Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Ndiyo msikilize sasa!

Inabadilika na nguvu zinapungua kwa wanaume wengi, plus yale magonjwa ya utu uzima so mambo yanabadilika sana. Kuna mbaba flani kwenye uzi wangu mmoja alielezea vizuri, nikiona ile reply nitakutag .
Mie nikisema usioe mtoto mdogo wanaona natania, oa mtu ye anaingia menopause we bado nguvu ziko pale pale ama ndio zinaishia ishia
 
10yrs si tutarudi na visasi plus hayo maumivu dadaake🤔

Anyways.. hiyo 🍆 sikuwahi kujua kama inabadilikaga when someone gets older🤦🏽‍♀️
HIi ni kawaida viungo vya mwanadamu kuchoka umri unavyosogea, mzee wa miaka 60 hawezi kuwa sawa na wa miaka 40 ama 50 ambae amejitunza, hawezi kuwa sawa na wa 20,25,30+
 
Huwa mna igiza mna furaha but not true, we ni wA kwanza nasubiri Binti wa zaman naye alete malalamiko yake hapa, day to come, eti alidai ye ana pendwa kufanywa kwa nguvu mpaka Chaga ivunjike, mpaka hapo nikajua kwisha kazi, vijana Sasa hivi romance kwanza case study wakorea vijana wanajifunza mapenzi kupitia movie za wakorea wanaangalia wanacho kifanya, we unafikiria kuvunja Chaga bado, zama hizi? dunia ya Sasa watu wana amini kitu chochote kinacho fanya utumie sana nguvu akifai, na ni kero, sahivi waenda gym tu wanaanza kutoweka wanabaki almost wasio na majukum sana na wasaka totoz, kama six packs zimeanza kubandikwa kwa surgery basi tuna kazi sana huko tuendako, badilika kutokana na utandawazi usiishi formula ya miaka ya zamani, change mkuu, kinacho kusumbua wewe, ni kuishi uzamani, tunakariri mchana ugali usiku wali maharage, shida sana
 
Am stuck hapo kwenye young age!🤔
Umenipa wazo jipya wacha nilifanyie kazi

View attachment 3564773

Shemej yangu Seran. Gmorning to You.

Hajasema ukajaribu ndoa na Gen Z 😂😂😂, Hebu puuzia hilo wazo jipya.

Bidada kaolewa na mtu aliyemzidi umri. Let say 12+ yrs.
Interest yao kubwa kwa wakat ule ilikuwa ni ndoa, na mwanaume akil ishatulia nna ujana amemaliza ila yeye sasa ndio mwil wa ujana unachemka na ana nguvu. So vibe haikumatch. Na Vibox vingne havikutick. (Vilitick mwanzon tu kabla ya ndoa😂😂😂😂).

So utaona hapa issue sio Ndoa. Issue ni aliolewa na nani.
So akashaur watu waoane wakiwa agemate, au mzidiane kidogo na pia mhakikishe energy ina match.

She Got a point.
watu wasiingie kwa ndoa Kwa kigezo cha lazima kuoana.
 
Hakika. Maisha siku zote hayajanyooka kwa hiyo lazima tu tukabili Kila kinachokuja.
Nakubaliana na wewe kabisa,matatizo hayakimbiwi bali hukabiliwa,
matatizo mengine yanatupa funzo ili next time tuchukue tahadhari zaidi,

Facing any situation in life requires accepting reality,maintaining a resilient mindset and taking actionable steps even when situation are challenging.
 
Naandika, nafuta, naandika tena nafuta, nahisi nikianza kuimagine nitalia kwa sauti niamshe huyu mzee mwenzangu anayekoroma hapa pembeni 🤣 🤣 🤣
View attachment 3564793

Wasipokusikiliza hawa akina Mallerina na Seran , basi na wao in 10 years watarudi baada ya maumivu na kuwaasa wadogo zao!
Andiko la mleta mada lina uhalisia mdogo sana. Point ni moja tu: ni muhimu kujaribu kuziishi ndoto zako japo hakuna guarantee kwamba ukijitahidi ni lazima utafanikiwa. Kiuhalisia ni ngumu kumpata mwanaume/mwanamke ambaye ana vigezo vyote unataka kwa kutumia akili yako tu. Na hii ni kwasababu sisi binamu si wakamilifu kwenye kilakitu. Unaweza muona mtu ana vigezo vyote unavyotaka na pengine ukawa sahihi. Ukaingia kwenye relationship mazima, halafu mambo yakabadilika (miili, afya, uchumi, tabia hubadilika). Ukajikuta umeharibiwa beyond repair. Halafu life misfortunes zinaweza mtokea hata mwenza wa age yako.
 
Jamiinimetushape kwamba ndoa ni kitu cha lazima sana vinginevyo hamna urafiki,mapenzi au mahusiano ya namna yoyote kati ya me na ke

Na hii ndo inasababisha ndoa nyingi kuwa za hovyo kuliko maelezo

Watu wangekuwa wanadate bila kufikiria au kuweka kipaumbele cha ndoa ingekua ni rahisi sana mtu kuweka kila kitu chake mezani....yaani kumjua vizuri mtu...na ku enjoy sana
....ila sasa kwa kua focus ni ndoa

Watu wanaficha mambo yao,kila mtu anakua mnafiki aonekane mwema alafu mkishaingia kwenye ndoa hapo ndo mna unleash ur full potential ndo inakua suprise sasa kumbe huyu yupo hivi...

Mwishoni migogoro,,,,mwishoni michepuko.... dakika za jioni kataa ndoa mwanachama mpya
....kingine kwa sababu jamii inakuafanya uone kufunga ndoa ndo fainali

So kipindi cha uchumba watu wanajituma secta zote....baada tu ya ndoa kila kitu kinasimama
....mimi binafsi ningeweza kurudisha siku nyuma nisingedate mtu mzima kwa kigezo ndo waoaji wazuri

Ukishaolewa sasa ndo unaona vitu ulivyoviacha nje huko
....kama bado hujaoa wala kuolewa
Date for looks,date for good sex,date for care...good attention

Ingia kwenye mahusiano na mtu ambae

Box zote za furaha ana zitick....please achana na mawazo ya huyu ndo muoaji au huyu ndo wife material
Unapishana na vitu ambavyo ulitakiwa ku enjoy..

Sawa wa 40 atakuoa ukiwa na 25 or 28...but imagne a 24 year old d$ck...
Imagne all thise pleasure...

Unamis sehem muhimu sana ya maisha yako kwa kufocus na ndoa
.....haya mambo hayana formula but jamii inavyo force mambo ya ndoa na ndo matatizo mengi yanazidi kutokea

Kwa sababu watu wanaacha kuenjoy,kujuana na kupendana vizuri wanawaza tu ndoa
Date ur age...young than you a bit au akuzidi pia kidogo
...then enjoy mapenzi...

Kama hicho kifungo cha kujitakia kitakuja let it be automatically
Focus kwenye ku enjoy ,utakuja kuzikumbuka hizo siku
Ni hayo tu
Andiko lako hili pendwa umemshirikisha Binti wa zamani kungwi wa Jf?
 
Back
Top Bottom