Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Muda sasa umefika wa kila mtu kubeba msalaba wake .Wakati wanalia na kuitukana Chadema kwa jina la wakabila na chama kama NGO hawakujua kwamba yale yaliyo mkumba Mtikila Tarime na yaliyo wakumba KAFU na muafaka yatawafika .Najua sasa wataanza kupita na kuzua hoja oh wapi msimamo wa Upinzani juu ya swala la Kadhi na OIC.Nasema Chadema ni chama makini endeleeni kuwapa watu Elimu na kuibana Serikali juu ya ufisadi acheni hoja ya hii ya Udini ni CCM na uroho wao .Achana wapambane maana Chadema naamini ni Chama cha wote bila ya kujali dini zao na hata kipato chao .Nina furaha kwamba hadi sasa si Chadema Bungeni wala Chadema nje jukwaani imerukia swala hili kama Mrema na TLP na KAFU na sasa CCM. Waacheni wasulibishane lakini Chama makini simamieni issues msiwe derailed .Mnanisoma hapa akina Mtei , Slaa na Mbowe , Zitto , Mrema na wengine wote wana Chadema chonde , matumaini yetu yako kwenu .Endeleeni nakumwaga Elimu na kuwafungua Watanzania masikio , kimbieni kule vijijini mkajipange huko nasi tunakuja kuwapa support .Huu ni mwiba mkali CCM inamchoma tuone atafika wapi .
 
Nakubaliana na wewe kwamba wakubaliane pembeni.

Sikubaliani kwamba mjadala ufungwe bungeni, wakitaka kuuleta bungeni waambiwe bunge ni chombo cha kiserikali na serikali haina dini, kwa hiyo si mahali muafaka.Lakini kama wana counter argument waachiwe waseme.Ninachokataa ni hii dhana ya kusema kuna vitu off limit bungeni, ni precedent mbaya ambayo inaweza kutumiwa vibaya.

Wakitaka kuileta bungeni vitokee vichwa kuishut down kwa nguvu za hoja, si kwa hoja za nguvu.


Mkuu hili jambo unalikuza na unataka kuniingiza katika mabishano ambayo mimi si mpenzi .Mbona kila kiko clear na nadhani tunasema lugha moja na ambayo Nyalandu kasema ama ufe kusemwa Bungeni ama alete hoja binafsi kupiga marufuku maana hauna connection na maslahi ya Watanzania .
 
Mkuu hili jambo unalikuza na unataka kuniingiza katika mabishano ambayo mimi si mpenzi .Mbona kila kiko clear na nadhani tunasema lugha moja na ambayo Nyalandu kasema ama ufe kusemwa Bungeni ama alete hoja binafsi kupiga marufuku maana hauna connection na maslahi ya Watanzania .

Mbona na mimi niko clear tu, kwamba haya maswala ya kidini yasipitishwe kibunge, lakini wabunge wasikatazwe kuyazungumza kwa sababu ni mfumo wa totalitarianism tu ndio unaoenda ki amri amri, mifumo yote ya kidemokrasia inaenda kwa mazungumzo, hususan ya issue nyeti kama hizi.

I don't and will never support any form or hint of totalitarianism, and this is clearly one of them.

Tutaanza na kadhi, kesho tutakuja mpaka kwenye bajeti.
 
Muda sasa umefika wa kila mtu kubeba msalaba wake .Wakati wanalia na kuitukana Chadema kwa jina la wakabila na chama kama NGO hawakujua kwamba yale yaliyo mkumba Mtikila Tarime na yaliyo wakumba KAFU na muafaka yatawafika .Najua sasa wataanza kupita na kuzua hoja oh wapi msimamo wa Upinzani juu ya swala la Kadhi na OIC.Nasema Chadema ni chama makini endeleeni kuwapa watu Elimu na kuibana Serikali juu ya ufisadi acheni hoja ya hii ya Udini ni CCM na uroho wao .Achana wapambane maana Chadema naamini ni Chama cha wote bila ya kujali dini zao na hata kipato chao .Nina furaha kwamba hadi sasa si Chadema Bungeni wala Chadema nje jukwaani imerukia swala hili kama Mrema na TLP na KAFU na sasa CCM. Waacheni wasulibishane lakini Chama makini simamieni issues msiwe derailed .Mnanisoma hapa akina Mtei , Slaa na Mbowe , Zitto , Mrema na wengine wote wana Chadema chonde , matumaini yetu yako kwenu .Endeleeni nakumwaga Elimu na kuwafungua Watanzania masikio , kimbieni kule vijijini mkajipange huko nasi tunakuja kuwapa support .Huu ni mwiba mkali CCM inamchoma tuone atafika wapi .

