Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,333
- 17,873
Hapa hapahitajiki ushabiki wa kidini, hili jambo kama hatutakuwa makini halijadiliki hata kidogo, maana hili ni suala ambalo linahusu taifa kwa ujumla, amani ikitoweka hapatakuwepo cha mwisalam au mkiristo, so let us be careful kipindi tunajadili hii maada tamu,ila pinda ame make it very clear, hizo mahakama hazitahudumiwa na serikali,sass je hao mahakimu wataajiliwa na nani na watalipwa na nani, hilo ndo suala lilobaki la kujadiliwa japo kuajili siyo issue, je hizo mahakama zitaendelea kupokea misaada kwa ajili ya kuwalipa watumishi wake au la!, serikali inatakiwa kuwa makini, ikisema hakuna mahakama hiyo Tanzania, lazima iwe straight forward, na ikisema ndiyo, iwajibike kuwalipa mishara wanafanyakazi wote wa mahakama hizo.Je wakirsto watajisikiaje kama serikali ikiamua kuchukua hilo jukumu la kuwalipa mishara, hapo ndipo patakuwa patamu sana.kama wataka kura za hao ndugu zetu, wafanye mambo kwa kukurupuka, yatawatokea puani.
Mkuu Domisianus, hapo ulipogonga ndo serikali ilipojitoa, kwa hiyo kama wenzetu wakiamua kuanzisha mahakam hizo wajue mzigo wa kuzigharimia, ikiwepo kuajiri makadhi nchi nzima ni juu yao, kwa sababu maaskofu na mapadri/wachungaji hawalipwi na serikali, na wala hwajaomba serikali iwalipe!
Huo ndo msingi wa hoja ya Pinda, kwa maoni yangu. Ni suala la kuamua tu...kama wanaweza kugharimia...rukksa,, kama hawawezi..haya wataangalia utaratibu mwingine, muhimu katiba ya nchi iheshimiwe,basi!