Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,301
- 10,073
Uwe na Weekend Njema 😁😁Pole sana..
Uwe na Weekend Njema 😁😁Pole sana..
Hahaa.. my 24 yrs old di3k was worse I dont want to remember that. Now in my mid 30's they call my name you can't imagine.imagne a 24 year old d$ck...
Imagne all thise pleasure...
Ulitukataa wa age mate yako, probably ukaenda kwa mbaba kisa kina hela, sasa kawa mbabu hadindishi vizuri, age mate wako now tumeshajitafuta ni kutumia tu, now ukirudi kwetu nasi tunakukataa kwasababu ushazeeka, tunadinya vibinti vya 20-25 yrs.Duh
Kazi ipo mpaka naogopa ku reply
Mwanaume wa miaka 50 hajachoka, bado anapeleka moto vizuri tu.Sasa imagine una 50 umefika hatua hiyo halafu binti ndio kwanza 35, si unatafuta vita tu na waja.
Sio kama 20,25Mwanaume wa miaka 50 hajachoka, bado anapeleka moto vizuri tu.
Ngoja Nije piem Leo 🥰🥰.Navutia sana utaerect bure🤣
msimsingizie shetani kila kitu,kwanza tambua mpaka shetan ameingia kwako ni wewe umempa access ,na access maana umetenda dhambi Mungu anakuacha ule raha anajua mbele utajuta tu na kurudi na kumpigia magoti kama mwanampotevu alierudi kwa baba yake baads ya kutapanya mali ya urithi na kuishiwa na kila kitu ila yeye hakulaumu mtu hakulaumu shetani alisema anajua alikosea na anaomba msamahaShetani anavaa maumbo mawili
1. Umbo la hali, hapo shetani anaelezwa kuhusika katika kazi iliyotendeka kinyume na mapenzi ya mungu. Uharibifu, na uhalifu wa maisha yaliyopo
2. Shetani katika umbo la nyama, hapo anaazima umbo la mtu analitumia kuishi kama binadamu. Huyu mtu kwa kumuangalia anafanan na watu wengine lakini ndan yake kuna shetan kakaa mule.
Nani anaweza kuelezea fumbo hili na katika circle yake akatambua ni nani hasa huwa anauazima mwili wake kwa shetani ili upate kunywa juisi na kufanya mambo mengine ya kibinadamu?
Cc. TUKANA UONE
Elezea fumbo hilo lina maana gan mzee acha ngonjera na hadithi za alfu lella ulelamsimsingizie shetani kila kitu,kwanza tambua mpaka shetan ameingia kwako ni wewe umempa access ,na access maana umetenda dhambi Mungu anakuacha ule raha anajua mbele utajuta tu na kurudi na kumpigia magoti kama mwanampotevu alierudi kwa baba yake baads ya kutapanya mali ya urithi na kuishiwa na kila kitu ila yeye hakulaumu mtu hakulaumu shetani alisema anajua alikosea na anaomba msamaha
Yakishawashinda mnamsingizia shetani. Jamaa anapewa lawama za bure tu juu ya shida zenu wenyewe.Shetani anavaa maumbo mawili
1. Umbo la hali, hapo shetani anaelezwa kuhusika katika kazi iliyotendeka kinyume na mapenzi ya mungu. Uharibifu, na uhalifu wa maisha yaliyopo
2. Shetani katika umbo la nyama, hapo anaazima umbo la mtu analitumia kuishi kama binadamu. Huyu mtu kwa kumuangalia anafanan na watu wengine lakini ndan yake kuna shetan kakaa mule.
Nani anaweza kuelezea fumbo hili na katika circle yake akatambua ni nani hasa huwa anauazima mwili wake kwa shetani ili upate kunywa juisi na kufanya mambo mengine ya kibinadamu?
Cc. TUKANA UONE
Kweli tena hivyo vitu havinisumbuagiThubutuuuuu
ahhh nishakujua wewe unapenda sex sana wewe, unaona ukidate kwa lengo la ndoa utafikia wakat huyo kijana atazeeka wakat wew bado kitu inadaiJamiinimetushape kwamba ndoa ni kitu cha lazima sana vinginevyo hamna urafiki,mapenzi au mahusiano ya namna yoyote kati ya me na ke
Na hii ndo inasababisha ndoa nyingi kuwa za hovyo kuliko maelezo
Watu wangekuwa wanadate bila kufikiria au kuweka kipaumbele cha ndoa ingekua ni rahisi sana mtu kuweka kila kitu chake mezani....yaani kumjua vizuri mtu...na ku enjoy sana
....ila sasa kwa kua focus ni ndoa
Watu wanaficha mambo yao,kila mtu anakua mnafiki aonekane mwema alafu mkishaingia kwenye ndoa hapo ndo mna unleash ur full potential ndo inakua suprise sasa kumbe huyu yupo hivi...
Mwishoni migogoro,,,,mwishoni michepuko.... dakika za jioni kataa ndoa mwanachama mpya
....kingine kwa sababu jamii inakuafanya uone kufunga ndoa ndo fainali
So kipindi cha uchumba watu wanajituma secta zote....baada tu ya ndoa kila kitu kinasimama
....mimi binafsi ningeweza kurudisha siku nyuma nisingedate mtu mzima kwa kigezo ndo waoaji wazuri
Ukishaolewa sasa ndo unaona vitu ulivyoviacha nje huko
....kama bado hujaoa wala kuolewa
Date for looks,date for good sex,date for care...good attention
Ingia kwenye mahusiano na mtu ambae
Box zote za furaha ana zitick....please achana na mawazo ya huyu ndo muoaji au huyu ndo wife material
Unapishana na vitu ambavyo ulitakiwa ku enjoy..
Sawa wa 40 atakuoa ukiwa na 25 or 28...but imagne a 24 year old d$ck...
Imagne all thise pleasure...
Unamis sehem muhimu sana ya maisha yako kwa kufocus na ndoa
.....haya mambo hayana formula but jamii inavyo force mambo ya ndoa na ndo matatizo mengi yanazidi kutokea
Kwa sababu watu wanaacha kuenjoy,kujuana na kupendana vizuri wanawaza tu ndoa
Date ur age...young than you a bit au akuzidi pia kidogo
...then enjoy mapenzi...
Kama hicho kifungo cha kujitakia kitakuja let it be automatically
Focus kwenye ku enjoy ,utakuja kuzikumbuka hizo siku
Ni hayo tu