Kabla sijamaliza Wamekata!

Kabla sijamaliza Wamekata!

mimi natumia zuku, local zilizopo ni 3 tu clouds, TBC1 na chanel 10.
 
je continento havijaingia sokoni, staatimes picha zinaganda, ukiangalia mpira ndo balaa kabisa
 
yani changu kilinitia hasira nikagonga ngumi kikapondeka na kuvunjika lock ,ndo kinaonyesha hahaha

so ukikichapa ngumi picha inaonekana kwa uangavu zaidi?( HD)

coz hiki changu ninanitia kinyaa, nafikiria dst
 
mkuu inasemekana wanahesabu mwezi wa kalenda, sio wa mahesabu

na wanakupa siku 7 za kulipa ukizid hapo wanakula kichwa
 
Back
Top Bottom