Kabla ya kupunguza gharama za kuingiza umeme kuwa 27000, wangefanya huduma hiyo kuwa ya haraka kwa bei ya zamani

Lakini wanapata jeuri kwakuwa wana uhakika wa mshahara mwisho wa mwezi, wangeambiwa wanalipwa kwa kwa idadi ya wateja wanaowafungia umeme wangetia adabu
Ingekuwa bora zaidi
 
Tshs 2,700 - 10,000 kwa mita moja ya LUKU!
Sidhani kama uko sahihi mkuu.
Mita ya LUKU (Single Phase) si chini ya Tshs 80,000/-
Nadhani Shirika hili limeanza kutoa huduma sasa.
Kama tunaweza kulipia Service Line kwa Tshs 27,000/- tu wakati mita inanunuliwa kwa Tshs 80,000, hii ni hatua kubwa sana ya huduma.
Hapo tunaongelea mita tu bila kuhusisha vifaa vingine kama: waya, nguzo, vikombe, bracket, labour, transport & contingencies!
 
Natamani inchi yangu ijifunze kuangalia kipaumbele cha kero!

Ni kweli kabisa gharama za kuingiza umeme hazitakiwi kuwa kubwa namna ile kutokana na mazingira kwamba Luku na miundo mbinu si Mali ya mteja Bali ni Mali ya mtoa huduma!

Lakini kutokana na mipangilio mibovu, pamoja na kuwepo ile gharama kubwa ya awali lakini wateja walioomba umeme walikaa miezi na miezi kusubiri kuunganishiwa umeme huo!
Hivyo ukitazama hapo kero haikuwa bei kubwa mjini, Bali kero kubwa ilikuwa kwenye ucheleweshwaji wa huduma!

Hivyo kitaalam katika utatuzi wa kero; kama kweli serikali inania njema na wananchi ingehakikisha inaboresha huduma kwanza kiasi cha kufunga luku ndani ya siku 1,2 au 3 mwisho, kwa bei ile ile kubwa ya awali! Halafu ndipo baadae waje na mpango mkakati wa kupunguza bei mijini!

Nasema hivyo kwasababu;

1. Kama bei kubwa walishindwa kuitumia kwa faida ya kutoa huduma bora na haraka, sasa hivi watawezaje kwa bei ya 27000? (Simple logic)..

Yaani ni kama vile magari ya mwendokasi yatangaze kupakia bure wakati pamoja na kulipia nauli msongamano ni mkubwa itakuwaje ikiwa bure watu si watakalia hadi kiti cha dereva?

2. Ukitembelea China na south afrika watengenezaji/ Viwandani wanauza luku kwa bei ya chini kabisa kati ya 2700 ~10000 kulingana na kiwanda, Je, selikali ilishindwaje kubajeti pesa za wateja wa awali walizolipia gharama kubwa mijini ili iagize Luku nyingi za kutosha ili ziwe zinasubiri wateja, badala ya wateja kusubiri Kuwekewa luku kwa mda mrefu? Haioni kwamba kipaumbele kilikuwa ni huduma na si bei?

3. Ni matarajio yangu kama serikali wangekuwa serious na bei ile ile kubwa ya mwanzo! Wangeweza hata kulink na halimashauri ili mtu anapoanza ujenzi wa msingi tu Dawasco na Tanesco wamtembelee mteja na kumsogezea huduma ya mda, halafu akikamilisha ujenzi wanamfungia permanent. Ujenzi unahitaji umeme kwa ajili ya kukata nondo,drill na kupump maji! Hivyo hata mauzo ya Unit yangeongezeka!

4. Kwa bei ile ile ya zamani mijini, wangeweza kuwachukulia masaveyor mikopo ya vigari vidogo vyenye 4wheel (Suzuki Jimmy) ambavyo vingekuwa rasmi kwa ajili ya kufanya savey tu, kwanza vinatumia mafuta kidogo, pia wangevifunga GPS, hivyo zoezi la savey lingekuwa rahisi mno kuwafikia wateja!

Yapo mengi sana kuwashauri...lakini kusema ukweli KUPUNGUZA BEI YA KUUNGANISHA UMEME PASIPO KUYAFANYIA KAZI HAYO mmejidanganya!

Serikali itaaibika kwa msongamano mkubwa utakajitokeza!
Halafu mahitaji yatakuwa Mara NNE zaidi ya mwanzo! Maana yake automatically na mda wa kusubili LUKU utakuwa Mara dufu hadi mwaka au miaka miwili!

MTAWAPA KAZI BURE TAKUKURU KUFUATILIA RUSHWA zitakazojitokeza kwa mipango mibovu ya kisiasa!

Mijini kero kubwa haikuwa bei kwa sasa, Bali huduma kwanza!

Na hayo ili yawezekane!
Tanesco walitakiwa wajiendeshe kwa makusanyo wanayopata, ili wabajeti wasipange foleni hazina kusubiri pesa zilizolipwa na wateja wao kwa ajili ya huduma!

