Kama ni gari ya chini kwa Mzee Mwinyi, kwanini isiwe IST au Fun Cargo za bei rahisi?

Kulingana na hali halisi ya nchi yetu ya umasikini ningeshauri kuliko kumpa Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi Benzi ya milioni 300 ambayo nasikia hata hivyo ameikataa bora tungempa zawadi ya gari aina ya IST au Fun cargo ambazo ni za chini zaidi kwa urefu na bei ni nafuu. Ni ushauri wangu tu.

View attachment 1778776View attachment 1778777

Rais wa Uruguay mstaafu Jose Mujica enzi ya urais wake (2010 - 2015) alikuwa anatembelea Voxwagen.

View attachment 1778844

Aliopostaafu alipewa zawadi ya tractor.

View attachment 1778855
Nyie mataga mbona hamlalamiki wakurugenzi 160 nchi nzima kununua magari ya 300 mpaka 450 .milioni !!?? Mwacheni mama kazi iendelee
 
Kulingana na hali halisi ya nchi yetu ya umasikini ningeshauri kuliko kumpa Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi Benzi ya milioni 300 ambayo nasikia hata hivyo ameikataa bora tungempa zawadi ya gari aina ya IST au Fun cargo ambazo ni za chini zaidi kwa urefu na bei ni nafuu. Ni ushauri wangu tu.

View attachment 1778776View attachment 1778777

Rais wa Uruguay mstaafu Jose Mujica enzi ya urais wake (2010 - 2015) alikuwa anatembelea Voxwagen.

View attachment 1778844

Aliopostaafu alipewa zawadi ya tract

..nyumba zinapaswa kuwa mali ya SERIKALI.

..magari pia yanapaswa kuwa mali ya SERIKALI.

..sheria ilikosea kutamka kuwa wastaafu watajengewa nyumba ziwe mali zao BINAFSI.

cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige
Sasa tutahudumia nyumba ngapi za serikali? Ikulu ipo kila mkoa ndio nyumba ya Ria's akiwa madarakani na ikulu kuu ipo Tena sasa tunazo ikulu kuu mbili.

Wacheni wapewe nyumba na magari bana
 
Kiukweli wengi wetu leo, hatukuwa tunajitambua wakati wa utawala wa Mwinyi.

Mzee Mwinyi anaonekana ni mtu asiyejali kuhusu wananchi wengine, as long as yeye kapata.

Huyu Mzee haheshimu wala haoni umuhimu wowote kuhusu sheria wala katiba ilimradi ziko upande wake.

Kina Warioba ingawa hawajazeeka sana lakini at least wanaweza kusimamia wanachosema.

1- Wakati wa utawala wa Magu alishawishi zaidi ya mara mbili kuhusu katiba ivunjwe ili Magu aendelee na madaraka.

Binafsi nilidhani ni kwasababu ya uzee, ila baada kuandika kwenye kitabu chake kujutia kuliachis uhuru bunge kuhusu kundi la G55 nimegundua ni hulka yake

2- Mzee Mwinyi rafiki yake ni yule mwenye nacho, mwenye uwezo wa kumpa anachotaka.
Hapa naweza kusema hana tofauti na Sheikh wa Mkoa wa Dar. Mwinyi alimkana kabisa January Makamba baada ya January na familia yake kukosana na Jiwe.

Kwa mantiki hii, sioni ni kwa namna gani tungesalimika kama Mwinyi angekuwa na maamuzi enzi hizo. Maana anaonekana siyo mzee mwenye kuridhika kabisa.
sina cha kuongeza, umemaliza kila kitu. yule mzee issue ya january alionesha mapungufu makubwa
 
Bwashee umezaliwa mwaka gani?

Nyerere alimnyima Mwinyi uenyekiti?!!!
Tusaidie mkuu, mm sikuwepo kiukweli. Lkn naambiwa mzee Mwinyi ndiye rais pekee ambaye hakuwa mwenyekiti wa chama. (Sikubishii mkuu kama naeleza nilichosimuliwa).

Inasemekana hata kuna vikao vya chama Nyerere alikuwa na uwezo wa kusema "naomba John (waziri mkuu enzi za Mwinyi)" atoke humo kabla sijaingia. Yasemekana hii iliwezekana kwasabb Nyerere alikuwa mwenyekiti.

(Sina hakika lkn mkuu)
 
Hakuwa na tamaa hata Nyerere walitaka kumjengea nyumba kubwa ya ghorofa Butiama akawaambi yeye sio tembo.
Nyerere alikaa madarakani 26 yrs nadhani unakosea kumlinganisha na president wa Uruguay.
 
Mzee Mwinyi ni Chuma kigumu, hivyo vitu vigumu vyenye asili kama aliyonayo ndivyo umfuata -(Marcedesi-Benz), hivyo vyuma vingine chakavu ni vya kina sisi kina Chid -Benz.
 
..nyumba zinapaswa kuwa mali ya SERIKALI.

..magari pia yanapaswa kuwa mali ya SERIKALI.

..sheria ilikosea kutamka kuwa wastaafu watajengewa nyumba ziwe mali zao BINAFSI.

cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige
JK,

Ingekuwa hivyo wala tusingepiga kelele, kinyume chake mimi wala sioni mantiki ya hizo nyumba!!

Anyway, nafahamu wapo wanaojaaliwa umri mrefu kama Mzee Mwinyi kiasi kwamba lau kama angekuwa amejengewa, let's say, by 2000, tungesema angekuwa ameishi kwenye hiyo nyumba kwa miaka 20 hivi sasa, and counting!!

Kinyume chake, naziona hizi nyumba ni kana kwamba wanajengewa watotokama sio wajukuu wa marais badala ya kujengewa marais!!

Nashindwa kuelewa Serikali ya Mkapa ilitumia busara ipi kuanzisha hii sheria... si ajabu walitumia excuse ya Mwalimu ambapo JKT wakalazimika kwenda kumjengea nyumba Butiama ingawaje mwenyewe hakufurahishwa na hilo jambo.
 
Back
Top Bottom