fikra na mitazamo yangu huwa niko sahihi 💯 😂😂😂
 
Back
Top Bottom