Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Jamiinimetushape kwamba ndoa ni kitu cha lazima sana vinginevyo hamna urafiki,mapenzi au mahusiano ya namna yoyote kati ya me na ke

Na hii ndo inasababisha ndoa nyingi kuwa za hovyo kuliko maelezo

Watu wangekuwa wanadate bila kufikiria au kuweka kipaumbele cha ndoa ingekua ni rahisi sana mtu kuweka kila kitu chake mezani....yaani kumjua vizuri mtu...na ku enjoy sana
....ila sasa kwa kua focus ni ndoa

Watu wanaficha mambo yao,kila mtu anakua mnafiki aonekane mwema alafu mkishaingia kwenye ndoa hapo ndo mna unleash ur full potential ndo inakua suprise sasa kumbe huyu yupo hivi...

Mwishoni migogoro,,,,mwishoni michepuko.... dakika za jioni kataa ndoa mwanachama mpya
....kingine kwa sababu jamii inakuafanya uone kufunga ndoa ndo fainali

So kipindi cha uchumba watu wanajituma secta zote....baada tu ya ndoa kila kitu kinasimama
....mimi binafsi ningeweza kurudisha siku nyuma nisingedate mtu mzima kwa kigezo ndo waoaji wazuri

Ukishaolewa sasa ndo unaona vitu ulivyoviacha nje huko
....kama bado hujaoa wala kuolewa
Date for looks,date for good sex,date for care...good attention

Ingia kwenye mahusiano na mtu ambae

Box zote za furaha ana zitick....please achana na mawazo ya huyu ndo muoaji au huyu ndo wife material
Unapishana na vitu ambavyo ulitakiwa ku enjoy..

Sawa wa 40 atakuoa ukiwa na 25 or 28...but imagne a 24 year old d$ck...
Imagne all thise pleasure...

Unamis sehem muhimu sana ya maisha yako kwa kufocus na ndoa
.....haya mambo hayana formula but jamii inavyo force mambo ya ndoa na ndo matatizo mengi yanazidi kutokea

Kwa sababu watu wanaacha kuenjoy,kujuana na kupendana vizuri wanawaza tu ndoa
Date ur age...young than you a bit au akuzidi pia kidogo
...then enjoy mapenzi...

Kama hicho kifungo cha kujitakia kitakuja let it be automatically
Focus kwenye ku enjoy ,utakuja kuzikumbuka hizo siku
Ni hayo tu
Majuto ni mjukuu, komaeni na uzee huku mnajutia sana wale mliokula nao ujana wakati mnaona wengine siyo type yenu... Napia kingine mwezi kesho kutwa tunategemea kupokea mzigo mpya kitaa ambao haujachuja sana bado.

Hakuna kurudi nyuma ni mwendo wa expire date tuu nasiyo vinginevyo
 
Jamiinimetushape kwamba ndoa ni kitu cha lazima sana vinginevyo hamna urafiki,mapenzi au mahusiano ya namna yoyote kati ya me na ke

Na hii ndo inasababisha ndoa nyingi kuwa za hovyo kuliko maelezo

Watu wangekuwa wanadate bila kufikiria au kuweka kipaumbele cha ndoa ingekua ni rahisi sana mtu kuweka kila kitu chake mezani....yaani kumjua vizuri mtu...na ku enjoy sana
....ila sasa kwa kua focus ni ndoa

Watu wanaficha mambo yao,kila mtu anakua mnafiki aonekane mwema alafu mkishaingia kwenye ndoa hapo ndo mna unleash ur full potential ndo inakua suprise sasa kumbe huyu yupo hivi...

Mwishoni migogoro,,,,mwishoni michepuko.... dakika za jioni kataa ndoa mwanachama mpya
....kingine kwa sababu jamii inakuafanya uone kufunga ndoa ndo fainali

So kipindi cha uchumba watu wanajituma secta zote....baada tu ya ndoa kila kitu kinasimama
....mimi binafsi ningeweza kurudisha siku nyuma nisingedate mtu mzima kwa kigezo ndo waoaji wazuri

Ukishaolewa sasa ndo unaona vitu ulivyoviacha nje huko
....kama bado hujaoa wala kuolewa
Date for looks,date for good sex,date for care...good attention

Ingia kwenye mahusiano na mtu ambae

Box zote za furaha ana zitick....please achana na mawazo ya huyu ndo muoaji au huyu ndo wife material
Unapishana na vitu ambavyo ulitakiwa ku enjoy..

Sawa wa 40 atakuoa ukiwa na 25 or 28...but imagne a 24 year old d$ck...
Imagne all thise pleasure...

Unamis sehem muhimu sana ya maisha yako kwa kufocus na ndoa
.....haya mambo hayana formula but jamii inavyo force mambo ya ndoa na ndo matatizo mengi yanazidi kutokea

Kwa sababu watu wanaacha kuenjoy,kujuana na kupendana vizuri wanawaza tu ndoa
Date ur age...young than you a bit au akuzidi pia kidogo
...then enjoy mapenzi...

Kama hicho kifungo cha kujitakia kitakuja let it be automatically
Focus kwenye ku enjoy ,utakuja kuzikumbuka hizo siku
Ni hayo tu
Majuto ni mjukuu, komaeni na uzee huku mnajutia sana wale mliokula nao ujana wakati mnaona wengine siyo type yenu... Hakuna kurudi nyumba ni mwendo wa expire date tuu.
Nb. Kwanzia Mwezi ujao mwishoni na kuendelea ngoma mpya zinaingia mtaani chuchu saa sita na bado hazijachuja sana . Wanaume tutakua busy kufanya uwekezaji huko
 
Back
Top Bottom