Bro Lunyungu Yapasa Ukue...Wewe ni mzoefu hapa JF...Unaandika kama Bata?...Weka basi paragraph uwe proffessional...hata kama waandika "makanjanja"....Fuata kanuni muhimu za kiu-andishi..Haraka ya Nini Mkuu?...Pia Hatuna chama cha KAFU...tunacho CUF....sasa sijui umefanya makusudi au haraka zako au...?

Chadema hawana haja kuwa neutral...either wakae ktk Kundi la wenye kufanya dhulma au wawe upande wa anaedhulumiwa wamtetee...!!!

Rejea kauli ya Desmond Tutu...nainukuu...
""If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. If an elephant has its foot on the tail of a mouse and you say that you are neutral, the mouse will not appreciate your neutrality". Desmond Tutu...

Sasa kazi kwako na uliowapa Ushauri!!!
 
Nyalandu anajulikana ni mdini sana na fanatic wa kilokole.

Asichokijua yeye ni kuwa sheria ni msumeno,...haya ya waislam yatapita, ila yatapokuja ya upande mwingine asije kugeuka. Kama anajua kulinda sheria na katiba ilkuaje aliwatetea wapentekosti wa DECI wakati walikua wanavunja sheria na upatu wao na mpaka leo wapo ndani. Au sheria na katiba kwake havina maana vinapogusa maslahi ya walokole wenzake?

Cheap shot as anaongozwa na chuki kwa waislamu na ndio maana akaipakazia dini kwa mambo asiyoyajua, eti wanawake hawaruhusiwi kuendesha gari!... chuki tu! atawapata walokole wenzake na macrusader wenzake huko kwenye vigango vyao.

Serikali kujitoa kwa kadhi sawa tu tena safi sana, ila na waachie free cash flow kwa supporters wa kuanzishwa mahakama ya kadhi Tanzania, na kwa taasisi za kiislamu Tanzania. Sio wakiona mahela yanaingia kwa wingi wanakua wakwanza kuharass watu na vifungo bila mashitaka kwa kutumia sheria batili ya terrorism, wakati mahela ya makanisa mapya yanayochipuka kila siku yanapita bila mtu yeyote kuwa harrased.

Mimi nasupport serikali kutojiingiza kwenye dini, including kutumia mashushushu kuvuruga chaguzi za BAKWATA ili akae kiongozi pro government, waache taasisi za dini zijitafutie vyanzo vyao vya pesa bila harrassment, na ijitoe kwenye matumizi ya serikali yanayokwenda kama ruzuku kwa taasisi yeyote ya kidini!...Kila taasisi ijiendeshe kwa vyanzo vyao wenyewe regardless inafanya kazi gani.
 
Nyalandu anajulikana ni mdini sana na fanatic wa kilokole.

Asichokijua yeye ni kuwa sheria ni msumeno,...haya ya waislam yatapita, ila yatapokuja ya upande mwingine asije kugeuka. Kama anajua kulinda sheria na katiba ilkuaje aliwatetea wapentekosti wa DECI wakati walikua wanavunja sheria na upatu wao na mpaka leo wapo ndani. Au sheria na katiba kwake havina maana vinapogusa maslahi ya walokole wenzake?

Cheap shot as anaongozwa na chuki kwa waislamu na ndio maana akaipakazia dini kwa mambo asiyoyajua, eti wanawake hawaruhusiwi kuendesha gari!... chuki tu! atawapata walokole wenzake na macrusader wenzake huko kwenye vigango vyao.

