Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

"Itakuwaje tuanze kujadili masuala ya dini katika nchi ambayo haiongozwi kwa misingi ya dini?" alihoji Nyalandu na kuongeza:

"Serikali kimsingi hairuhusiwi kuwa na dini, lakini pia hairuhusiwi kusaidia uanzishwaji wa chombo chochote au mamlaka yoyote, yenye misingi ya dini ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."

upande mwingine kikatiba ohhh..serikali haina dini na hivyo kusadia taasisi ya dini ni kiuka katiba, upande mwingine tena ohh serikali itoe misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini. kigezo gani kinatumika kuzisamehe taasisi za dini wakati serikali haiana dini na kusadia ni kuvunja katiba? kwanini hizo taasisi za dini zisiwe treated kama NGO zingine? unasamehe kodi kwa kigezo cha dini au umuhimu wa kinacho ombewa msamaha?

Aliyekwenda mbali zaidi ni Nyalandu aliyetangaza nia ya kuwasilisha muswada binafsi kulitaka bunge kuzuia mjadala wa suala lolote la dini.

Nyalandu alimkumbuka Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere alipokataa lilipoibuka suala la Zanzibar kujiunga na OIC

Sasa na hawa wa Zenji hoja yao ya kujiunga na OIC wapeleke wapi kama siyo bungeni? au waachiwe waamue wenyewe kwenye baraza la wawakilishi? Hivi Nyerere amekuwa marking scheme ya kila kitu? cant we think beyond Nyerere? Kipindi cha utawala wa Nyerere, Tanzania ilikuwa kama North Korea na akili za waTZ wengi zilikuwa zimeganda kama zawanorth Korea vile, every thing is Mr. Kim. Tanzania imebadilika, utawazuia vipi watu kujadili masuala yao ya msingi?
 
Ukianza kukataza watu kuongelea mambo fulani bungeni kwa sababu ya "national interest", kesho keshokutwa uta fix uchaguzi Zanzibar kwa sababu hizo hizo za "national interest".Hii sumu ya totalitarianism in the veil of "national interest" haina mpaka.
 
Exuper Kachenje, Dar na Kizitto Noya, Dodoma

HOJA ya Tanzania kujiunga na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kiislamu (OIC) na mijadala mingine...

Gazeti limejiamulia kuandika kwamba Organization of the Islamic Conference tafsiri yake ni sawa na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kiislamu... Press ya TZ inaongoza kwa vilaza katika fani zote nchini.
 
Gazeti limejiamulia kuandika kwamba Organization of the Islamic Conference tafsiri yake ni sawa na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kiislamu... Press ya TZ inaongoza kwa vilaza katika fani zote nchini.

Toa tafsiri yako mkubwa tuone kama Waislam utawaondoa na muungano wao huo .Tusaidie tafadhali
 
Ninavyo jua dini ni kwa ajili ya mafundisho ya peponi Kukatwa mkono Du! babkubwa hiyo
 
Lunyungu,
Unajua mkuu wangu kwa hoja zako kuna wakati hufikiria labda Chadema is not where I belong!
 
Waislamu wanakuwa hivyo kwa sababu ya malezi yao. Malezi yao ya kidini hayawasaidii kukua kifikra na kujikomboa. They are indoctrinated. Hata wakisoma namna gani wanabaki walewale. Tena wote wako mtindo mmoja utadhani mapacha wa mama mmoja na baba mmoja. Ajabu na kweli! Wanahitaji kupiga hatua kwa kweli, kutoka nje ya wao wenyewe na kujifunza kupokea wengine walio tofauti na wao

Mimi ni Muislamu. I dont think if this describes me and alot of other muslims. I see this thinking as dangerous and it tells alot about the state of our society! Whither Tanzania
 
kuna watu wengine humu jf ni wa kuwavumilia

nilimsikiliza nyalandu, pamoja na Teddy Kasela-Bantu na Shibuda. walikuwa na point. na hii tunaiona hata kwenye mijadala yetu kuwa hatuwezi kuafikiana kirahisi.

tunamambo mengi ya kimaendeleo ya kuyajadili, sasa haya mambo ya Kadhi na OIC ambayo kimsingi yanashindwa kutafutiwa ufumbuzi kirahisi basi yaachwe, tuendelee na mambo mengine. let's be creative and be great thinkers
 
Masikini waislamu Zanzibar na huu unaoitwa Muungano.
 
kuna watu wengine humu jf ni wa kuwavumilia

nilimsikiliza nyalandu, pamoja na Teddy Kasela-Bantu na Shibuda. walikuwa na point. na hii tunaiona hata kwenye mijadala yetu kuwa hatuwezi kuafikiana kirahisi.

tunamambo mengi ya kimaendeleo ya kuyajadili, sasa haya mambo ya Kadhi na OIC ambayo kimsingi yanashindwa kutafutiwa ufumbuzi kirahisi basi yaachwe, tuendelee na mambo mengine. let's be creative and be great thinkers
Mkuu hatuwezi kuwa Crerative na great thinkers ikiwa tunashindwa madogo ya hesabu za chini ya mwembe 2+2=4. Ni sawa kwa serikali kuingia Mkataba na MOu kisiri bila kujadiliwa lakini sii vizuri swala la OIC kujadiliwa kwani haliwezi kukubalika..
 