Maana inasemekana pesa tunazolipia huduma ya umeme huwa zinaenda hazina, zinapangiwa kujenga barabara na huduma nyinginezo kama madawa n.k
( wanajikopesha kwanza pesa zetu kufanya mengine)

Halafu tanesco hugawiwa fungu kidogo kidogo ndiyo maana wanashindwa kuleta vifaa kwa wakati!
Hivyo ilitakiwa Tanesco wangesimamia fungu lao la pesa! Ili wao ndiyo watume hazina kama faida inayobaki!.
Mfano! Mteja anaellipia asilimia 30% tu itumwe hazina, nyingine inunue vifaa fasta apelekewe mteja aliyelipia huduma!
siku ukijenga ndio utajua ghalama za wiring zipoje, na unafuu huo wa 27000 kwetu sisi wajenzi, mpuuzi wewe
 
Zoezi la 27000 halina logic ya kiutendaji uwezekano wa kubuma ni mkubwa sana!

Inakuwa kama MTU aliyelala uchi na mwanamke usiku kucha kashindwa kula mzigo, sasa kumekucha mbele ya macho ya watu kibao ndo anajitutumua kumpetipeti ili watu waone anaweza! Kumbe hanithi mkubwa!
Nyie wapuuzi kula kulala hamuwezi kuona nafuu ya bei kupunguzwa ya kuvuta umeme
 
2. Ukitembelea China na south afrika watengenezaji/ Viwandani wanauza luku kwa bei ya chini kabisa kati ya 2700 ~10000 kulingana na kiwanda, Je, selikali ilishindwaje kubajeti pesa za wateja wa awali walizolipia gharama kubwa mijini ili iagize Luku nyingi za kutosha ili ziwe zinasubiri wateja, badala ya wateja kusubiri Kuwekewa luku kwa mda mrefu? Haioni kwamba kipaumbele kilikuwa ni huduma na si bei?
kama ni TSh, hakuna mita inauzwa iyo bei, labda kama umesahau sifuri moja

CIU tu peke yake ukipoteza kuipata mpya ni 150k

mita zinatengenezwa hapahapa Tz na Baobab, Mbezi Juu, hazitoki nje
 
kama ni TSh, hakuna mita inauzwa iyo bei, labda kama umesahau sifuri moja

CIU tu peke yake ukipoteza kuipata mpya ni 150k

mita zinatengenezwa hapahapa Tz na Baobab, Mbezi Juu, hazitoki nje
Kwani redio China kiwandani inauzwa sawa na kariakoo mkononi?

Hata magari huko japani yanauzwa bei ndogo sawa na bei ya spare kariakoo!
 
Kwani kunatofauti gani kubwa kwenye radio ya kudaka frequency na mita ya umeme si ni Yale Yale tu material
mita ya umeme ina vitu vifuatavyo ndani:

1. dc power supply unit (SMPS)
2. filtering circuits
3. current transformer na signal conditioning circuit zake
4. voltage transformer na signal conditioning circuit zake
5. STM32 micro-controller
6. 433MHz RF module ( transmitter na receiver yake)
7. CIU - user interface
8. RTC module kwa ajili ya date/time
9. GSM/GPRS module, kuna slot ya kuweka sim card japo pako empty
10. 63A Relay module
11. LCD display ndani ya mita yenyewe
12. magnetic anti-tampering circuits
13. LiPo battery na buzzer
14. coin cell kwa ajili ya RTC hapo juu
15. high tensile metal seal
16. keypad membrane
17. ongezea na lile housing

mkuu ona hata aibu basi

aya tuje kwenye radio:

1. dc power supply unit (linear)
2. tuning circuit + antenna yake
3. amplifier
4. speaker
5. baadhi zina USB/SD card interface,
 
mita ya umeme ina vitu vifuatavyo ndani:

1. dc power supply unit (SMPS)
2. filtering circuits
3. current transformer na signal conditioning circuit zake
4. voltage transformer na signal conditioning circuit zake
5. STM32 micro-controller
6. 433MHz RF module ( transmitter na receiver yake)
7. CIU - user interface
8. RTC module kwa ajili ya date/time
9. GSM/GPRS module, kuna slot ya kuweka sim card japo pako empty
10. 63A Relay module
11. LCD display ndani ya mita yenyewe
12. magnetic anti-tampering circuits
13. LiPo battery na buzzer
14. coin cell kwa ajili ya RTC hapo juu
15. high tensile metal seal
16. keypad membrane
17. ongezea na lile housing

mkuu ona hata aibu basi

aya tuje kwenye radio:

1. dc power supply unit (linear)
2. tuning circuit + antenna yake
3. amplifier
4. speaker
5. baadhi zina USB/SD card interface,
Hata kwenye radio hivyo vipo, tena na batri rechargeable wanakuwekea hakuna tofauti kubwa ya material!
 
Natamani inchi yangu ijifunze kuangalia kipaumbele cha kero!

