Ncha
JF-Expert Member
- Jul 8, 2008
- 254
- 24
Kama chama mbadala na chenye nguvu msimamo wao ni lazima ujulikane. Hatuwezi kuwa na chama kinachotarajiwa kishike nchi siku moja halafu kwenye mambo ya msingi wanakaa kimya.
Hata kama ni msimamo ambao hautawafurahisha wote ila lazima ujulikane. Nafikiri hii ni ishu nzuri ya kuonyesha maamuzi yao ya aina nyingine
Hata kama ni msimamo ambao hautawafurahisha wote ila lazima ujulikane. Nafikiri hii ni ishu nzuri ya kuonyesha maamuzi yao ya aina nyingine