Last edited:
Masikini waislamu Zanzibar na huu unaoitwa Muungano.
wewe Poa moto kumbe huwaelewi Wa-Zenj!!!!. Kule Mahkama ya Kadhi ipo. Na OIC itakuwepo-kama unazungumzia Zanzibar- ile inayoishia Chumbe.
 
wewe Poa moto kumbe huwaelewi Wa-Zenj!!!!. Kule Mahkama ya Kadhi ipo. Na OIC itakuwepo-kama unazungumzia Zanzibar- ile inayoishia Chumbe.

Zanzibar ni Nchi ama ule mkoa ? Maana hakuna Nchi inaitwa Zanzibar
 
Zanzibar ni Nchi ama ule mkoa ? Maana hakuna Nchi inaitwa Zanzibar

kwani Zanzibar nini? ni nchi ile tena kwa taarifa yako Zanzibar inajulikana kuliko hata Tanzania ama Tanganyika.Mbona twapenda kuijifurahisha
 
Chadema, kinaonekana kushindwa kabisa ku-address issues zinazo wakera wananchi na taifa, wanakimbilia very basic na simple issues

Chama na viongozi imara, wanatakiwa ku-tackle issues simple na ngumu, ku-address mambo yanayokera jamii

CHADEMA, hawezi ku-deal na mult task, ufisadi pekee sio kero ya jamii, kunamengine mengi, inabidi waonyese msimamo wao, sio kufinika issues under carpet

Viongozi wa Chama hiki nimeshaanza kuwa na wasiwasi nao juu ya uwezo wao, Ukimwya sio solution. Keep your policy clear, acheni kujikanyaga, kure zipomitaani wananchi wanatafuta chama cha kuwapa sababu CCM hawatekelezi ahaadi walizotoa, CHADEMA lazima mtuambia policy yenu kuhusu Kadhi Court, kukaa kimwya nikuonyesha weakness za Chama na uongozi.

Hivi policy zisipozungumzia Kadhi basi haziko clear? Madrassa zinaharibu sana vichwa jamani! Kila chama kina sera zake. Unaweza kuanzisha chama ukaweka sera zako za kikadhi kadhi kuanzia mwanzo mpaka mwisho uone kama utaambulia kura zaidi za wana madrassa wenzako! Kawaulize CUF kilichowasibu Tanzania Bara hawana mbunge hata mmoja!
 
Have we JF reached at this point ? What a comment ?
You have said it Lunyungu. Hii cancer ya udini imetoka wapi? Haya mawazo ya udini yametoka wapi? Tuwe waangalifu sana maana kwa mwelekeo huu, sijui tutafika wapi!
 
CHADEMA kama chama kinachojiita chama mbadala ni lazima watu wajue msimamo wao kwenye hizi issues

huwezi kupewa nchi huku hutaki kueleza msimamo kwenye masuala ya kitaifa kama haya
 
muisla alielimika yupi huyo? acha ujinga sio kama mkiristo wanaopigania ushoga. waislam wote wenye kujua wapi watafika siku ya malipo wanataka mahakama ya kadhi. lkn akina Nyie wanafiki, wapenda starehe, waongo, wajinga na wapumbavu ndio msiotaka mahakama ya kadhi

Hata usipoyatumia hayo maneno yenye rangi nyekundu bado ungeeleweka tu Mkuu!
 
Mimi ni Muislamu. I dont think if this describes me and alot of other muslims. I see this thinking as dangerous and it tells alot about the state of our society! Whither Tanzania

Leo umethibitisha chuki za kidini zilizopo humu?mimi pia leo nilijaribu kumjibu Mzee Mtei kutokana na kutokuwa na elimu ya Uchumi iliyopelekea BOT kwenda mlama wakati wa utawala wake kama Gavana, majibu niliyopewa kuwa ni mdini na nisimbugudhi mzee,swali kama yeye alijijua Mzee ALITEGEMEA aandike pumba zake asijibiwe?

Mheshimiwa Zubeir Zitto Kabwe nimekuwa nikikukosoa pale ninapoona tofauti na wewe unavyofikiri kwa mara nyingi haswa suala la wewe kutogombea 2010.

lakini sikuwahi kuambiwa ni Mdini ILA kumgusa Mzee Mtei mtalaam wa HISTORY aliyechukua ugavana huku akiwa hana chembe ya elimu ya Uchumi,nimeshtumiwa na kutukanwa sana,sijui tunakwenda wapi?yaani nikimuhoji ZITTO sawa ila nikihoji Mbowe,Shayo,Mtei na Membe BASI ni mdini.
 
Back
Top Bottom