Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,018
- 173,668
Hahahhahastarlet ina endana na uyo mzee ata kwa suraView attachment 1779060
Hahahhahastarlet ina endana na uyo mzee ata kwa suraView attachment 1779060
Ndio maana hata wewe umeongezewa MATUSI ili uwe nayo mengi!... acheni tafsiri potofu! Marko 4:25 ni hitimisho la Sura nzima ya 4 ambapo Bwana Yesu alikuwa amemaliza kuwafundisha wanafunzi wake kwa mifano kadhaa! Mstari huo unalenga moja kwa moja tafsiri ya kiroho naona "washenzi" mnataka kuutumia kuhalalisha uporaji wa rasilimali za taifa!
... rudi kwenye maana halisi iliyokusudiwa na maandiko usilete upotoshaji hapa!Ndio maana hata wewe umeongezewa MATUSI ili uwe nayo mengi!
Tunaongezewa vyote vya rohoni na mwilini!... rudi kwenye maana halisi iliyokusudiwa na maandiko usilete upotoshaji hapa!
Hakuna haja ya kurusha ngumi au matusi, wewe tufafanulie maana halisi unayoifahamu, tofauti na kilichoandikwa kwenye mistari hiyo ya biblia....... kazi iendelee.... rudi kwenye maana halisi iliyokusudiwa na maandiko usilete upotoshaji hapa!
Ahsante sana bwashee.Hakuna haja ya kurusha ngumi au matusi, wewe tufafanulie maana halisi unayoifahamu, tofauti na kilichoandikwa kwenye mistari hiyo ya biblia....... kazi iendelee.
Itapendeza kama Wataongezewa na Mlima kilimanjaro,Mbuga za Wanyama na ikibidi Bahari ya Hindi na Maziwa yote ila biblia hiyo hiyo inasema kila kitu kwa KIASIAmina
Kiasi maana yake ni control/ mudu.Itapendeza kama Wataongezewa na Mlima kilimanjaro,Mbuga za Wanyama na ikibidi Bahari ya Hindi na Maziwa yote ila biblia hiyo hiyo inasema kila kitu kwa KIASI
Mwinyi ni mzee ambaye huwezi kusikia anatetea kundi la watu wasio na faida kwake kabisa.Ni kweli haka kazee uwezo wake wa kupambanua mambo ni mdogo sana.
Wakati wa mwendazake kalikuwa na mtazamo wa kuvunja katiba eti mwendazake afie madarakani.
Kwahiyo hata kwenye utawala wake kama kangekuwa na kofia mbili kasingetoka madarakani. Lkn Nyerere alikanyuma uenyekiti kakawa powerless.
Bwashee umezaliwa mwaka gani?Ni kweli haka kazee uwezo wake wa kupambanua mambo ni mdogo sana.
Wakati wa mwendazake kalikuwa na mtazamo wa kuvunja katiba eti mwendazake afie madarakani.
Kwahiyo hata kwenye utawala wake kama kangekuwa na kofia mbili kasingetoka madarakani. Lkn Nyerere alikanyuma uenyekiti kakawa powerless.