Serikali kujitoa kwa kadhi sawa tu tena safi sana, ila na waachie free cash flow kwa supporters wa kuanzishwa mahakama ya kadhi Tanzania, na kwa taasisi za kiislamu Tanzania. Sio wakiona mahela yanaingia kwa wingi wanakua wakwanza kuharass watu na vifungo bila mashitaka kwa kutumia sheria batili ya terrorism, wakati mahela ya makanisa mapya yanayochipuka kila siku yanapita bila mtu yeyote kuwa harrased.

Mimi nasupport serikali kutojiingiza kwenye dini, including kutumia mashushushu kuvuruga chaguzi za BAKWATA ili akae kiongozi pro government, waache taasisi za dini zijitafutie vyanzo vyao vya pesa bila harrassment, na ijitoe kwenye matumizi ya serikali yanayokwenda kama ruzuku kwa taasisi yeyote ya kidini!...Kila taasisi ijiendeshe kwa vyanzo vyao wenyewe regardless inafanya kazi gani.


Mzee naona umeongea kwa jazba mno .Tukiomba ushahidi ya tuhuma hizi ukweli unao ?

Ruzuku kwenda kwa taasisi ya dini .Ruzuku ipi na inatolewa na nani ?
Yaani unataka Osama alete pesa Tanzania tuachie bila kuimulika ? Hivi Uarabuni na hata Iran wanawake wanaruhusiwa kuendesha magari ? Hebu tuone Koran inasemaje juu ya haki za msingi za mwanamke .Jamani duh
 
Bro Lunyungu Yapasa Ukue...Wewe ni mzoefu hapa JF...Unaandika kama Bata?...Weka basi paragraph uwe proffessional...hata kama waandika "makanjanja"....Fuata kanuni muhimu za kiu-andishi..Haraka ya Nini Mkuu?...Pia Hatuna chama cha KAFU...tunacho CUF....sasa sijui umefanya makusudi au haraka zako au...?

Chadema hawana haja kuwa neutral...either wakae ktk Kundi la wenye kufanya dhulma au wawe upande wa anaedhulumiwa wamtetee...!!!

Rejea kauli ya Desmond Tutu...nainukuu...
""If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. If an elephant has its foot on the tail of a mouse and you say that you are neutral, the mouse will not appreciate your neutrality". Desmond Tutu...

Sasa kazi kwako na uliowapa Ushauri!!!



Bro Chuma
Msimari umekuwa wa moto ama ? Naandika kama bata ? Duh !! Haya .

KAFU nasisitiza waachiwe mambo yao .Chadema wakae nje maana malumbano haya hayako katika maandiko yeyote ya sera za Chadema .Ninawapa pongezi kwamba hadi sasa wana endelea na mambo yao wabakie hivyo hivyo .

Kuandika kama bata mh lakini ujumbe umeupata ? Yes I was in a rush ili kukupeni ujumbe huu sasa nitaanza kupangilia kama utakavyo mkuu Chuma .
 
Nyalandu amekuwa so clear kwaba Serikaloi isijihusishe na kusaidia wala nini kuunda chombo cha dini .Full stop na kama watafanya mambo yao huko misitini ni sawa again Pinda anatakiwa sasa kusema waislam wafanye wenyewe mambo yao na serikali haiko na haitaisaidia katika mmchakato wowote .Wo wao kama wao waendelee wasitake msaada wa serikali wakisha fanya hilo then maneno ya OIC na Kadhi yaondoke Bungeni mle ndani yawe misikitini .Nyalandu ana maana hii .Namuunga mkono huyu rafiki yangu siku zote napingana naye kwa mengi na hata majuzi tukiwa Munich na baadaye Arusha nilimweleza msimamo wangu na Chama chake ila kwa hili niko naye

kaka Hujaacha Uongo?...Hizi Fix zako za Mara leo Munich...jana Tarime ..leo Arusha hazijaisha...?
 
kaka Hujaacha Uongo?...Hizi Fix zako za Mara leo Munich...jana Tarime ..leo Arusha hazijaisha...?


Thibitisha ukweli ambao wewe unaujua ku counter attack niliyo yasema yote .Ama unatembea na mimi ? Nakushauri dwell kwenye mada tafadhali .
 
