EXTERMINATOR
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 343
- 90
Hawa Startimes vipi? Nimelipia trh 13Jan kufika trh 10Feb Wamekata. Ina maana mwezi umeisha au hesabu zangu hazipandi? Aaagh!
Hawa Startimes vipi? Nimelipia trh 13Jan kufika trh 10Feb Wamekata. Ina maana mwezi umeisha au hesabu zangu hazipandi? Aaagh!
TBC huwa wanaweka hizo namaba za TCCL ili watoto wa wakuu wa wilaya wachangie mada zao.
Ndugu wana jamii Forum,
Mwenzenu natatizwa na hii huduma ya ving'amuzi hususani ss wa kada ya chini, natumia star times, lakini wananiker sana, hawana channel za maana. Napenda kuuliza nani anatumia za TING na Digitech na huduma zao zikoje.
Msaada please
Kwel hiyo sikuigundua asante kwa kunishtua kumbe wamagamba ndio walivyofanyaWamewaiga ccm kupunguza siku mbili, si unajua hata sisi tulisherehekea kuzaliwa kwa chama tarehe 3/2 badala ya 5/2...!?
Star tv tayari bado ITV na Ch10Hivi ni kwa nini DSTV wanaonyesha TBC tu hawaonyeshi ITV, Channel 10, Star TV etc