issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
Kwanini haya maneno yaibuke wakati huu wa Mama Samia, mbona alipofanya hivi magufuli hamkuja na nukuu za maneno matakatifu?Mzee Mkapa ana nyumba lakini ameongezewa nyingine na serikali ili awe nazo nyingi kwa mujibu wa Biblia.
Mzee Mwinyi ana gari lakini anaongezewa lingine ili awe nayo mengi kama Biblia ilivyosema.
Mzee Kikwete ana nyumba lakini ameongezewa nyingine na serikali ili neno la Mungu litimie.
Na kisha kila mmoja atatoa hesabu mbele ya Mungu siku itakapofika.
Basi Yesu akasema, Kila aliyenacho ataongezewa na awe navyo vingi na yule asiyenacho atanyang'anywa hata kile kidogo "anachodhani" anacho - Kitabu cha Mathayo (25:29)
Mungu wabariki Watanzania!
Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
www.jamiiforums.com