Mzee naona umeongea kwa jazba mno .Tukiomba ushahidi ya tuhuma hizi ukweli unao ?

Ruzuku kwenda kwa taasisi ya dini .Ruzuku ipi na inatolewa na nani ?
Yaani unataka Osama alete pesa Tanzania tuachie bila kuimulika ? Hivi Uarabuni na hata Iran wanawake wanaruhusiwa kuendesha magari ? Hebu tuone Koran inasemaje juu ya haki za msingi za mwanamke .Jamani duh
...Bro Lunyungu acha Uongo kama hujatembea? Yaani umesema umefika Munich..Basi hata kufanya stopover dubai au Doha ukaangalia mambo yalivyo? Uone kama wanawake wanaruhusiwa kuendesha gari au la...?..Iran labda utaogopa kwenda..Maana mashushu wa TZ wakiona Passport yako imegongwa Muhuri wa IRAN lazima wakuite kando kukuhoji....!!!


Quran imetaja haki nyingi za mwanamke kuliko kitabu kingine unachokijua...!!!

Labda nikuulize jambo dogo tu...Mke wa Mkapa wanamwita Anna Mkapa....Hivi Anna hana Baba yake Mzazi?....Hivi mwanamke akiolewa Haki yake ya kutumia Jina la baba yake inaondoka...?..Mume anaweza mreplace Baba Mzazi?.... Hivi Kwanini isiwe Mwanaume nae akioa asiitwe jina la Mkewe?....
 
Thibitisha ukweli ambao wewe unaujua ku counter attack niliyo yasema yote .Ama unatembea na mimi ? Nakushauri dwell kwenye mada tafadhali .
...Lunyungu tunakufahamu...kwa kupenda Misifa....Hizi safari zako zinafahamika...Mara oohh nipo tarime...mara ohh nipo Airport....Hizi ni tabia za watu waongo.....wanapotaka kujenga hoja zao zionekane zina rangi ya ukweli...!!! Hivi unashindwaje kusema moja kwa moja kuwa ulizungumza na ABC kuliko kuanza kutaja maeneo!!!
 
We Chuma!
STOP IT!kuna watu tunafuatilia hii habari kwa ukaribu mkuu!personal attacks unaweza kum-pm KAMA IT CONCERNS YOU THAT MUCH!otherwise 'usituchambishe wakati hatujamaliza haja'
samahani kwa lugha kali kidogo,chuma ameniudhi
 
...Lunyungu tunakufahamu...kwa kupenda Misifa....Hizi safari zako zinafahamika...Mara oohh nipo tarime...mara ohh nipo Airport....Hizi ni tabia za watu waongo.....wanapotaka kujenga hoja zao zionekane zina rangi ya ukweli...!!! Hivi unashindwaje kusema moja kwa moja kuwa ulizungumza na ABC kuliko kuanza kutaja maeneo!!!



Chuma kwanza kuzunguka kwangu Dunia sijawahi kupanda ndege ya mwarabu ama inayo pita uarabuni nikashuka hata kubadili ndege .Sina hakika kwamba nataka kufanya hilo pia .I f can fly direct I will always do that ikitokea nina connection basi iwe within Ulaya .

I tried once mwaka 1996 nika drop Egypt sitafanya kosa tena .Nadhani usiumie sana juu ya mimi kusema maeneo na sitafanya utakavyo .Sihitaji sifa ya kwenye forum ila hapa hapa wako wanao jua ukweli huu .Mkuu nikisema niko Kigoma huwa naamanisha hata Masatu mpinzani wangu sana lakini analijua hili .When I met this guy kule Munich it was last year March akiwa kwenye boarding ya Utalii , hii haiwezi kunizuia kusema kitu cha ukweli na si kwamba nikiwa mfano Mtwara leo ama airport nikiwa na access ya internet nitashindwa kusema hili .Ukiona mtu anawaona wenzake waongo basi ujue ni muogo lakini si kila mmoja huongopa .Next nikisema niko mahala fulani omba simu unipigie nikupe yanayo jiri hapo kaka .