Ni kweli kabisa gharama za kuingiza umeme hazitakiwi kuwa kubwa namna ile kutokana na mazingira kwamba Luku na miundo mbinu si Mali ya mteja Bali ni Mali ya mtoa huduma!

Lakini kutokana na mipangilio mibovu, pamoja na kuwepo ile gharama kubwa ya awali lakini wateja walioomba umeme walikaa miezi na miezi kusubiri kuunganishiwa umeme huo!
Hivyo ukitazama hapo kero haikuwa bei kubwa mjini, Bali kero kubwa ilikuwa kwenye ucheleweshwaji wa huduma!

Hivyo kitaalam katika utatuzi wa kero; kama kweli serikali inania njema na wananchi ingehakikisha inaboresha huduma kwanza kiasi cha kufunga luku ndani ya siku 1,2 au 3 mwisho, kwa bei ile ile kubwa ya awali! Halafu ndipo baadae waje na mpango mkakati wa kupunguza bei mijini!

Nasema hivyo kwasababu;

1. Kama bei kubwa walishindwa kuitumia kwa faida ya kutoa huduma bora na haraka, sasa hivi watawezaje kwa bei ya 27000? (Simple logic)..

Yaani ni kama vile magari ya mwendokasi yatangaze kupakia bure wakati pamoja na kulipia nauli msongamano ni mkubwa itakuwaje ikiwa bure watu si watakalia hadi kiti cha dereva?

2. Ukitembelea China na south afrika watengenezaji/ Viwandani wanauza luku kwa bei ya chini kabisa kati ya 2700 ~10000 kulingana na kiwanda, Je, selikali ilishindwaje kubajeti pesa za wateja wa awali walizolipia gharama kubwa mijini ili iagize Luku nyingi za kutosha ili ziwe zinasubiri wateja, badala ya wateja kusubiri Kuwekewa luku kwa mda mrefu? Haioni kwamba kipaumbele kilikuwa ni huduma na si bei?

3. Ni matarajio yangu kama serikali wangekuwa serious na bei ile ile kubwa ya mwanzo! Wangeweza hata kulink na halimashauri ili mtu anapoanza ujenzi wa msingi tu Dawasco na Tanesco wamtembelee mteja na kumsogezea huduma ya mda, halafu akikamilisha ujenzi wanamfungia permanent. Ujenzi unahitaji umeme kwa ajili ya kukata nondo,drill na kupump maji! Hivyo hata mauzo ya Unit yangeongezeka!

4. Kwa bei ile ile ya zamani mijini, wangeweza kuwachukulia masaveyor mikopo ya vigari vidogo vyenye 4wheel (Suzuki Jimmy) ambavyo vingekuwa rasmi kwa ajili ya kufanya savey tu, kwanza vinatumia mafuta kidogo, pia wangevifunga GPS, hivyo zoezi la savey lingekuwa rahisi mno kuwafikia wateja!

Yapo mengi sana kuwashauri...lakini kusema ukweli KUPUNGUZA BEI YA KUUNGANISHA UMEME PASIPO KUYAFANYIA KAZI HAYO mmejidanganya!

Serikali itaaibika kwa msongamano mkubwa utakajitokeza!
Halafu mahitaji yatakuwa Mara NNE zaidi ya mwanzo! Maana yake automatically na mda wa kusubili LUKU utakuwa Mara dufu hadi mwaka au miaka miwili!

MTAWAPA KAZI BURE TAKUKURU KUFUATILIA RUSHWA zitakazojitokeza kwa mipango mibovu ya kisiasa!

Mijini kero kubwa haikuwa bei kwa sasa, Bali huduma kwanza!

Na hayo ili yawezekane!
Tanesco walitakiwa wajiendeshe kwa makusanyo wanayopata, ili wabajeti wasipange foleni hazina kusubiri pesa zilizolipwa na wateja wao kwa ajili ya huduma!

Maana inasemekana pesa tunazolipia huduma ya umeme huwa zinaenda hazina, zinapangiwa kujenga barabara na huduma nyinginezo kama madawa n.k
( wanajikopesha kwanza pesa zetu kufanya mengine)

Halafu tanesco hugawiwa fungu kidogo kidogo ndiyo maana wanashindwa kuleta vifaa kwa wakati!
Hivyo ilitakiwa Tanesco wangesimamia fungu lao la pesa! Ili wao ndiyo watume hazina kama faida inayobaki!.
Mfano! Mteja anaellipia asilimia 30% tu itumwe hazina, nyingine inunue vifaa fasta apelekewe mteja aliyelipia huduma!
Mnazunguuka...kuna vtu vinataka kaul thabit kutekelezeka ...project hyo ya tanesco iliwezekanaje kipind cha mwamba na sasa ishindikane..kalemani aliwezaje?
 
Mnazunguuka...kuna vtu vinataka kaul thabit kutekelezeka ...project hyo ya tanesco iliwezekanaje kipind cha mwamba na sasa ishindikane..kalemani aliwezaje?
Haijawahi kuwezekana! Zoezi lilicorrupse mapema kabisa kabla!
 
Back
Top Bottom