Benzodiazepine
JF-Expert Member
- Oct 18, 2018
- 899
- 1,176
katika ulimwengu wa utandawazi, hata ka chalii kenye 17yrs huwa kanajua yote hayo hata kabla hakajaonja.Ndio nashangaa ukaanze kukafundisha weka hivi kaa vile shika hiviš«¢
hapanaš®
wa 20 na 21 pia wanajua angles zote.
(courtesy of internet & boys talk, sexuality pep talk za kitaa maana hata stori nyingi za kitaa za age hii ni jinsi ya kumkunja "demu" ulingoni)
Tena ni age of curiosity, flexibility na ready to explore kila kitu kwenye sex.
Hence, kwa ngono they are more than ready.
ila disadvantages ya age hii labda ni kwamba kwa walio mazingira ya town, mentality ya majority ya age group hii haipo ready kwa majukumu ya family beyond sex. (ila kwa sex tu, ahaaaa wapo ready wanangu for an extra mile, heavy duty, rough riding )
Binafsi a male of 24 namuona ni mtu matured, labda tu kama aamue kimtizamo kujidai yeye bado ni under 17, kutokana na influence za waliomzunguka.