Maisha ya waarabu na wanawake ni aibu siwezi kusema hapa ila narudia namuunga mkono Nyalandu kwa hili kwa mara ya kwanza .Mimi huwa sikubaliani na wa CCM kirahisi lakini wakisimamia ukweli basi haki wapewe .Maandiko kitabuni ni jambo moja lakini kufuata yaliyo andikwa ni jambo jingine .Karibu uarabuni uone kama kuna haki ya mwanamke kutembea kichwa wazi ama kuvaa suti kawaida bila kufunika kichwa na hata kuendesha gari nk .
 
Mzee naona umeongea kwa jazba mno .Tukiomba ushahidi ya tuhuma hizi ukweli unao ?

Ruzuku kwenda kwa taasisi ya dini .Ruzuku ipi na inatolewa na nani ?
Yaani unataka Osama alete pesa Tanzania tuachie bila kuimulika ? Hivi Uarabuni na hata Iran wanawake wanaruhusiwa kuendesha magari ? Hebu tuone Koran inasemaje juu ya haki za msingi za mwanamke .Jamani duh

Kama mfuatiliaji wa habari za kila siku utajua kuwa hakuna nililosema lisilojulikana au halijaandikwa. Kama unataka ushahidi wa kimahakama, im afraid you are barking at the wrong tree.

Kuhusu ruzuku ipi inatolewa na nani, nakushauri ufanye rejea kwenye MoU ya kanisa na serikali ya Tanzania. upo kwenye moja ya thread hapa.

Unachekesha kuongelea wanawake kuendesha gari uarabuni. Kanali Gaddafi mabodyguards wake ni mabinti, ambao pamoja na kuvaa hijab zao, wanaendesha kila chombo kuanzia, pikipiki, lori, speedboat, APCs na baadhi yao wanamrusha kwa helicopter, achilia mbali gari.

Stereotypes ni kitu kibaya sana, na kinauwezo wa kupolute hata the best minds academically,... Kwa mbunge kijana msomi kugeneralise dini ya wengine kwa kuidemonise is very low indeed.

Hela za nje zote zinaitwa za Osama ili zishikwe... ila hela za kina Hagee, na mafia wa cicilly wanaoingia kwa jina la kimissionari zipite tu.

I got you. Stuck in the status quo of THE TANZANIA PAST.
 
Mkuu Lunyungu ukitaka uelezewe haki za mwanamke kwenye uislam nakushauri ufungue thread nyingine maana kuna mambo mengi ambayo hata hao unaowaona wa maana sana, yani wazungu wa WEST wamezinduka kwenye 1940's, 50's, and 60's kuyabadilisha kwenye society zao, kwenye Quran yalishaandikwa karne nyingi before.

Nashauri turudi kwenye mada ya mdini Nyalandu kuzuia serikali kujihusisha kwenye michakato au matumizi ya kidini.
 
All politics is local. Waislamu ni voting block kubwa tu. Hivyo jiandaeni na mahakama ya kadhi na IOC.

Na hayo yakimalizika machifu watarudi.
 
That wont be the end but the beginning of an end! Tukishamaliza hayo tutaomba Mahakama za Wakristo, wasukuma, wachaga, etc. Watu wakianza kupigwa mawe, kukatwa mikono, etc na wafuasi wa Shetani Muhammad patakalika kweli hapo? Usifikiri wafuasi wa Muhammad wakipata hivyo ndio watatulia, look at Somalia, juzi Wakristo saba wamekatwa vichwa kwa sababu tu ya kuwa wakristo! Tazama Nigeria hapakaliki mpaka sasa! Open thy eyes!


rwanda burundi congo uganda kenya nk wana mahakama ya kadhi??? mbona napo machafuzi yalipita huko?

acheni propaganda hizo, aliyekuambia mahakama ya kadhi inaenda kukata mtu mkono nani, mbona imeishawekwa wazi kuwa it has nothing to do na kesi za jinai,

uzushi mtupu, hata mpewe ukweli hamuishi kupotosha, hivi pana dini inafundishwa uongo?

ukisema somalia wamekatwa vichwa na ujerumani pia mwanamke kauawa au yule si binadamu, hakuna upende uliokamilika kila pande zinamapungufu yake!

