Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,989
- 2,954
Zoezi la 27000 halina logic ya kiutendaji uwezekano wa kubuma ni mkubwa sana!
Inakuwa kama MTU aliyelala uchi na mwanamke usiku kucha kashindwa kula mzigo, sasa kumekucha mbele ya macho ya watu kibao ndo anajitutumua kumpetipeti ili watu waone anaweza! Kumbe hanithi mkubwa!
Ni wapi huko huwa mnakula mzigo mbele ya watu? Mifano mingine ni ya kipumbavu kutajwa humu!