NakuliliaTanzania
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 555
- 9
Mkuu Mkandara,
Apo juu naona umeongelea mambo mengi kwa wakati mmoja...
HOja ya mabaraza ya jadi na mahakama ya kadhi...mi sijawahi kusikia katika ukoo wangu tukiitaka serikali itambue UWEPO wa baraza la ukoo, toofauti na hilo la mahakama ya kadhi,
Suala jingine ni kuwa hapa tunajadili hoja...na sio udini manake wengine hawana dini kabisa...kwa hiyo hatuongei kutokana na emotions zozote zile, no hoja kwa hoja
Jingine ni kuwa kama mswada inabidi upelekwe bungeni mkuu, utakwepaje kutumia gharama za serikali kuanzaia kuuandaaa hadi posho za wabunge watakaokaa kuujadili badala ya kujadili mambo mengine? (Hapa simaanishi kuwa hili halifai kujadiliwa)
Kwa hiyo japo sijaauona mswada wenyewe kuwa UNAOMBA FEDHA, ZA KUUENDESHA, akili yangu kidogo inanituma lazima kutakuwa na gharama zitakazobebwa na serikali ikiwa utapita katika mkondo huo!
Apo juu naona umeongelea mambo mengi kwa wakati mmoja...
HOja ya mabaraza ya jadi na mahakama ya kadhi...mi sijawahi kusikia katika ukoo wangu tukiitaka serikali itambue UWEPO wa baraza la ukoo, toofauti na hilo la mahakama ya kadhi,
Suala jingine ni kuwa hapa tunajadili hoja...na sio udini manake wengine hawana dini kabisa...kwa hiyo hatuongei kutokana na emotions zozote zile, no hoja kwa hoja
Jingine ni kuwa kama mswada inabidi upelekwe bungeni mkuu, utakwepaje kutumia gharama za serikali kuanzaia kuuandaaa hadi posho za wabunge watakaokaa kuujadili badala ya kujadili mambo mengine? (Hapa simaanishi kuwa hili halifai kujadiliwa)
Kwa hiyo japo sijaauona mswada wenyewe kuwa UNAOMBA FEDHA, ZA KUUENDESHA, akili yangu kidogo inanituma lazima kutakuwa na gharama zitakazobebwa na serikali ikiwa utapita katika mkondo huo!