cha kushangaza hata muelimishwe mtaenda mtarudi na uzushi wenu uleule!!!

mnachosha na mada zenu zisizokuwa na mwisho yote yamejibiwa, ebu peruzi ndani ya hizi page 300plus kama hamna hayo majibu, au ndio life GOES ON...

kama pana kabila au dhehebu linataka kuanzisha lianzishe katiba inampa kila mtu uhuru, mbona pana madhehebu zaidi ya 100 ya dini na nyumba za ibada kila kona,
 
Bro Lunyungu Yapasa Ukue...Wewe ni mzoefu hapa JF...Unaandika kama Bata?...Weka basi paragraph uwe proffessional...hata kama waandika "makanjanja"....Fuata kanuni muhimu za kiu-andishi..Haraka ya Nini Mkuu?...Pia Hatuna chama cha KAFU...tunacho CUF....sasa sijui umefanya makusudi au haraka zako au...?

Chadema hawana haja kuwa neutral...either wakae ktk Kundi la wenye kufanya dhulma au wawe upande wa anaedhulumiwa wamtetee...!!!

Rejea kauli ya Desmond Tutu...nainukuu...
""If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. If an elephant has its foot on the tail of a mouse and you say that you are neutral, the mouse will not appreciate your neutrality". Desmond Tutu...

Sasa kazi kwako na uliowapa Ushauri!!!

duh.. sasa unachomshutumu mwenzio na wewe unakifanya?
 
kwa sasa naona kama serikali haina ujanja zaidi ya kukubali tu,ILI WAPEWE KULA-2010!hawa moslems wako strategical enough

CCM hawana msimamo, wanawaogopa waislamu na hapohapo wanawaogopa wakristo. Ukizingatia mwakani ni uchaguzi ndo hayo maneno ya Membe kuwa tusubiri mpaka 2012 baada ya hapo watakuja na gia (gear) nyingine tena. Ni danadana mtindo mmoja. Kwa kweli OIC na mahakama ya kadhi TZ, may GOD forbid.
 
...Bro Lunyungu acha Uongo kama hujatembea? Yaani umesema umefika Munich..Basi hata kufanya stopover dubai au Doha ukaangalia mambo yalivyo? Uone kama wanawake wanaruhusiwa kuendesha gari au la...?..Iran labda utaogopa kwenda..Maana mashushu wa TZ wakiona Passport yako imegongwa Muhuri wa IRAN lazima wakuite kando kukuhoji....!!!


Quran imetaja haki nyingi za mwanamke kuliko kitabu kingine unachokijua...!!!

Labda nikuulize jambo dogo tu...Mke wa Mkapa wanamwita Anna Mkapa....Hivi Anna hana Baba yake Mzazi?....Hivi mwanamke akiolewa Haki yake ya kutumia Jina la baba yake inaondoka...?..Mume anaweza mreplace Baba Mzazi?.... Hivi Kwanini isiwe Mwanaume nae akioa asiitwe jina la Mkewe?....

Chuma kubadili jina la mke na kutumia jina la mumewe si kupoteza haki. Hii ni mojawapo tu ya kuonyesha strong bond kati ya wanandoa hawa. Kwa maana katika ukristo ukioa umeoa hakuna kurudi nyuma. Waislamu kutobadili majina ya wake zenu usione kuwa mnawapa haki bali ni kwa sababu talaka ziko nje nje, sasa mdada/mama wa watu atabadili majina mara ngapi kama anaolewa na kuachwa kila mwaka?

Unaposema kuwa quran imejaa haki za mwanamke si kweli kwani hata mahakama ya kadhi kazi yake ni kumgandamiza mwanamke katika mambo ya mirathi ndo maana wanaume mmeishupalia sana. Sharia inampendelea mwanaume tu kwani tumeona huko Nigeria wanawake wanaopata mimba nje ya ndoa wanahukumiwa kifo wakati mwanaume aliyempa mimba yuko mitaani anakula kuku kwa mirija. Iko wapi haki hapa?
 
Last edited:
Back
Top Bottom